Elections 2010 Wabunge wa ccm watapoteza viti kwa 70%

BABA JUICE

JF-Expert Member
Sep 5, 2010
426
52
wabunge wengi wa ccm wapo tayari kufanya lolote ili wapate kurudi bungeni.....uchunguzi wa kina unaonyesha wananchi wamechoshwa na wanaitaji mabadiliko..
 

Negotiator taratibu na maneno yako mabovu CHADEMA na Slaa lazima washirikiana na vyama vya upinzani wasiposhirikiana nina uhakika CCM itashinda kwa kishindo.
Hapana!! CHADEMA imezidi kuwa tishio!
Ona CCM inavyohamaki na ku-panic... wanatumia kila njia na kila hila kwani maji yamewafika shingo! Kuhusu CHADEMA kushirikiana na wapinzani wengine... hilo liko wazi: CUF walipewa offer ya bure ya ugombea mwenza lakini hawakutaka. Sasa unataka CHADEMA ifanye nini zaidi? Hata hivyo pamoja na haya yoooooooooooooooooooooooote bado CHADEMA imekuwa tishio kubwa na itashinda!!!!!!!
 
wabunge wengi wa ccm wapo tayari kufanya lolote ili wapate kurudi bungeni.....uchunguzi wa kina unaonyesha wananchi wamechoshwa na wanaitaji mabadiliko..
Pumba tu, kama huna cha kuandika soma post za wenzako. unajua uchunguzi wa kina wewe?
BABA JUICE
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
  • email.png
    Send Email
user-offline.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateSun Sep 2010Posts2 Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
By the way karibu janvini mpendwa, ungekuwa umesifia ccm ungeambiwa umetumwa lakini kwakuwa chadema aah poa
 
Back
Top Bottom