Wabunge na Mawaziri Muungano Mmeishiwa: SMZ

Junius,

..Zanzibar ilipokatiwa misaada na wafadhili ni Tanganyika ndiyo ilikuwa ikiwasaidia wakati mkichechemea.

..wafadhili wanapotoa msaada wanaelekeza vilevile msaada huo uende eneo lipi na kwa mradi gani.

..kwa mfano: hata huku Tanganyika wafadhili wakisema msaada wao ukasaidie kujenga barabara DSM serikali haiwezi kuchukua fedha hizo na kujenga barabara ya Mtwara ambako kuna matatizo zaidi ya usafiri kushinda DSM.

..kama amri imeshatoka kwa wafadhili kwamba hawatasaidia Zanzibar, usitegemee Waziri wa Fedha aanze kupingana nao. anachoweza kufanya ni kusaidia Zanzibar kwa fedha zinazotokana na vyanzo vya ndani, kitu ambacho kilifanyika.

NB:

..waZenj wako milioni moja tu na kiasi. hata wakiamua wote kuhamia Tanganyika hakutakuwa na matatizo yoyote.

..Muungano uvunjwe, na kuwekwe kipengele kwamba Mzenj yeyote anayetaka kuendelea kuishi Tanganyika ruksa.

..hizi kelele wanazorushiana wanasiasa kila kukicha zinatu-distract wananchi na kupotezea viongozi wetu muda kushughulikia matatizo ya wa-Tanganyika milioni zaidi ya 30.
 
Joka Kuu,
Natofautiana na ww kidogo. Fedha zilikuwa zikija kwa jina la Jamhuri ya Muungano ambazo Zanzibar ilistahili magawanyo yake. Yona alisema kuwa "kwa maelekezo ya wahisani" zanzibar hatuwezi kuwapatia, hakusema kuwa zanzibar hawamo katika fedha hizo.
Kuhusu hicho unachokiita msaada wa Tanganyika wakati huo, naomba tena nitofautiane na ww. Ule haukuwa msaada kitu, yalikuwa ni magawanyo na stahili halali za mapato ya Muungano ambayo zanzibar ilistahili kupata bila ya masharti yoyote. Kama Tanganyika walikuwa wakitoa kama msaada hiyo basi ilikuwa ni hadaa na wizi ambao siku zote wazanzibar wamekuwa wakilalamikia. Sioni kama mtu kumpa haki yake stahili kuwa ndo unamsaidia.
 
Junius,

..Zanzibar ilipokatiwa misaada na wafadhili ni Tanganyika ndiyo ilikuwa ikiwasaidia wakati mkichechemea.

..wafadhili wanapotoa msaada wanaelekeza vilevile msaada huo uende eneo lipi na kwa mradi gani.

..kwa mfano: hata huku Tanganyika wafadhili wakisema msaada wao ukasaidie kujenga barabara DSM serikali haiwezi kuchukua fedha hizo na kujenga barabara ya Mtwara ambako kuna matatizo zaidi ya usafiri kushinda DSM.

..kama amri imeshatoka kwa wafadhili kwamba hawatasaidia Zanzibar, usitegemee Waziri wa Fedha aanze kupingana nao. anachoweza kufanya ni kusaidia Zanzibar kwa fedha zinazotokana na vyanzo vya ndani, kitu ambacho kilifanyika.

NB:

..waZenj wako milioni moja tu na kiasi. hata wakiamua wote kuhamia Tanganyika hakutakuwa na matatizo yoyote.

..Muungano uvunjwe, na kuwekwe kipengele kwamba Mzenj yeyote anayetaka kuendelea kuishi Tanganyika ruksa.

..hizi kelele wanazorushiana wanasiasa kila kukicha zinatu-distract wananchi na kupotezea viongozi wetu muda kushughulikia matatizo ya wa-Tanganyika milioni zaidi ya 30.

Haya yote yanatokea vile ccm mwenyekiti wake taifa ni dhaifu sana!!!! huyo aliyesema kwenye baraza la wawakilishi ni mwana ccm! siju kwa nini mambo haya hawayaongei kiccm kwanza kama utaratibu wao ulivyo!!!
 
