BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
wabunge wengi wa ccm wapo tayari kufanya lolote ili wapate kurudi bungeni.....uchunguzi wa kina unaonyesha wananchi wamechoshwa na wanaitaji mabadiliko..
Slaa and his team is our only hopewabunge wengi wa ccm wapo tayari kufanya lolote ili wapate kurudi bungeni.....uchunguzi wa kina unaonyesha wananchi wamechoshwa na wanaitaji mabadiliko..
Slaa and his team is our only hope
Hapana!! CHADEMA imezidi kuwa tishio!
Negotiator taratibu na maneno yako mabovu CHADEMA na Slaa lazima washirikiana na vyama vya upinzani wasiposhirikiana nina uhakika CCM itashinda kwa kishindo.
Pumba tu, kama huna cha kuandika soma post za wenzako. unajua uchunguzi wa kina wewe?wabunge wengi wa ccm wapo tayari kufanya lolote ili wapate kurudi bungeni.....uchunguzi wa kina unaonyesha wananchi wamechoshwa na wanaitaji mabadiliko..