Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,773
- 2,544
Mbunge wa Kisesa ameingia mitini, hasa ikizingatiwa kuwa aliipinga bajeti waziwazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
baadhi ya wabunge wa ccm wasioiunga mkono bajeti ya serikali akiwemo filikujombe na mpina wamekacha kupiga kura ya kuiunga mkono bajeti ya serikali yao ya ccm. Hii inaashiria nini katika siasa ya chama hicho?.
Mimi niliamini zilikuwa mbwembwe tu za jukwaani asingeweza ikataa. Sasa tunamsubiri jimboni tumhoji alikuwa na maana gani kuikataa hadharani halafu siku ya kura asepe? Mchumia tumbo huyo!
Hata hivyo ni haki yake, na kuwepo kwake kusingebadili lolote. Bado tunawapongeza japo kwa kuonyesha misimamo yao juu ya hili[/QUOTE]
Mkuu, nakushauri usiwasifie. hiyo siyo misimamo ya kishujaa, ni misimamo ya kinafiki.
Mpamabanaji wa kweli hupigana hadi hatua ya mwisho, na siyo kutafuta visingizio vya kuondoka ulingoni ili hali mapambano uliyoyaanzisha bado yanaendelea.
Mbunge wa Kisesa ameingia mitini, hasa ikizingatiwa kuwa aliipinga bajeti waziwazi.
kiukweli sio kama naafiki kiasi hicho bali katika mazingira ya chama kile bora uwe na alibi. Cha msingi hapa ni kubadili taratibu ya upigaji kuraHata hivyo ni haki yake, na kuwepo kwake kusingebadili lolote. Bado tunawapongeza japo kwa kuonyesha misimamo yao juu ya hili[/QUOTE]
Mkuu, nakushauri usiwasifie. hiyo siyo misimamo ya kishujaa, ni misimamo ya kinafiki.
Mpamabanaji wa kweli hupigana hadi hatua ya mwisho, na siyo kutafuta visingizio vya kuondoka ulingoni ili hali mapambano uliyoyaanzisha bado yanaendelea.