Wabunge ni wajumbe wa baraza la madiwani kwa nini ufisadi unaendelea wakishiriki kusimamia?

ELIESKIA

Senior Member
Jul 21, 2011
120
15
hawa wabunge ni wajumbe wa mabaraza ya madiwani kwnye majimba yao. na wanapaswa kusimamia halmashaur hizo kama madiwani. iweje leo waje walalamikie bungen kama vile hawakuyaona huko kwnye majimbo yao. ubadhilifu unafanyika na ufisadi mwiny na hoja wanazotoa walipaswa pia kusimamia kule kwny halmashauri.Wazo langu wangeweza kusimamia ubadhilifu kwa kushirikiana na madiwan wengin na kuiwajibisha serekal toka kweny halmashaur
 
Jana ijumaa jioni ya 20/04/2012 na subuhi ya 21/04/2012 mbunge wa ngara, mh. Ntukamazina alijiunga na kambi ya akina zito akitaka baadhi ya mawaziri wang'olewe. Kilio chake si uchungu wa wizi uliofanyika. La hasha. Tegemeo lake ni kwamba wakin'golewa swahiba wake anaweza akampa uwaziri aliomwahidi wakati wa kampeni za 2010. Kama hii haitoshi, aliwataka madiwani wa ngara wawadhibiti watendaji wa halmashauri ya wilaya ya ngara. Ndugu zanguni, huyu mtu ni mbunge na pia kutokana na wadhifa wake ni diwani pia. Nani mwenye rungu kubwa - yeye au hawa madiwani ambao wamefulia ile mbaya yake baada ya kunyimwa viti kwenye meza ya ulaji?
 
Jana ijumaa jioni ya 20/04/2012 na subuhi ya 21/04/2012 mbunge wa ngara, mh. Ntukamazina alijiunga na kambi ya akina zito akitaka baadhi ya mawaziri wang'olewe. Kilio chake si uchungu wa wizi uliofanyika. La hasha. Tegemeo lake ni kwamba wakin'golewa swahiba wake anaweza akampa uwaziri aliomwahidi wakati wa kampeni za 2010. Kama hii haitoshi, aliwataka madiwani wa ngara wawadhibiti watendaji wa halmashauri ya wilaya ya ngara. Ndugu zanguni, huyu mtu ni mbunge na pia kutokana na wadhifa wake ni diwani pia. Nani mwenye rungu kubwa - yeye au hawa madiwani ambao wamefulia ile mbaya yake baada ya kunyimwa viti kwenye meza ya ulaji?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom