GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Samahani kama hoja hii ilishawai kujadiliwa kabla
Nilitaka kujua, katiba inasemaje ikiwa mbunge aliyechaguliwa na wananchi hafanyi yale aliyoahidi na/au yaliyotarajiwa kutoka kwake, je wananchi wanauwezo wa kumuondoa kabla ya kipindi cha uchaguzi mwingine au laa
Na ikiwa inawezekana, ni utaratibu gani unatakiwa kufuatwa?
Na Ikiwa haiwezekani, je ni haki kwa wananchi kumchagua mtu awawakilishe kwa miaka mitano, lakini yeye kwakuwa labda alihitaji ubunge kwa ajili ya masuala yake binafsi, basi asifanye hata moja aliloahidi au analoombwa na wananchi wake, wananchi wasubiri mpaka miaka mitano ndio wamuadhibu mtu huyo
Naomba kutoa hoja
Nilitaka kujua, katiba inasemaje ikiwa mbunge aliyechaguliwa na wananchi hafanyi yale aliyoahidi na/au yaliyotarajiwa kutoka kwake, je wananchi wanauwezo wa kumuondoa kabla ya kipindi cha uchaguzi mwingine au laa
Na ikiwa inawezekana, ni utaratibu gani unatakiwa kufuatwa?
Na Ikiwa haiwezekani, je ni haki kwa wananchi kumchagua mtu awawakilishe kwa miaka mitano, lakini yeye kwakuwa labda alihitaji ubunge kwa ajili ya masuala yake binafsi, basi asifanye hata moja aliloahidi au analoombwa na wananchi wake, wananchi wasubiri mpaka miaka mitano ndio wamuadhibu mtu huyo
Naomba kutoa hoja