Wabunge wa CCM, hivi tatizo la ITV ni nini?

only83

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
5,343
2,525
Tangu bunge limeanza kujadili mswada wa katiba mpya wabunge wamekuwa wakisema ITV wanachafua amani kwa kuruhusu majadiliano ya katiba..na leo mbunge wa Mafia karudia hilo na kumsema Wilfred Masako kuwa vipindi vyake ukipiga simu kuchangia uwa haipatikani na uwa anaruhusu wapingaji wa serikali ndio wapate line,utadhani Masako ndio Vodacom au Tigo au TTCL ..na ameenda mbali kusifia TBC kuwa wanafanya vyema....

Je,hii ni kweli na kwanini hawa wabunge wanaboa namna hii..
 
Back
Top Bottom