JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..nimesoma kwamba wazee hawa wamemtuma Zitto Kabwe awakutanishe na wabunge vijana.
..lengo ni kuwafunda jinsi ya ku-behave wakiwa ndani ya bunge.
..nakumbuka ktk semina moja Dr.Salim na Jaji Warioba walijaribu kila mbinu kuwasihi Mateo Quares na Joseph Butiku wasikemee utendaji mbovu wa serikali ya CCM.
..wazee hawa ni WAOGA na sidhani kama wana lolote lile lenye tija la kuwapa wabunge wetu vijana.
..lengo ni kuwafunda jinsi ya ku-behave wakiwa ndani ya bunge.
..nakumbuka ktk semina moja Dr.Salim na Jaji Warioba walijaribu kila mbinu kuwasihi Mateo Quares na Joseph Butiku wasikemee utendaji mbovu wa serikali ya CCM.
..wazee hawa ni WAOGA na sidhani kama wana lolote lile lenye tija la kuwapa wabunge wetu vijana.