Wabunge wa CHADEMA ndivyo tulivyo watuma mtuwakilishe?

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Wabunge wa CHADEMA wanahitaji kujua kwamba Katiba nzuri itapatikana kwa mchakato utakaofanyika Bungeni si kwenye jukwaa la Katiba kama wanavyofanya wanaharakati. Wananchi tuliowachagua tuna matarajio makubwa kutoka kwenu maana ndiyo mnaotuwakilisha katika masuala mbalimbali ikiwemo kupatikana Katiba inayokidhi mahitaji ya wananchi wa majimboni yenu na Taifa kwa ujumla. Igeni Mbunge MACHALI, MREMA, na wabunge wa CUF walioamua kupambana kwa hoja Bungeni kwa maslahi ya wananchi wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Tambueni kuwa siyo tu mnategemewa na wananchi waliowapigia kura majimboni bali watanzania kwa ujumla wetu. Kama mnayo mazuri mnayodhani ni muhimu kwa taifa hili myasema Bungeni na siyo kutoka kama mnavyoendelea kufanya.

Hivi mnaleta picha gani kwa wananchi tulio wachagua mnapotoka nje ya Bunge na kutuacha hatuna wawakilishi kwenye suala hili muhimu la Katiba na mengineyo. Au hizi ni dalili za woga kwa Wabunge wa CCM mnayoituhumu kuwa haijafanya lolote huku nyie mnawakimbia? Mnatupa wasi wasi na kutufanya tuamini kuwa mnatusaliti na kutupotezea nafasi ya uwakilishi tuliyowakabidhi ambayo ni dhamana ya maisha yetu. Mnashindwa nini kupambanisha hoja zenu mpaka mkimbie? Hii inatia mashaka na kutufanya tujiulize la kufanya mwaka 2015.

Acheni fujo zenu, tutumikieni kama tulivyowatuma.
 
ninawasiwasi kama wewe uliwapigia kura hao wabunge wa cdm.wanayoyafanya ni njia mojawapo ya kuonyesha kutoridhishwa na mwenendo mzima wa uendeshwaji wa zoezi lenyewe.hao waliobaki bungeni wamechangia nini cha maana zaidi ya mipasho.je hiyo mipasho ndiyo waliyotumwa na wapiga kura wao?kuna wasiwasi hata mawazo ambayo wanayotoa ni yao binafsi na siyo ya wananchi.kukubali kukosolewa ndiyo ukomavu wa uelewa.
 
Wewe mbunge wako ulimtuma kwenda kupiga makofi,kuisifia na kuishukuru serikali kila anaposimama kuongea? Kutoka ni ku-make a statement. Kisiasa inaeleweka kabisa
 
Wewe hata uongee mpaka mapovu yakutoke lakini ikifikia kwenye wanaoafiki waseme ndiooooo na wasioafiki waseme siooooooo na spika akasema nadhani walisema ndiooo wameshinda! Hoja yako imetupwa kapuni.
 
Chadema wako sahihi ninawaunga mkono, na kwa misimamo yao ntawachagua zaidi!
 
Wabunge wa CHADEMA wanahitaji kujua kwamba Katiba nzuri itapatikana kwa mchakato utakaofanyika Bungeni si kwenye jukwaa la Katiba kama wanavyofanya wanaharakati. Wananchi tuliowachagua tuna matarajio makubwa kutoka kwenu maana ndiyo mnaotuwakilisha katika masuala mbalimbali ikiwemo kupatikana Katiba inayokidhi mahitaji ya wananchi wa majimboni yenu na Taifa kwa ujumla. Igeni Mbunge MACHALI, MREMA, na wabunge wa CUF walioamua kupambana kwa hoja Bungeni kwa maslahi ya wananchi wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Tambueni kuwa siyo tu mnategemewa na wananchi waliowapigia kura majimboni bali watanzania kwa ujumla wetu. Kama mnayo mazuri mnayodhani ni muhimu kwa taifa hili myasema Bungeni na siyo kutoka kama mnavyoendelea kufanya.

