Nimefuatilia kwa kiasi bajeti zote mbili ya upinzani na ya serekali iliyopo madarakani.Nimesikia michango ya wabunge wa pande zote mbili,Nimemsikiliza sana Zito Kabwe na wenzake.Natumaini upinzani wametumia wigo mpana zaidi wako hatua kama hatua mbili mbele zaidi ya wenzao pengine ni mapema au wakati muafaka.
Ila waliowengi watakuja kuielewa na kuanza kuipinga/kuikataa bada ya kuja kuchambua bajeti za kila wizara,kwa hiyo ikifikia kipindi wataielewa.
CDM NA UPINZANI wako mbele na wameanza kwa upeo mkubwa mno kuichambua.Tuwa sikilize kwa makini walio na upeo mkubwa wakichangia tutawaelewa wanacho kitaka kwa watanzania na maendeleo ya chi.
Mh Zito nimekusikiliza kwa makini sana katika kipindi cha Jambo TBC leo asubihi na Mh Mnyika nimekusikia asubihi hii Chanel TEN.
Ila waliowengi watakuja kuielewa na kuanza kuipinga/kuikataa bada ya kuja kuchambua bajeti za kila wizara,kwa hiyo ikifikia kipindi wataielewa.
CDM NA UPINZANI wako mbele na wameanza kwa upeo mkubwa mno kuichambua.Tuwa sikilize kwa makini walio na upeo mkubwa wakichangia tutawaelewa wanacho kitaka kwa watanzania na maendeleo ya chi.
Mh Zito nimekusikiliza kwa makini sana katika kipindi cha Jambo TBC leo asubihi na Mh Mnyika nimekusikia asubihi hii Chanel TEN.