Junius,

..hakuna fedha zinazotolewa kama peremende kwa jina la Jamhuri ya Muungano. mambo ya namna hiyo yaliisha miaka ya 80 wakati wa Nyerere.

..naelewa kwamba kuna ile asilimia 4.5% ambayo ni stahiki yenu. pamoja na kwamba mnaona mnastahili zaidi lakini hicho ndicho ambacho msuluhishi wa kimataifa alichopendekeza kwamba mpatiwe.

..kuna fedha zaidi ya mgawo wa 4.5% ambazo Tanganyika ilikuwa ikiwapatia baada ya kukatiwa misaada na wafadhili. acheni mambo ya ujivuni, na muwe na lugha nzuri haswa pale mnaposaidiwa.

..Tanganyika ilikuwa ikisaidia mpaka kulipa mishahara ya watumishi wa SMZ lakini pamoja na uungwana na ukarimu wetu huo mnatuita wezi.
 
Junius,

..
..kuna fedha zaidi ya mgawo wa 4.5% ambazo Tanganyika ilikuwa ikiwapatia baada ya kukatiwa misaada na wafadhili. acheni mambo ya ujivuni, na muwe na lugha nzuri haswa pale mnaposaidiwa.

..Tanganyika ilikuwa ikisaidia mpaka kulipa mishahara ya watumishi wa SMZ lakini pamoja na uungwana na ukarimu wetu huo mnatuita wezi.
Sikiliza Mkuu, ufahamu hivi siasa zenu tunazijuwa, usipige kelele hapa hiyo 4.5%(mpaka saivi ni ya muda tu) hakuna workabale formula ya magawanyo mpaka leo. Na siku hizo kabla ya utaratibu huu wa sasa, ambao ulizuka badala ya malalamiko ya muda mrefu ya zanzibar, hakukuwa na formula yoyote, mamilioni ya stahili ya zanzibar yaliliwa na Tanganyika.
Msaada mkubwa SMT unaowapatia Wazanzibar ni wapiga kura hewa wanapitishwa kwa majahazi katika bandari bunu za kisakasaka na Mkokotoni na msuka kule Pemba, kila kipindi cha uchaguzi. Zanzibar ilishapoteza vyake vingi kwa ajili ya Tanganyika mlipo kuwa mnaburutwa na Nyerere katika siasa zake kandamizi za ujamaa na kujitegemea, mlikuwa mafukara, hohehahe, hamna kitu. Wakati wazanzibari (waliopiga stop azimio la Arusha mwisho chumbe) hawakuwa na hiana kukupeni. Hawakukusimbulieni wala kukudaini hata pale mlipokopeshwa. Leo tanganyika wamekuwa wajuba na kejeli chungu nzima baada ya kwisha watumia na kuwazulu sana wazanzibar.Fedha za vita vya Uganda mpaka leo hamjawalipa na hawajadai,mmebana kimya!!
 
Kwani kilakitu lazima tuige kwa watu, kwani hakiwezi tukawa nacho sisi tu wengine wasiwe nacho duniani? Mimi namwona mwalimu alikuwa na akili aliunda kiu ambacho hata wazungu hawana?? na wanatamani wangekuwa nacho.

Vipi tukivunja muungano leo? Pemba na Unguja watabaki wamoja?? Nyie watu wa visiwani masije mkaanza tena kuomba mkahifadhiwe sumbawanga kama wakimbizi mtakapo chafuliana hali ya hewa huko znz, haya shauri yenu

Akili ya kutukandamiza kwenye lindi la umasikini? ulikuwepo wewe wakati wa Nyerere?
 
