Litvinienko
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 313
- 105
Washaambiwa na Daudi Kameruni wabadilishe matumizi ya viungoHicho kiungo unachotumia kufikiri mleta mada si kiungo sahihi!
Washaambiwa na Daudi Kameruni wabadilishe matumizi ya viungoHicho kiungo unachotumia kufikiri mleta mada si kiungo sahihi!
Hiyo ndio heading niliyotegemea kuona kwenye magazeti ya leo kwa sababu kwanza CHADEMA ni chama mbadala na wao hawana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Hiyo milioni 90 zinazohitajika kumpeleka ulimboka India wabunge wa CHADEMA wanaweza sana kuzichanga. Mfano Freeman akitoa milioni 40, Slaa milioni 20, Zitto milioni 15, na zilizobaki zikatolewa na wengine kama akina Edwin Mtei na Ndesamburo naamini kuwa by juma 5 Dr Ulimboka angekuwa Apollo India anafanyiwa matibabu mpaka apone
Wakati huo huo wabunge waliobaki wa CHADEMA wanaweza kuchanga mpaka milini zingine 100 kwa ajili ya familia ya Dr Ulimboka.
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!
Hiyo ndio heading niliyotegemea kuona kwenye magazeti ya leo kwa sababu kwanza CHADEMA ni chama mbadala na wao hawana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Hiyo milioni 90 zinazohitajika kumpeleka ulimboka India wabunge wa CHADEMA wanaweza sana kuzichanga. Mfano Freeman akitoa milioni 40, Slaa milioni 20, Zitto milioni 15, na zilizobaki zikatolewa na wengine kama akina Edwin Mtei na Ndesamburo naamini kuwa by juma 5 Dr Ulimboka angekuwa Apollo India anafanyiwa matibabu mpaka apone
Wakati huo huo wabunge waliobaki wa CHADEMA wanaweza kuchanga mpaka milini zingine 100 kwa ajili ya familia ya Dr Ulimboka.
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!
Net personal worth ya Freeman Mbowe na baba Mkwe wake (Edwin Mtei) ni zaidi ya 50 million USD
Ndesamburo peke yake ana worth zaidi ya 100 million usd
achilia mbali hao vidagaa akina Zitto na wengine
CHADEMA uongozi wao wajuu peke yake hawashindwi kumlipia matibabu Dr Ulimboka huko India
na hii itaonyesha kuwa CHADEMA ni tofauti na CCM sasa sioni kwa nini watu wamekuwa sensitive hivi
Hiyo ndio heading niliyotegemea kuona kwenye magazeti ya leo kwa sababu kwanza CHADEMA ni chama mbadala na wao hawana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Hiyo milioni 90 zinazohitajika kumpeleka ulimboka India wabunge wa CHADEMA wanaweza sana kuzichanga. Mfano Freeman akitoa milioni 40, Slaa milioni 20, Zitto milioni 15, na zilizobaki zikatolewa na wengine kama akina Edwin Mtei na Ndesamburo naamini kuwa by juma 5 Dr Ulimboka angekuwa Apollo India anafanyiwa matibabu mpaka apone
Wakati huo huo wabunge waliobaki wa CHADEMA wanaweza kuchanga mpaka milini zingine 100 kwa ajili ya familia ya Dr Ulimboka.
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!
Hiyo ndio heading niliyotegemea kuona kwenye magazeti ya leo kwa sababu kwanza CHADEMA ni chama mbadala na wao hawana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Hiyo milioni 90 zinazohitajika kumpeleka ulimboka India wabunge wa CHADEMA wanaweza sana kuzichanga. Mfano Freeman akitoa milioni 40, Slaa milioni 20, Zitto milioni 15, na zilizobaki zikatolewa na wengine kama akina Edwin Mtei na Ndesamburo naamini kuwa by juma 5 Dr Ulimboka angekuwa Apollo India anafanyiwa matibabu mpaka apone
Wakati huo huo wabunge waliobaki wa CHADEMA wanaweza kuchanga mpaka milini zingine 100 kwa ajili ya familia ya Dr Ulimboka.
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!
CHADEMA fanyeni hima juu ya matibabu ya Dr Ulimboka jamani
onyesheni tofauti yenu na CCM kwenye hili
Hiyo ndio heading niliyotegemea kuona kwenye magazeti ya leo kwa sababu kwanza CHADEMA ni chama mbadala na wao hawana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Hiyo milioni 90 zinazohitajika kumpeleka ulimboka India wabunge wa CHADEMA wanaweza sana kuzichanga. Mfano Freeman akitoa milioni 40, Slaa milioni 20, Zitto milioni 15, na zilizobaki zikatolewa na wengine kama akina Edwin Mtei na Ndesamburo naamini kuwa by juma 5 Dr Ulimboka angekuwa Apollo India anafanyiwa matibabu mpaka apone
Wakati huo huo wabunge waliobaki wa CHADEMA wanaweza kuchanga mpaka milini zingine 100 kwa ajili ya familia ya Dr Ulimboka.
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!
Kuna watu huwa wanatafutia wenzao ban, kama wewe mleta mada....
Hiyo ndio heading niliyotegemea kuona kwenye magazeti ya leo kwa sababu kwanza CHADEMA ni chama mbadala na wao hawana maneno mengi zaidi ya vitendo.
Hiyo milioni 90 zinazohitajika kumpeleka ulimboka India wabunge wa CHADEMA wanaweza sana kuzichanga. Mfano Freeman akitoa milioni 40, Slaa milioni 20, Zitto milioni 15, na zilizobaki zikatolewa na wengine kama akina Edwin Mtei na Ndesamburo naamini kuwa by juma 5 Dr Ulimboka angekuwa Apollo India anafanyiwa matibabu mpaka apone
Wakati huo huo wabunge waliobaki wa CHADEMA wanaweza kuchanga mpaka milini zingine 100 kwa ajili ya familia ya Dr Ulimboka.
Sasa inawezekana kuwa tayari CHAMA MBADALA cha CHADEMA kinafanya maamuzi ya mwisho juu ya jambo hili lakini kama kweli wakitekeleza hili bas naamini kuwa watakuwa wamejiwekea mazingira mazuri ya hapo baadae
Haya tena CHADEMA kazi kwenu!
sishangai maana ndo waliomtuma , anatumika na cdm huyo nani hajuwi?