Hivi mnaleta picha gani kwa wananchi tulio wachagua mnapotoka nje ya Bunge na kutuacha hatuna wawakilishi kwenye suala hili muhimu la Katiba na mengineyo. Au hizi ni dalili za woga kwa Wabunge wa CCM mnayoituhumu kuwa haijafanya lolote huku nyie mnawakimbia? Mnatupa wasi wasi na kutufanya tuamini kuwa mnatusaliti na kutupotezea nafasi ya uwakilishi tuliyowakabidhi ambayo ni dhamana ya maisha yetu. Mnashindwa nini kupambanisha hoja zenu mpaka mkimbie? Hii inatia mashaka na kutufanya tujiulize la kufanya mwaka 2015.

Acheni fujo zenu, tutumikieni kama tulivyowatuma.

we mwehu nyamaza, hata kura yenyewe hukupiga....
 
hujamtuma mbunge yeyote chadema wewe, uliowatuma wewe wako bungeni wanapiga makofi na kusifia mswada. Ni wafu wanaowazika wafu wenzao, ni kundi la manyumbu wanaofuata mkumbo. hakuna marefu yasiyokuwa ncha, this hypocrisy of ccm mps makes sick to core, I almost smashed my tv yesterday.
 
Ninawaunga mkono Wabunge wa Chadema kwa njia waliyoitumia(walk out protest) kupinga uwakilishwaji wa muswaada "kimahepe" kwa sababu zifuatazo:
Wako wachache ndani ya bunge kuzuia mswaada mbovu usipite,
Kuhusiana na mchakato Kama ulivyoletwa haufai kwasababu hakuna kuaminiana Kati ya serikali na CDM kwani serikali anafanya kazi za CCM tena bila KIFICHO NA mwisho,
Wananchi watambue kwamba kuwachagua wabunge wa CCM ni "mzigo" Kwao na wale wasiopiga kura waone athari zake(CCM haiheshimu wapigakura)
 
Wanachama,wapenzi na wafuasi wa chadema lazima ieleweke kwamba kitendo cha wabunge wa chadema kutoka bungeni na kugomea kushiriki kwenye mjadala wa muswada wa katiba hakina tija kwa taifa,mimi binafsi kuna mambo mengi ambayo nakubaliana na chadema lakini si kwa hili, sikubaliani nao kwa kuwa ilitakiwa washiriki mjadala ili tusikie maoni yao,waweze kuwashawishi wananchi kwa hoja zao, kama maoni yao ni dhidi ya muswada wangeyatoa bungeni yasikike ili wananchi waelewe na si lazima ccm au cuf waelewe kwa kuwa tayari wao wana malengo yao tofauti, kinachotakiwa ni wananchi waelewe, sasa watapata wapi tena hiyo nafasi ya kuwaeleza wananchi ikiwa sheria itapita ya kuzuia kutoa maoni au mawazo kwenye tume ya katiba tu na si popote pale, nawapongeza wabunge wa nccr, moses machali na agripina buyogera kwa kutumia nafasi na uhuru wao wa kikatiba kwa kutoa maoni yao bungeni, wamepinga muswada, wananchi wamewasikiliza na wapo baadhi waliokubaliana na maoni yao licha ya kuwa ccm na cuf hawakubali kwa sababu wana ajenda zao binafsi na hata kama muswada utapita lakini maoni yao wameyatoa na wananchi wamesikia sasa wale waliotoka nje maoni yao ni nini? na wamewakilishaje wapiga kura wao? basi japo watupe hoja na sababu za msingi za wao kutoka nje ya bunge na kususia kikao labda tutawaelewa.
 
Viva chadema...nimeipenda strategy yenu ya kwenda dodoma kusaini tu posho na kwenda kula starehe!
 
