BIG X
JF-Expert Member
- Nov 4, 2011
- 777
- 212
Ushawahi sikia mbunge wa CCM akikataa kuunga mkono hoja bungeni!!. Lazima kwanza aanze kujikombakomba!!, mara ooh wananchi wamenituma!, mara ooh najisikia vibaya kutounga mkono hoja!, nitakosa ubunge next election!, waziri ni rafiki yangu sana!, Sijawahi kutounga mkono hoja hii ndio mara yangu ya kwanza!,......................................, halafu ndio imetoka!.