Wabunge wa CCM wakataa Kuunga Mkono hoja ya Kujadili Mgomo wa Madaktari

Leo mheshimiwa Mnyika alitaka suala la mgomo wa madaktari lijadiliwe bungeni kama suala la dharura. Kwa mujibu wa kanuni za bunge mtoa hoja alitakiwa kuungwa mkono na wabunge japo kwa kusimama tu kuipa nguvu na msukumo hoja yake lakini wabunge wa CHADEMA walikaa kimya kama hawakuwepo.

Kwa hili wamepotoka, japo wana CDM huwa hawakubari hata kama viongozi wao watafanya utumbo. Kuweni makini, nyie ndiyo tunawategemea kutuletea mabadiliko ya kweli katika nchi yetu miaka 15 ijayo.
 
Ni lazima ajaribu kuikwepa hii hoja, kwa kuwa ukitazama kwa upande mmoja, mgomo wa madaktari una uhusiano wa karibu sana na sakata la posho za wabunge. Kwa wabunge kuongezewa posho (hata kama wanasinzia tuuu!) ni sawa, lakini kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari ni issue. Tunakimbilia majibu mepesi ya hali ya uchumi na kushambula mtu mmoja mmoja badala ya kujibu hoja.
 
Leo mheshimiwa Mnyika alitaka suala la mgomo wa madaktari lijadiliwe bungeni kama suala la dharura. Kwa mujibu wa kanuni za bunge mtoa hoja alitakiwa kuungwa mkono na wabunge japo kwa kusimama tu kuipa nguvu na msukumo hoja yake lakini wabunge wa CHADEMA walikaa kimya kama hawakuwepo. Kwa hili wamepotoka, japo wana CDM huwa hawakubari hata kama viongozi wao watafanya utumbo. Kuweni makini, nyie ndiyo tunawategemea kutuletea mabadiliko ya kweli katika nchi yetu miaka 15 ijayo.

Kumbuka Mnyika keshatamka kuwa hataki posho za kukaa, na hiyo serikali inayolalamikiwa ndio hiyo hiyo inayotoa hiyo nyongeza ya posho sasa ulitegemea wabunge wa CDM ambao wamekengeuka na kukiuka ilani ya chama chao kuhus posho wamuunge mkono Mnyika?
 
wenye akili nzuri baada ya kunotice nafasi imeyeyushwa mbunge wa CUF mhe Hamad Rashid alipopata nafasi ya kuchangia hoja mwisho amiomba serikali iongee na Dr bingwa waliokwenda dom kumuona waziri mkuuu wayamalize na ma dr warudi kazini bila mashariti ameomba sana .huyu amepenyeza tuu kwa maumivu aliyonayo kuona watu wanaagamia.Hata hivyo serikali imekili kwenye kipindi cha maswali kuwa ni miaka miwili sasa haijapeleka fedha za maendeleo pamoja na matumizi mengine yaani OC,wakati huo serikali ilisitisha vyanzo vyote vya halimashauri zetu,je? kwa hali hii serikali itawalipa ma dr kama halimashauri zinakopwa kwa maendeleo ya wapiga kula zao magamba
 
Hahahahaha burudani tupu: hivi Jairo alinukuliwa akitoa comment gani kuhusu wabunge vile?
 
Mnyika rudi jimboni utuongoze kwenye maandamano ndani ya jimbo lako
 
Mkuu kwenye hili ebu fikiria kwa kina! Chadema wamewaachia maamuzi wabunge wa chama tawala. Coz Chadema wameleta hoja ya kitaifa! Na c wao peke yao ndo waiunge mkono.
Hapo ndo tuone ni jinc gani hili suala kwa upande wa ccm liko ki chama na c kitaifa zaidi.
Mbona suala la Jairo wabunge wa ccm ndo waliounga mkono zaidi?
 
Kufuatia kitendo cha Naibu Spika na wabunge walio wengi wa CCM kukataa bunge kujadili mgomo wa madaktari, imefika wakati wananchi tukachukua hatua za kufaa pasipo kuwapatia hawa mafisadi nafasi zaidi ya kututesa. Viongozi wa Biavicha wanatakiwa kuchukua charge na kuitisha maandamnao mara moja ya kuishinikiza serikali kuchukua hatua za kufaa haraka kumaliza mgomo huu la sivyo wananchi watashindwa kuelewa tofauti ya chama tawala na vyma vya upinzani. Ikumbukwe kuwa toka uongozi mpya wa Bavicha kuingia madarakani hatujaona che che zake, hivyo ni wakati sasa wa Mhe Heche kutuonyesha kuwa yupo imara kuongoza jahazi hili.

