Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,463
- 39,929
Nimefikiria kuwa kama kuna jambo linaweza kulazimisha mabafiliko na uwajibikaji bungeni ni kuwazuia wabunge kutoa misaada ya aina yoyote majimboni kwao. Yaani wasitoe misaada ya ujenzi wa visima, madarasa, mabati, nk. Waliopita majimboni ndani ya mwaka miaka miwili wakitoa misaada nao wazuiwe. Nini kitatokea ama kwa wabunge au majimbo yao?