Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Ze comedy anayoizungumzia Jairo ni kuwa ze comedy ni vituko wavifanyavyo wasanii ili vilete taswira fulani lakini haviendani na tabia za wale wasanii, kwa hiyo Jairo anamaanisha kuwa ccm wanajaribu kufanya mambo ambayo hayaendani na jinsi walivyo wao, yaani wanajifanya kupinga ufisadi alioufanya kwa kushirikiana nae halafu kwa kupitia mlango mwingine wanajifanya kutokujua kile jamaa anachofanya cha kuwahonga wabunge ili waipitishe bajeti, sasa kama ndo hivyo kwa nini Masabuli asiseme wanatumia makalio kufikiri na wanauhakika na wanayoyasema na ndio maana EL alisema mwageni mboga mi nimwage ugali kwa sababu hiyohiyo ya ze comedy na kutumia Masabuli kufikiri