Wabunge wa CHADEMA vipi?

Wewe ni CDM-Kata unafuata mkumbo tu, ujui chochote nitajie basi wabunge wawili tu wa CDM ambao hawajachukuwa posho bungeni
<br />
<br />
Kwani hujui kusoma mpaka nikutajie mimi? Soma...
 
Mtz flan umeongea la maana sana kama zito anachangia hoja wao wanashindwa nn sasa kwani 2liwachagua wakawe mapamernent observer.afu cha kuchekesha wanarushwa live kwenye tv sote 2nawaona wanaudhulia na so kama zito anackika sana ndo mana hakusain bac nao wanaonekana sana. Kibaya zaid wengi wao ni wanasheria wanajua kbs kwamba c kila circumstance sahih peke ndo kielelezo. Hapa 2cwabebe kwavile 2 2nawakubali sn hili ni kosa lazima wawajibike. 2ccmamie chama kwa mapenz sbb hk ndo kilichowaponza ccm bali 2kicmamie kwa hoja na uadilifu. Na mbaya sana khs chama che2 ni kwamba 2wepec sana wa kujua na kukusoa ya wenze2 ye2 2tayatetea kwa hoja zote.
 
Tumeshaelezwa kwa maelezo marefu na ya kueleweka na Mhe Zito Zuberi Kabwe, tatizo hatusomi au hatuelewi. <br />
Amefafanua kuwa fomu ya kusaini kwa ajili ya mahudhurio na posho ni moja. Hivyo kuonesha umehudhuria kikao lazima usaini. Ukisaini moja kwa moja unapata posho. Alifafanua kuwa walishapeleka ombi kuwa fomu hizo zitenganishwe, labda sasa bado hawajalifanyia kazi. Usiposaini inaonesha hukuhudhuria, na usipohudhuria sijui mikutano mitatu unafukuzwa. <br />
Kwa upande wake Zito ameeleza kuwa yeye hawatamfukuza kwani kuna njia nyingi ambazo ataonesha kuwa alihudhuria hata bila kusaini. Mojawapo ni uchangiaji. Kwa vyovyote huo ulikuwa uamuzi mgumu aliouchukua, TUNAMPONGEZA KWA DHATI.<br />
Ni uamuzi ambao wengine wanapaswa kufuata. Ila la Muhimu labda wapiganie hizo fomu zitenganishwe ili kuwafahamu nani ni Shibuda type na nani sio.
<br />
<br />
Good and clear answer. Hata hivyo lengo la chadema ilikuwa kupiga kampeni ya kupunguza matumizi ya serikali ambayo magamba waliona wangepigwa bao kama wangekubaliana na hoja . Lakini msg sent wanasubiri watu wasahau halafu wataiibua kama hoja yao magamba. Kuiacha posho magamba walivyo mafisadi ni lazima wataila tu
 
hawa jamaa ni wanamapinduzi na hakuna anayebisha kuhusu hilo, lakini kuna issue wamefanya na haijanipedeza. nawauliza kwa nini walituhadaa kukataa posho za vikao then wakarudi kwa mlango wa nyuma wakachukua? je ilikuwa ni propaganda ya kujitafutia umaarufu wa kisiasa?

Muda wote ulikuwa wapi? au ni tatizo la umeme mkuu?
uko nyuma sana. yaani huna tofauti na kabila fulani hapa tz bado wanaamini rais ni nyerere
 
Tumeshaelezwa kwa maelezo marefu na ya kueleweka na Mhe Zito Zuberi Kabwe, tatizo hatusomi au hatuelewi.
Amefafanua kuwa fomu ya kusaini kwa ajili ya mahudhurio na posho ni moja. Hivyo kuonesha umehudhuria kikao lazima usaini. Ukisaini moja kwa moja unapata posho. Alifafanua kuwa walishapeleka ombi kuwa fomu hizo zitenganishwe, labda sasa bado hawajalifanyia kazi. Usiposaini inaonesha hukuhudhuria, na usipohudhuria sijui mikutano mitatu unafukuzwa.
Kwa upande wake Zito ameeleza kuwa yeye hawatamfukuza kwani kuna njia nyingi ambazo ataonesha kuwa alihudhuria hata bila kusaini. Mojawapo ni uchangiaji. Kwa vyovyote huo ulikuwa uamuzi mgumu aliouchukua, TUNAMPONGEZA KWA DHATI.
Ni uamuzi ambao wengine wanapaswa kufuata. Ila la Muhimu labda wapiganie hizo fomu zitenganishwe ili kuwafahamu nani ni Shibuda type na nani sio.

Kusaini na kiungiziwa posho ni jambo moja na lingine ni kurudisha hizo fedha, ilikuwa iwe hivyo, wasitudanganye.
 
Mkuu kwa nini wengine nao wasifanye kama Zitto? Wangefanya hivyo posho za vikao zingeondolewa lakini wao wanazipenda na kuzitaka. Katika hili Wabunge wa CHADEMA akiwemo mbunge wangu niliyempigia kura, Ndg. John Mnyika, wameonyesha unafiki mkubwa wa NATAKA SITAKI. Wajivue Gamba la posho mbona mwenzao Zitto amejivua kwa kutosaini?