Wabunge wa CHADEMA wanahitaji kujua kwamba Katiba nzuri itapatikana kwa mchakato utakaofanyika Bungeni si kwenye jukwaa la Katiba kama wanavyofanya wanaharakati. Wananchi tuliowachagua tuna matarajio makubwa kutoka kwenu maana ndiyo mnaotuwakilisha katika masuala mbalimbali ikiwemo kupatikana Katiba inayokidhi mahitaji ya wananchi wa majimboni yenu na Taifa kwa ujumla. Igeni Mbunge MACHALI, MREMA, na wabunge wa CUF walioamua kupambana kwa hoja Bungeni kwa maslahi ya wananchi wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Tambueni kuwa siyo tu mnategemewa na wananchi waliowapigia kura majimboni bali watanzania kwa ujumla wetu. Kama mnayo mazuri mnayodhani ni muhimu kwa taifa hili myasema Bungeni na siyo kutoka kama mnavyoendelea kufanya.

Hivi mnaleta picha gani kwa wananchi tulio wachagua mnapotoka nje ya Bunge na kutuacha hatuna wawakilishi kwenye suala hili muhimu la Katiba na mengineyo. Au hizi ni dalili za woga kwa Wabunge wa CCM mnayoituhumu kuwa haijafanya lolote huku nyie mnawakimbia? Mnatupa wasi wasi na kutufanya tuamini kuwa mnatusaliti na kutupotezea nafasi ya uwakilishi tuliyowakabidhi ambayo ni dhamana ya maisha yetu. Mnashindwa nini kupambanisha hoja zenu mpaka mkimbie? Hii inatia mashaka na kutufanya tujiulize la kufanya mwaka 2015.

Acheni fujo zenu, tutumikieni kama tulivyowatuma.

Mbunge wako ole sendeka anakuwakilisha vyema katika mchakato usihofu. Ya Chadema waachie chadema.
 
Wabunge wa CHADEMA wanahitaji kujua kwamba Katiba nzuri itapatikana kwa mchakato utakaofanyika Bungeni si kwenye jukwaa la Katiba kama wanavyofanya wanaharakati. Wananchi tuliowachagua tuna matarajio makubwa kutoka kwenu maana ndiyo mnaotuwakilisha katika masuala mbalimbali ikiwemo kupatikana Katiba inayokidhi mahitaji ya wananchi wa majimboni yenu na Taifa kwa ujumla. Igeni Mbunge MACHALI, MREMA, na wabunge wa CUF walioamua kupambana kwa hoja Bungeni kwa maslahi ya wananchi wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Tambueni kuwa siyo tu mnategemewa na wananchi waliowapigia kura majimboni bali watanzania kwa ujumla wetu. Kama mnayo mazuri mnayodhani ni muhimu kwa taifa hili myasema Bungeni na siyo kutoka kama mnavyoendelea kufanya.

Hivi mnaleta picha gani kwa wananchi tulio wachagua mnapotoka nje ya Bunge na kutuacha hatuna wawakilishi kwenye suala hili muhimu la Katiba na mengineyo. Au hizi ni dalili za woga kwa Wabunge wa CCM mnayoituhumu kuwa haijafanya lolote huku nyie mnawakimbia? Mnatupa wasi wasi na kutufanya tuamini kuwa mnatusaliti na kutupotezea nafasi ya uwakilishi tuliyowakabidhi ambayo ni dhamana ya maisha yetu. Mnashindwa nini kupambanisha hoja zenu mpaka mkimbie? Hii inatia mashaka na kutufanya tujiulize la kufanya mwaka 2015.

Acheni fujo zenu, tutumikieni kama tulivyowatuma.

VGL
Kabla ya kuwauliza wabunge wa Chadema, jiulize na wewe unamwakilisha nani. It is simple logic. Hao unaodhani hawakuwatuma wanayofanya wewe ulikutana mao kwenye forum gani na kama hamjakutana unapata wapi legitimacy ya kuwasemea?
 
Wewe hata uongee mpaka mapovu yakutoke lakini ikifikia kwenye wanaoafiki waseme ndiooooo na wasioafiki waseme siooooooo na spika akasema nadhani walisema ndiooo wameshinda! Hoja yako imetupwa kapuni.