Sikiliza Mkuu, ufahamu hivi siasa zenu tunazijuwa, usipige kelele hapa hiyo 4.5%(mpaka saivi ni ya muda tu) hakuna workabale formula ya magawanyo mpaka leo. Na siku hizo kabla ya utaratibu huu wa sasa, ambao ulizuka badala ya malalamiko ya muda mrefu ya zanzibar, hakukuwa na formula yoyote, mamilioni ya stahili ya zanzibar yaliliwa na Tanganyika.
Msaada mkubwa SMT unaowapatia Wazanzibar ni wapiga kura hewa wanapitishwa kwa majahazi katika bandari bunu za kisakasaka na Mkokotoni na msuka kule Pemba, kila kipindi cha uchaguzi. Zanzibar ilishapoteza vyake vingi kwa ajili ya Tanganyika mlipo kuwa mnaburutwa na Nyerere katika siasa zake kandamizi za ujamaa na kujitegemea, mlikuwa mafukara, hohehahe, hamna kitu. Wakati wazanzibari (waliopiga stop azimio la Arusha mwisho chumbe) hawakuwa na hiana kukupeni. Hawakukusimbulieni wala kukudaini hata pale mlipokopeshwa. Leo tanganyika wamekuwa wajuba na kejeli chungu nzima baada ya kwisha watumia na kuwazulu sana wazanzibar.Fedha za vita vya Uganda mpaka leo hamjawalipa na hawajadai,mmebana kimya!!

Wengi hawajui hayo au wanayajuwa lakini wanabana kimya.

Naisifu Serikali Ya Mapinduzi Zanzibar kwa hatua ya kijasiri iliyochukuwa na huyu waziri anasema kweli.
 
Haya yote yanatokea vile ccm mwenyekiti wake taifa ni dhaifu sana!!!! huyo aliyesema kwenye baraza la wawakilishi ni mwana ccm! siju kwa nini mambo haya hawayaongei kiccm kwanza kama utaratibu wao ulivyo!!!

Upuuzi huo, kwani hujaona akisema hayo ni maamuzi ya Baraza La Mapinduzi? hebu niambie baraza la mapinduzi ni nani asie ccm?

Huna hoja?
 
Junius said:
Sikiliza Mkuu, ufahamu hivi siasa zenu tunazijuwa, usipige kelele hapa hiyo 4.5%(mpaka saivi ni ya muda tu) hakuna workabale formula ya magawanyo mpaka leo. Na siku hizo kabla ya utaratibu huu wa sasa, ambao ulizuka badala ya malalamiko ya muda mrefu ya zanzibar, hakukuwa na formula yoyote, mamilioni ya stahili ya zanzibar yaliliwa na Tanganyika.
Msaada mkubwa SMT unaowapatia Wazanzibar ni wapiga kura hewa wanapitishwa kwa majahazi katika bandari bunu za kisakasaka na Mkokotoni na msuka kule Pemba, kila kipindi cha uchaguzi. Zanzibar ilishapoteza vyake vingi kwa ajili ya Tanganyika mlipo kuwa mnaburutwa na Nyerere katika siasa zake kandamizi za ujamaa na kujitegemea, mlikuwa mafukara, hohehahe, hamna kitu. Wakati wazanzibari (waliopiga stop azimio la Arusha mwisho chumbe) hawakuwa na hiana kukupeni. Hawakukusimbulieni wala kukudaini hata pale mlipokopeshwa. Leo tanganyika wamekuwa wajuba na kejeli chungu nzima baada ya kwisha watumia na kuwazulu sana wazanzibar.Fedha za vita vya Uganda mpaka leo hamjawalipa na hawajadai,mmebana kimya!!

Junius,

..hiyo 4.5% ni kiwango ambacho kiliamuliwa na msuluhishi wa kimataifa. si suala ambalo waliamua wa-Tanganyika wenyewe.

..hata suala la mafuta mshauri aliyetafutwa ametoa ushauri ambao Zanzibar hamuutaki.

..kila panapotokea matatizo na tukayapeleka yakaamuliwa na wasuluhishi ambao ni impartial bado mnaonekana hamridhiki.

..binafsi nadhani tufike mahali tukubaliane kwamba labda Muungano is wa aina yoyote ile is something the Zanzibari can not leave with.

NB:

..wakati SMZ ina mapesa ya karafuu, Tanganyika nayo ilikuwa na pesa nyingi tu kutokana na mkonge, kahawa, na korosho.

..hivi hujawahi kusikia kwamba Tanganyika ilikuwa kati ya wazalishaji wakuu wa katani duniani? hujawahi kusikia kwamba kulikuwa na coffee boom ambayo Tanganyika ilifaidika nayo?

..huu utajiri wa karafuu wa Zanzibar mnauzungumzia as if ni sawa na utajiri wa Dubai, Kuwait, au Brunei.

