George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
Ndugu Zangu wana JF,
Nimejaribu kupitia kwenye website ya bunge kutafuta namba ya Mbunge wangu wa Nyamagana Bwana Dibongo Wenje lakini nimekuta profile yake hainna contacts zozote na nikaenda mbali zaidi kwa kuangalia namba za wabunge wengine wa chadema karibu wabunge wote hawana contacts ya aina yoyote kwenye website ya bunge, sasa sijui ni uzembe wa mbunge ameshindwa kuwasilisha contacts zake kwa katibu wa bunge au ni uzembe wa katibu wa bunge kuhakikisha contacts za wawakilishi wetu zinapatikana kwa urahisi zaidi ili tuweze kuwasiliana nao hususani hivi sasa kuna mchakato wa hii draft bill ya katiba.
Hata baadhi ya wabunge wa ccm pia hawana contacts kwenye profile zao nilitegemea wabunge wetu wao karibu nasi watu wanaotuwakilisha ikiwa pamoja na kutuwezesha kuwapata kwa urahisi pindi tunapohitaji mawasiliano nao.
Naomba kuwasilisha hoja yangu nadhani kuna baadhi ya wabunge hupitia hapa JF naomba walifanyie kazi kwa uharaka hili swala.
Nimejaribu kupitia kwenye website ya bunge kutafuta namba ya Mbunge wangu wa Nyamagana Bwana Dibongo Wenje lakini nimekuta profile yake hainna contacts zozote na nikaenda mbali zaidi kwa kuangalia namba za wabunge wengine wa chadema karibu wabunge wote hawana contacts ya aina yoyote kwenye website ya bunge, sasa sijui ni uzembe wa mbunge ameshindwa kuwasilisha contacts zake kwa katibu wa bunge au ni uzembe wa katibu wa bunge kuhakikisha contacts za wawakilishi wetu zinapatikana kwa urahisi zaidi ili tuweze kuwasiliana nao hususani hivi sasa kuna mchakato wa hii draft bill ya katiba.
Hata baadhi ya wabunge wa ccm pia hawana contacts kwenye profile zao nilitegemea wabunge wetu wao karibu nasi watu wanaotuwakilisha ikiwa pamoja na kutuwezesha kuwapata kwa urahisi pindi tunapohitaji mawasiliano nao.
Naomba kuwasilisha hoja yangu nadhani kuna baadhi ya wabunge hupitia hapa JF naomba walifanyie kazi kwa uharaka hili swala.