Au jamani mwenzenu masikio yangu? huwa nasikia supika anasenma hivi : Wanafiki waseme Ndiyoooooo.. Na wasio Wanafiki waseme Siyooooo. Mara zote wanafiki huwa wanashinda kwa kuwa ni wengi bungeni, ha ha haaa!!!
 
Wabunge wa CHADEMA wanahitaji kujua kwamba Katiba nzuri itapatikana kwa mchakato utakaofanyika Bungeni si kwenye jukwaa la Katiba kama wanavyofanya wanaharakati. Wananchi tuliowachagua tuna matarajio makubwa kutoka kwenu maana ndiyo mnaotuwakilisha katika masuala mbalimbali ikiwemo kupatikana Katiba inayokidhi mahitaji ya wananchi wa majimboni yenu na Taifa kwa ujumla. Igeni Mbunge MACHALI, MREMA, na wabunge wa CUF walioamua kupambana kwa hoja Bungeni kwa maslahi ya wananchi wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Tambueni kuwa siyo tu mnategemewa na wananchi waliowapigia kura majimboni bali watanzania kwa ujumla wetu. Kama mnayo mazuri mnayodhani ni muhimu kwa taifa hili myasema Bungeni na siyo kutoka kama mnavyoendelea kufanya.

Hivi mnaleta picha gani kwa wananchi tulio wachagua mnapotoka nje ya Bunge na kutuacha hatuna wawakilishi kwenye suala hili muhimu la Katiba na mengineyo. Au hizi ni dalili za woga kwa Wabunge wa CCM mnayoituhumu kuwa haijafanya lolote huku nyie mnawakimbia? Mnatupa wasi wasi na kutufanya tuamini kuwa mnatusaliti na kutupotezea nafasi ya uwakilishi tuliyowakabidhi ambayo ni dhamana ya maisha yetu. Mnashindwa nini kupambanisha hoja zenu mpaka mkimbie? Hii inatia mashaka na kutufanya tujiulize la kufanya mwaka 2015.

Acheni fujo zenu, tutumikieni kama tulivyowatuma.

hope umeshapata majibu ya uzi wako
 
Wabunge wa CHADEMA wanahitaji kujua kwamba Katiba nzuri itapatikana kwa mchakato utakaofanyika Bungeni si kwenye jukwaa la Katiba kama wanavyofanya wanaharakati. Wananchi tuliowachagua tuna matarajio makubwa kutoka kwenu maana ndiyo mnaotuwakilisha katika masuala mbalimbali ikiwemo kupatikana Katiba inayokidhi mahitaji ya wananchi wa majimboni yenu na Taifa kwa ujumla. Igeni Mbunge MACHALI, MREMA, na wabunge wa CUF walioamua kupambana kwa hoja Bungeni kwa maslahi ya wananchi wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Tambueni kuwa siyo tu mnategemewa na wananchi waliowapigia kura majimboni bali watanzania kwa ujumla wetu. Kama mnayo mazuri mnayodhani ni muhimu kwa taifa hili myasema Bungeni na siyo kutoka kama mnavyoendelea kufanya.

Hivi mnaleta picha gani kwa wananchi tulio wachagua mnapotoka nje ya Bunge na kutuacha hatuna wawakilishi kwenye suala hili muhimu la Katiba na mengineyo. Au hizi ni dalili za woga kwa Wabunge wa CCM mnayoituhumu kuwa haijafanya lolote huku nyie mnawakimbia? Mnatupa wasi wasi na kutufanya tuamini kuwa mnatusaliti na kutupotezea nafasi ya uwakilishi tuliyowakabidhi ambayo ni dhamana ya maisha yetu. Mnashindwa nini kupambanisha hoja zenu mpaka mkimbie? Hii inatia mashaka na kutufanya tujiulize la kufanya mwaka 2015.

Acheni fujo zenu, tutumikieni kama tulivyowatuma.


