side yako, vikuku vinaashiria nini??? mana nikisoma comments zako sikuelewi vizuri
Mie naamini kwamba kuwa kiongozi ni lazima unakuwa kioo cha jamii na hivyo watu watategemea kuwa utakuwa mfano wa kuigwa. Pia ikumbukwe kwamba kila vazi au uvaaji una sehemu zake. Mbunge kuvaa chain mguuni I don't think it is proper. Tutawakanyaje mabinti zetu wakivaa vikuku kuelekea nursery school?