Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
Wadau naomba kuweka hoja jamvini, tutafakari pamoja tukiwa huru kimtazamo tusifungwe na itikadi za vyama wala ushabiki
Kwanini wabunge wa CHADEMA wasingebaki bungeni wakajenga hoja nasi wa Tanzania tukaona kweli wamefanya wajibu wao na wangeona CCM wanapitisha kiubabe au kiitikadi hapo ndio watoke, wakishatoka ndio wanapata cha kutueleza jamani eeeh tumepambana lakini jamaa wametumia wingi wao bungeni tunahitaji nguvu ya umma sasa kuliko sasa wametishiwa nyau wamekimbia.... Ni mtazamo tuuu
Najua mbunge mahali pake pakusema ni bungeni kama anatoka nje na kulalamika wakati ndani hajasema imekaaje?wangefanya kama walivyofanya katika bajeti mnaweka mawazo na mitazamo yenu mwisho wasiku wakikataa ndio mnatoka, sasa leo wametoka wanalalamika nje mambo ambayo kimsingi walitakiwa kuyasemea bungeni kwa kuwa kuwa wao ndio mahali pao pa kusemea
Kwanini wabunge wa CHADEMA wasingebaki bungeni wakajenga hoja nasi wa Tanzania tukaona kweli wamefanya wajibu wao na wangeona CCM wanapitisha kiubabe au kiitikadi hapo ndio watoke, wakishatoka ndio wanapata cha kutueleza jamani eeeh tumepambana lakini jamaa wametumia wingi wao bungeni tunahitaji nguvu ya umma sasa kuliko sasa wametishiwa nyau wamekimbia.... Ni mtazamo tuuu
Najua mbunge mahali pake pakusema ni bungeni kama anatoka nje na kulalamika wakati ndani hajasema imekaaje?wangefanya kama walivyofanya katika bajeti mnaweka mawazo na mitazamo yenu mwisho wasiku wakikataa ndio mnatoka, sasa leo wametoka wanalalamika nje mambo ambayo kimsingi walitakiwa kuyasemea bungeni kwa kuwa kuwa wao ndio mahali pao pa kusemea