Ndugu kwa hili tusiwalaumu moja kwa moja MAKAMANDA wetu kwan kwa vigezo vya kutokusaini idadi fulani ya vikao wanakutosa unafikiri kipi bora kusaini na kuendelea kupigia kelele mfumo wabadilishe utaratibu na ikiwezekana kuwe na fomu 2 au kugoma na kufukuzwa?KUMBUKA SI WOTE WAWEZAO KUCHANGIA/KUTUMIA MBINU ALIYOTUMIA MH ZITTO,KWAN MAGAMBA WAWEZA CHACHAMAA NA KUWATIMUA WOTE
 
Ndugu kwa hili tusiwalaumu moja kwa moja MAKAMANDA wetu kwan kwa vigezo vya kutokusaini idadi fulani ya vikao wanakutosa unafikiri kipi bora kusaini na kuendelea kupigia kelele mfumo wabadilishe utaratibu na ikiwezekana kuwe na fomu 2 au kugoma na kufukuzwa?KUMBUKA SI WOTE WAWEZAO KUCHANGIA/KUTUMIA MBINU ALIYOTUMIA MH ZITTO,KWAN MAGAMBA WAWEZA CHACHAMAA NA KUWATIMUA WOTE

Mkuu mbona Zitto amesema vizuri tu kwamba unafukuzwa kwa kutohudhuria mikutano mitatu na si vikao vitatu. Kwa hiyo wabunge wote wa CHADEMA wangekataa kusaini kwenye huu mkutano na wasichukue posho kusingekuwa na mtu wa kuwafukuza. Wewe kufukuza wabunge wote wa CHADEMA si mchezo!! Yaani uchaguzi ufanyike upya kwenye majimbi yote hayo, hiyo pesa ipo? NAAMINI KUNA UNAFIKI KATIKASUALA LA POSHO.
 
Kwanza niungane na wote wenye mtazamo kwamba kweli kama hawa CDM wametia mfukoni hizo posho wamejiaibisha sana na kuwaangusha wa TZ wengi ambao wamekuwa nyuma ya mafanikio yao. Nimewaambia watu wengi kwamba pamoja na matatizo ya kawaida kwa wanasiasa wengi, Mh Zito amejipambanua kama mwanasiasa anayesimamia anachoamini!! hiki si kitu kidogo ndugu zangu, ni wanasiasa wachache sana wenye uwezo huu (e.g. Magufuli, Olesendeka n.k) wengi ni wale wa imani ya 'fuateni ninayosema...si matendo yangu..' Sasa kama alivyosema Zito kwenye maelezo yake, wangeweza kuacha kusaini mahudhurio kwani kufukuzwa ni mikutano mitatu mfululizo siyo vikao (e.g. bunge lililoisha juzi ni mkutano mmoja, watakaporudi tena ni mkutano mwingine n.k) hivyo kuonyesha umma wanachokiamini wangeacha kusaini mkutano huu wote!! (lakini wawe makini kuwepo ukumbini na kuchangia hoja ili hansard iweze kuweka record za uwepo wao bungeni). Tukumbuke kwamba hoja hii ndiyo pia wangeweza kuitumia kama turufu ya kumbana kigeugeu Shibuda lakini kwa ilivyo sasa hawatamuweza na atawashinda kwa hoja!! NINA USHAURI MMOJA KWA CDM: WOTE WALIOCHUKUA HIZO POSHO WAENDE KWENYE MAJIMBO YAO (WALE WA KUCHAKULIWA) NA VITI MAALUMU (SHUGHULI ZA KITAIFA/MIKOA) WATOE HIZO POSHO KWENYE SHUGHULI ZA MAENDELEO KAMA SHULE, MADAWATI, ZAHANATI N.K ILI UMMA UONE KWELI HIZO POSHO ZIMETUMIKA KWA AJILI YAO. PIA WAANDAE MKAKATI WA JINSI WATAKAVYOKWEPA HIZO POSHO MKUTANO UJAO KWA KUANZA KUANZISHA MJADALA WA HII SHERIA YA POSHO KWENYE MIKUTANO NA MITANDAO YA JAMII.
Tumeshaelezwa kwa maelezo marefu na ya kueleweka na Mhe Zito Zuberi Kabwe, tatizo hatusomi au hatuelewi.
Amefafanua kuwa fomu ya kusaini kwa ajili ya mahudhurio na posho ni moja. Hivyo kuonesha umehudhuria kikao lazima usaini. Ukisaini moja kwa moja unapata posho. Alifafanua kuwa walishapeleka ombi kuwa fomu hizo zitenganishwe, labda sasa bado hawajalifanyia kazi. Usiposaini inaonesha hukuhudhuria, na usipohudhuria sijui mikutano mitatu unafukuzwa.
Kwa upande wake Zito ameeleza kuwa yeye hawatamfukuza kwani kuna njia nyingi ambazo ataonesha kuwa alihudhuria hata bila kusaini. Mojawapo ni uchangiaji. Kwa vyovyote huo ulikuwa uamuzi mgumu aliouchukua, TUNAMPONGEZA KWA DHATI.
Ni uamuzi ambao wengine wanapaswa kufuata. Ila la Muhimu labda wapiganie hizo fomu zitenganishwe ili kuwafahamu nani ni Shibuda type na nani sio.
 
