Royals
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,466
- 378
Wabunge waoga wanataka kuwatisha wabunge mashujaa mazuzu kweli kweli. Hivi mbunge kama Kangi Lugora unamtishia kufa wakati kwao hadi wanawake wanahudhuria mikutano ya siasa wakiwa na mapanga. Usimtishe Lugora kwa hilo, yeye kaamua kuwa shujaa basi haina mjadala.