Najua viongozi wakuu wa CDM wanatamani sana kulinda makubaliano yao na JK kuhusu Katiba lakini hii haitoshi kuacha hali hii kuendelea ilivyo ndio maana vijna nao wana nafasi yao ndani ya janmii na chama chochote kuingila kati pale inapoonekana zinatakiwa nguvu za ziada.

Naomba kuwasilisha


wewe ni mnafiki mkubwa, aliyekwambia maandamano ya kudai haki yanaanzishwa na vyama vya siasa ni nani? Hata wewe unaweza anzisha acha unafiki wako. waambie wanaharakati akina kibamba waanzishe kama wewe huwezi kuliko kuleta upupu wako humu
 
Nadhani haitakuwa vema, kwasababu watakufa sana watu wasio na hatia na wasio na uwezo, mimi na wewe twaweza kukomaa tukatibiwa hata Private Hosptals, na viongozi kama wabunge wao wanaweza kwenda kutibiwa nje ya nchi. Siungi mkono hoja kwasababu moja tuu kwamba inapelekea vifo kwa watu wasio na hatia. Note ninamchukia sana kikkwete kwa moyo wangu wote!!!

Mimi kwangu namuunga mkono MMM kwa sababu huyo Rais na wabunge wamechaguliwa na wananchi, kosa linalofanywa na hao viongozi ni sawa na limefanywa na wananchi waliopiga kura. Kama huyo Rais na wabunge hawawezi kutatua hilo tatizo, basi kivyovyote adhabu inabidi iende kwa wananchi wenyewe.... Nasisitiza wananchi tuna hatia kwa namna moja au nyingine na hakuna mgomo utaoweza kuiumiza serikali, migomo yote serikalini inaumiza wananchi...!!
 
....Mheshimiwa Ndugulile na Mnyika walitoa hoja ya dharura kujadili mgomo wa madaktari maana watanzania wanakufa, kwa maana kuwa waahirishe kazi nyingine za Bunge ili wajadili jambo hili la muhimu. Bahati mbaya hoja zao hazikuungwa mkono wa wabunge kwa kusimama.

Ndipo Naibu Spika Ndugai akasema ni kweli hoja zao zina nguvu na wamefuata kanuni ya 47 ya taratibu za Bunge, ila tatizo hazijaungwa mkono, kwa hiyo tunaendelea na kazi za kawaida.

Ndipo wabunge wakachekelea kwa vicheko vya raha mustarehe utadhani ni jambo la kufurahia. Na nina shaka kuwa serikali inawachezea madaktari, nawaomba endeleeni kukaza uzi kama kawaida. Madam Spika anachelewesha kuruhusu tamko la serikali juu ya hili akiwa na uhakika kuwa madaktari watarudi kazini.

Naomba kazeni buti.

KANUNI ZA KUDUMU ZA BUNGE, TOLEO LA 2007
47.-(1) Baada ya Muda wa Maswali kwisha, Mbunge yeyote anaweza kutoa hoja kuwa Shughuli za Bunge kama zilivyooneshwa kwenye Orodha ya Shughuli ziahirishwe ili Bunge lijadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.


(2) Hoja ya namna hiyo itakuwa ni maalumu na inaweza kutolewa wakati wowote hata kama majadiliano yatakuwa yanaendelea.
(3) Hoja itatolewa na Mbunge kwa kusimama mahali pake na kuomba idhini ya Spika kutoa hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge
kwa madhumuni ya kujadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.


(4) Iwapo Spika ataridhika kwamba jambo hilo ni la dharura, halisi na lina maslahi kwa umma, basi ataruhusu hoja hiyo itolewe kwa
muda usiozidi dakika tano na mjadala juu ya hoja hiyo utaendelea kwa muda ambao Spika ataona unafaa kwa kuzingatia mazingira
ya suala linalojadiliwa.

Ndugu zangu hay ndio maudhui ya ibara ya 47 ya Kanuni za Kudumu za bunge sasa uungwaji mkono upi uliotakiwa? Hebu mtujuze
 
wewe ni mnafiki mkubwa, aliyekwambia maandamano ya kudai haki yanaanzishwa na vyama vya siasa ni nani? Hata wewe unaweza anzisha acha unafiki wako. waambie wanaharakati akina kibamba waanzishe kama wewe huwezi kuliko kuleta upupu wako humu

Hivi toka lini vyama vya siasa vya Tanzania hususan CDM vimeacha kutumia maandamano kma njia ya kushinikiza serikali?
 
Mnyika aliomba mwongozo wa spika kuhusu kanuni ya 47 na 49 ambazo zinahusu hoja za dharura pamoja na kauli za serikali, kwa hiyo lilikuwa ni jukumu la naibu spika kumuita tena Ndugulile au Mnyika kutoa hoja rasmi baada ya kukubali kuwa wamezitumia kanuni hizo vizuri.

Alichokifanya ndugai ni kutafuta exit kuzuia mjadala na sio sababu ya kuunga au kutokuunga mkono hoja.
 