Watanzania wa leo sio wale wa 1947. Hivyo hii mipasho yako mpelekee Steven Wasira, Ole Sendeka, Hamad Rashid na wenziwe. CHADEMA msirudi nyuma, tunataka katiba ya wananchi, iliyoundwa na wananchi, na kusimamiwa na wananchi kwa ajili ya wananchi. CCM waendelee kufanya kazi ya kuwalinda mafisadi that's what they are good at!
 
Wabunge wa CHADEMA wanahitaji kujua kwamba Katiba nzuri itapatikana kwa mchakato utakaofanyika Bungeni si kwenye jukwaa la Katiba kama wanavyofanya wanaharakati. Wananchi tuliowachagua tuna matarajio makubwa kutoka kwenu maana ndiyo mnaotuwakilisha katika masuala mbalimbali ikiwemo kupatikana Katiba inayokidhi mahitaji ya wananchi wa majimboni yenu na Taifa kwa ujumla. Igeni Mbunge MACHALI, MREMA, na wabunge wa CUF walioamua kupambana kwa hoja Bungeni kwa maslahi ya wananchi wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Tambueni kuwa siyo tu mnategemewa na wananchi waliowapigia kura majimboni bali watanzania kwa ujumla wetu. Kama mnayo mazuri mnayodhani ni muhimu kwa taifa hili myasema Bungeni na siyo kutoka kama mnavyoendelea kufanya.

Hivi mnaleta picha gani kwa wananchi tulio wachagua mnapotoka nje ya Bunge na kutuacha hatuna wawakilishi kwenye suala hili muhimu la Katiba na mengineyo. Au hizi ni dalili za woga kwa Wabunge wa CCM mnayoituhumu kuwa haijafanya lolote huku nyie mnawakimbia? Mnatupa wasi wasi na kutufanya tuamini kuwa mnatusaliti na kutupotezea nafasi ya uwakilishi tuliyowakabidhi ambayo ni dhamana ya maisha yetu. Mnashindwa nini kupambanisha hoja zenu mpaka mkimbie? Hii inatia mashaka na kutufanya tujiulize la kufanya mwaka 2015.

Acheni fujo zenu, tutumikieni kama tulivyowatuma.

Unajua tusiwe wajinga na watu wakujifanya tunatoa analysis kumbe tunaandika ujinga,upunguani na kujidhalilisha...Umetolea mfano wa Machali na Mrema...Hivi nani asiyejua kuwa Mrema ni mpinzani mfu? Uliona mchango wake? Hao CUF unaona wanachofanya? Haya Machali alijikakamua lakini Je,mawazo yake yatawekwa kwenye utendaji? Maana sio ishu ya kuongea tu tujiulize CCM ni wasikivu kiasi hiki? Ni bora kabla ujaleta wazo ujipambanue kuwa mie ni CCM nataka kuwasema CDM na sio kujifanya kuwa ni mwananchi mwelewa kumbe ni kibaraka wa magamba......
 
Au jamani mwenzenu masikio yangu? huwa nasikia supika anasenma hivi : Wanafiki waseme Ndiyoooooo.. Na wasio Wanafiki waseme Siyooooo. Mara zote wanafiki huwa wanashinda kwa kuwa ni wengi bungeni, ha ha haaa!!!

kuna aja ya maamuzi katiba mhimili muhimu kama bunge kuwa concesors na siyo majority kama ilivyo sasa.
 
Ukiacha maelezo mengi uliyoandika kwenye thread yako ambayo sikubaliani nayo, nataka nikujibu heading tu!

Mbunge wangu, Mh. Lema anafanya exactly yale tuliyomtuma. Ananiwakilisha vema sana bungeni. Yaani anayafanya yale ambayo ningefanya mimi! Na kwakuwa tulimwagiza na akakubali kutokukubali upuuzi wowote wa ccm usio na manufaa kwetu, anachokifanya sasa ni kutekeleza makubaliano/ ahadi.

God bless Lema!

.
 
Back
Top Bottom