King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,559
Namkumbuka mkandara na uzi wake wa kuwahasa wanachama wa chadema,nina uhakika muanzisha uzi ni pure gamba!!
Katibu mkuu analipwa 7m shs??!! goddamn!!!
Ni kweli mkuu kina matatizo mengi sana viongozi wake wametuahidi maisha bora kwa kila mtanzania lakini hakijatekeleza du Chadema bwana!!!!!!! sasa hivi kinachochea vita na Malawi bado kama haitoshi kimeanza kusambaza Ebola huko KageraChadema.. hiki chama kina matatizo lukkuki... poor them ..
R.I.P CDM
Mkuu wabunge lazima wachangie , hela yote ya chama inamtunza Slaa na Josephine, na imetumika kwenye harusi ya Slaa, teh teh teh ! kweli wajinga wali wao
katika hali ambayo sio ya kawaida wabunge wa chadema walaani kitendo cha chama chao kuwalazimisha watoe sh mil2.1 kwa kila mbunge wa chadema kwa ajili ya mchango wa m4c inayoanza leo mikoani.wabunge hao wanasema kwamba mbona chama kina ruzuku ya zaidi ya mil 250 kwa kila mwezi na pia wabunge pia huchangia kila mwezi chama lakini pesa hizo zinaishia kuwalipa mishahara minono wakurugenzi pamoja na katibu mkuu anayelipwa mshahara zaidi na mil 7 kwa kila mwezi.
pia wabunge hao wanalalamikia magari yao na wao wenyewe kuhudhulia mikutano hio wakati vipindi vya budget vikiendelea bungeni kwa sasa.wanalalamikia
a.kwa nini chama hakitambui mchango wao bungeni na sasa wanalazimishwa kutohudhulia vipindi vya bunge?
b.pesa ya ruzuku inakwenda wapi?
c.kwa nini hao wakurugenzi na katibu mkuu wasifanye hio kazi angali wanapata mishahara minono?
d.kwa nini pesa ya ruzuku inatumika sana kwa ziara ya mchumba wa slaa mikoani wakati hana cheo chochote ndani ya chama?
e.kazi ya wakurugenzi wa chama ni nini zaidi ya kugawana posho na mishahara na majungu yanayopikwa pale chamani dhidi ya wabunge wao?
mwisho wanaomba chama kuwa makini na matumizi ya ruzuku ya chama na michango ya wahisani kuliko kufanya ujasilia mali wa kisiasa kama wanavyofanya sasa.
Mleta thread ni mpuuzi.Ni mpuuzi kwa kuwa anawaza upuuzi,anapendelea upuuzi na kwa hakika angependelea apate wapuuzi wenzake wa kumuunga mkono katika upuuzi wake.Ni hulka yake,kama mwanajamvi mwenzetu aliyenukuu mabandiko yake ya awali, kusambaza upuuzi.
Mazingira mwaafaka kwa upuuzi wake ni kwa wapuuzi wenzake.
Hapa si kijiwe cha wapuuzi.Napendekeza tumpuuze.
Kwa kuanzia tusijibu upuuzi wake.
Atambue kuwa baadhi ya wananchi wenzetu wanatumia pesa kununua muda internet cafe,wananunua masalio ku rechjarge simu kuweza kupata JF!Muhimu anapoteza muda wa wananchi.
Mpuuzi ni wa kupuuza.
Ukishindwa kumpuuza mpuuzi na kujibu upuuzi wake at same time unawashauri wengine waachane na upuuzi uloona wa maana wewe kuuzingatia nani mpuuzi hapo?