...

Ndipo wabunge wakachekelea kwa vicheko vya raha mustarehe utadhani ni jambo la kufurahia. Na nina shaka kuwa serikali inawachezea madaktari, nawaomba endeleeni kukaza uzi kama kawaida. Madam Spika anachelewesha kuruhusu tamko la serikali juu ya hili akiwa na uhakika kuwa madaktari watarudi kazini.


Naomba kazeni buti.

Lazima wacheke kwasababu wange waunga mkono akina Mnyika maana yake hata issue ya posho zao ingeingilia kati.
 
Katika hali isiyotarajiwa mh Ndugai amekataa kuruhu wabunge kujadili mgomo wa madaktari kwa hati ya dharura.Baada ya maswali na majibu wabunge Ndugulile na Mnyika waliomba mwongozo lakini naibu spika kagoma eti wabunge wengine hawajaunga mkono, halafu wabunge ccm wanashangalia wakati watanzania wenzetu wanaendelea kuumia na kufa. Is this Tanzania we want?

Bunge lilopita kipindi cha mgao wa umeme 'january makamba' aliomba mwongozo wa spika kuomba kujadili swala la mgao wa umeme, bunge liliacha ratiba zake na kumuunga mkono makamba na kuanza kujadili! Mgomo wa madaktari mpaka watakapofikiria wao! Wakati watu wanakufa kwa ajili ya ujinga wa serikali na kutowajali raia wake! Au ndo mnatoa kafara maisha wa tanzania kwa ajili ya ushetani wenu. Mungu atwaalani!
 
Suala linashughulikiwa wewe ulitaka waunge mkono ili iweje????

we mjinga hilo suala linashughulikiwa na nani, watu wengine akili matakoni kwelikweli, watu wanakufa wewe unasema linashunghulikiwa niambi ni mda gani umepita mjinga wewe!:shock::shock:
 
Leo mheshimiwa Mnyika alitaka suala la mgomo wa madaktari lijadiliwe bungeni kama suala la dharura. Kwa mujibu wa kanuni za bunge mtoa hoja alitakiwa kuungwa mkono na wabunge japo kwa kusimama tu kuipa nguvu na msukumo hoja yake lakini wabunge wa CHADEMA walikaa kimya kama hawakuwepo.


Kwa hili wamepotoka, japo wana CDM huwa hawakubari hata kama viongozi wao watafanya utumbo. Kuweni makini, nyie ndiyo tunawategemea kutuletea mabadiliko ya kweli katika nchi yetu miaka 15 ijayo.


KANUNI ZA KUDUMU ZA BUNGE, TOLEO LA 2007
47.-(1) Baada ya Muda wa Maswali kwisha, Mbunge yeyote anaweza kutoa hoja kuwa Shughuli za Bunge kama zilivyooneshwa kwenye Orodha ya Shughuli ziahirishwe ili Bunge lijadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.


(2) Hoja ya namna hiyo itakuwa ni maalumu na inaweza kutolewa wakati wowote hata kama majadiliano yatakuwa yanaendelea.
(3) Hoja itatolewa na Mbunge kwa kusimama mahali pake na kuomba idhini ya Spika kutoa hoja ya kuahirisha Shughuli za Bunge
kwa madhumuni ya kujadili jambo halisi la dharura na muhimu kwa umma.


(4) Iwapo Spika ataridhika kwamba jambo hilo ni la dharura, halisi na lina maslahi kwa umma, basi ataruhusu hoja hiyo itolewe kwa
muda usiozidi dakika tano na mjadala juu ya hoja hiyo utaendelea kwa muda ambao Spika ataona unafaa kwa kuzingatia mazingira
ya suala linalojadiliwa.

Sijui kama niko sahihi lakini nakala ya Kanuni za Kudmu za Bunge ktk ibara ya 47 inasema hivyo, sasa sijui kama kweli Mnyika na Ndugulile walitakiwa kuungwa mkono au ndio kupotezea kwa kuwa kamati ya wabunge wa CCM imeshakaa
 
Bunge lilopita kipindi cha mgao wa umeme 'january makamba' aliomba mwongozo wa spika kuomba kujadili swala la mgao wa umeme, bunge liliacha ratiba zake na kumuunga mkono makamba na kuanza kujadili! Mgomo wa madaktari mpaka watakapofikiria wao! Wakati watu wanakufa kwa ajili ya ujinga wa serikali na kutowajali raia wake! Au ndo mnatoa kafara maisha wa tanzania kwa ajili ya ushetani wenu. Mungu atwaalani!
mkuu mala ngapi huoni wanavyogongana kwa maneno yao na kila kitu hovyo, hizo ni laana hawa watu si wazima kichwani kabisa!
 
Back
Top Bottom