'Mkuu, mbona unataka kupotosha umma! CDM hamna Wanamapinduzi ni kikundi cha wasanii watupu pamoja na porojo' .....ARE YOU SERIUOS WITH WITH COMMENT??? HIVI NI LAZIMA MTU U COMMENTS KWENYE KILA POST HATA PALE AMBAPO HUNA KITU POSITIVE CHA KUCHANGIA??
 
Binafsi nimekuwa disappointed sana hao waliochukua Posho. Wametuzuga, na hawataki hata kutoa ufafanuzi.
 
chadema wasanii kama doctor wao mwenye phd lakini hana masters ha ha ha ha............................MAGWANDA WANA MAMBO..IKULU WATAISIKIA KWENYE BOMBA..,NJAA NYINGI WANAJIFANYA WANAHARAKATI...,CCM stand UP
 
Nimeamini wewe ni MTZ Fulani maana kweli umekuja hapa na hoja ya kichovu mno.Posho hizi Mbowe kesha sema sana sana na kufafanua kwa undani .Posho hizo kuziacha kwa kususoa si jibu Chadema wanataka neno posho lifutwe kote na si kwao pekee so uelewe kwamba upupu wako hauna nafasi .Kaa tulia jenga hoja na upupu acha maji marefu hapa jamvini mkuu .

Lunyungu!!nimekukubali uko njema mkuu,huyo jamaa nadhani hajui lolote ni ndina tuu.Wanaingia JFM kufanya nn watu kama hao ni heri kusoma tuu na sio kuchangia utumbo!!
 
swala la CDM kukubali au kukataa posho sio ishu, tusipambane kuzima moto bila kutafuta chanzo chake......kwani hizi posho na mishahara ya hawa jamaa inapangwa na nani?..........na kama ni wao wenyewe wanapanga malipo yao mnatarajia nini?.......cjawai kuona mfanyakazi yeyote anayejipangia mshahara....pa kuanzia ndio hapa.....chombo au watu gani wanatakiwa kupanga posho za wabunge?
 
hawa jamaa ni wanamapinduzi na hakuna anayebisha kuhusu hilo, lakini kuna issue wamefanya na haijanipedeza. nawauliza kwa nini walituhadaa kukataa posho za vikao then wakarudi kwa mlango wa nyuma wakachukua? je ilikuwa ni propaganda ya kujitafutia umaarufu wa kisiasa?
Kuna mbunge mmoja aliwahi kusema kule mjengoni kila mbunge amekwenda kimaslahi na ndiyo maana ukifika nje ya bunge hasa kwenye parking zao hakuna gari ya thamani ndogo,pia wabunge wengi wanapenda pesa na siyo maslahi ya wananchi.Hakika hili la Posho CDM wametia aibu sikutegemea jambo hili.Shibuda hakuwa mnafiki kama wengine.
 
mtoto wa mama acha hizo hapa hatuzungumzii CCM kudum Ikulu tunazungumzia maslahi ya umma, haiwezekani watu wakapokea posho lukuki huku hospitalini kukiwa hakuna dawa,maji ya uhakika hakuna mijiji wala vijijini, umeme ndo usiseme, mafuta ghafi ndo balaa bei haishikiki, shuleni nako wanakaa chini, elimu ya juu mikopo hakuna,miundombinu ovyooo......... matatizo lukuki alafu unaleta politiki!!!!Ikulu aingie yoyote mwenye uwezo wa kuondoa hizo kero.
 
................Mimi ni mwanachama wa CDM damu,naunga mkono hoja mkuu,ni bora watoe tamko juu ya hili,ama sivyo ni doa kwa chama...
Wanatoa maelezo kwamba ile ni orodha tu ya maudhurio ya mjengoni.Yaani kujiorodhesha kwenye daftari la maudhurio halina mahusiano na kuchukua posho.Duh hawa jamaa wamechemka sana kwa hili.
 
Mtoto wa mama jina lako linathibitisha uwezo wako wa kufikiri nadhani utakuwa unatumia masaburì kufikiri. Jitambue
 
Mkuu kwa nini wengine nao wasifanye kama Zitto? Wangefanya hivyo posho za vikao zingeondolewa lakini wao wanazipenda na kuzitaka. Katika hili Wabunge wa CHADEMA akiwemo mbunge wangu niliyempigia kura, Ndg. John Mnyika, wameonyesha unafiki mkubwa wa NATAKA SITAKI. Wajivue Gamba la posho mbona mwenzao Zitto amejivua kwa kutosaini?

Haiwezekani kwa kila mbunge kusaini kwa kuchangia mada. Sio rahisi wabunge wote wa CDM kuchangia kwa kila siku. Bunge sio lao pekeyao. Mwisho watakuwa wanachangia hoja dhaifu kwa kutaka kuonekana.
 
Back
Top Bottom