Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Jana usiku wamekutwa kata ya kirumba ibanda wakituhumiwa kugawa mlungula na kupigiwa kelele za wezi na watu. Ni Kiwia na Machemuli,hali zao mbaya kwa majeraha ya mapanga. Source wapo rdo.
sikukuu ya wajinga duniani
Ahsante Angel nilikuwa nimeshaamini duh leo inabd niwe mwangalifu nisekamatwa tena masikio,
Nimekupa source,shauri yako usipoamini.
Mlungura!? Tabia hii CDM wameanza lini?
ushahidi wa mlungula hauko wazi ila wananchi walipoona magari ya wah. Yakiranda nyumba hadi nyumba usiku,wakaamua kuchukua sheria mkononi na kuwapigia mwano wa kelele za wezi na kuharibu magari yao vibaya na kuwajeruhi kwa silaha za jadi hadi polisi walipofika na kupiga risasi hewani na kuwaokoa.
Haujanipata mkuu!Hapo nimekushtukia!Happy fools day!!