Nimekuwa nafuatilia michango ya wabunge vijana wa ccm kwa muda sasa, nilichogundua ni kwamba ccm kuna wabunge vijana ambao kwa hakika ndio watakaokuwa chachu ya ushindi 2015. Wabunge hao si tu kuwa wameojesha kuwa na uwezo ndani ya bunge hata kwenye mijadala mingine ya kitaifa , hivyo basi ni jukumu letu kama watanzania tuwape sapati ya kutosha hawa wabunge wafuatao: Filikunjombe, Kigwangala,na Januari,