..Tanganyika is too big na isingewezekana hata siku moja tuishi kwa jasho la waZenj na utajiri wa karafuu wa serikali yao.

..kama karafuu ingekuwa inawafaa kiasi hicho angalau tungeona dalili za mabaki ya utajiri huo Pemba.
 
Wanasiasa mara nyingine ni wajanja sana.Hii ni mbinu ya kuhalalisha tamaa zao na sio maslahi ya wazenj. Huu muungano wanaoudharau kama si chochote ndo unao wasitiri wakawa wanakaa kama wazanzibar.Siku utakapovunjika watashangaa yatakayojiri. Kuna usemi kuwa ndege mjanja anaswa na tundu bovu.Hawa jamaa ni wajanja kweli!!
 
Junius,

..hiyo 4.5% ni kiwango ambacho kiliamuliwa na msuluhishi wa kimataifa. si suala ambalo waliamua wa-Tanganyika wenyewe.

..hata suala la mafuta mshauri aliyetafutwa ametoa ushauri ambao Zanzibar hamuutaki.

..kila panapotokea matatizo na tukayapeleka yakaamuliwa na wasuluhishi ambao ni impartial bado mnaonekana hamridhiki.

..binafsi nadhani tufike mahali tukubaliane kwamba labda Muungano is wa aina yoyote ile is something the Zanzibari can not leave with.

NB:

..wakati SMZ ina mapesa ya karafuu, Tanganyika nayo ilikuwa na pesa nyingi tu kutokana na mkonge, kahawa, na korosho.

..hivi hujawahi kusikia kwamba Tanganyika ilikuwa kati ya wazalishaji wakuu wa katani duniani? hujawahi kusikia kwamba kulikuwa na coffee boom ambayo Tanganyika ilifaidika nayo?

..huu utajiri wa karafuu wa Zanzibar mnauzungumzia as if ni sawa na utajiri wa Dubai, Kuwait, au Brunei.

..Tanganyika is too big na isingewezekana hata siku moja tuishi kwa jasho la waZenj na utajiri wa karafuu wa serikali yao.

..kama karafuu ingekuwa inawafaa kiasi hicho angalau tungeona dalili za mabaki ya utajiri huo Pemba.
Mkuu saivi ndo unanionyesha kiwango chako cha uelewa wa suala hili ina limit fulani hivi au unafanya makusudi tu. 4.5% ilishauriwa na wataalamu wa nchi wahisani kwa mgawanyo wa misaada ya Muungano, SMT kwa kuwa so far hawana formula kubalifu ya kugawana mapato ya Muungano, wakaamua kwa muda tu waitumie formula hiyo mpaka hapo ufumbuzi wa uhakika utakapopatikana(katika hizo zinazoitwa kero za muungano).
Mshauri mwelekezi kaitka suala la mafuta ametowa mawazo ambayo yamekuwa corrupted na mafisadi nyangumi na mapapa huko huko tanganyika, zanzibar hatu entertain his stupidity and absurd reasonings.
Usitake kukataa kuwa Zanzibar ilishaipiga tafu Tanganyika. Kama Zanzibar iliweza kuwapa msaada nchi kama Yemeni mapaka leo barua yao ya shukurani ipo nyaraka pale, ishindweje kuwasadia ndugu zao wa tanganyika?!
Sikatai kuwa mapato makubwa ya zanzibar yalikua kutokana na zao la karafuu lakini usikatae kuwa zanzibar ilishajiimarisha kibiashara kupisha anguko la zao hilo kwa kutumia bandari yake, njaa za viongozi wezi wa SMT wakaifisidi bandari na mamilioni ya fedha sasa kutoka bandarini zanzibar yanaishia matumboni mwa viongozi wenu wezi.Equalization of tax enhh!!! wizi mtupu na choyo tu.
Kwa mgawanyo wa kimaendeleo hebu nambie hiyo katani yenu na kahawa imewezeshaje kuyafanya maendeleo ya jiji la DSM yawe makubwa kuliko miji mengine?
 
Junius,

..well, waZenj mnalilia 10% ya mapato ya Muungano wakati mchango wenu na idadi ya watu hailingani na kiwango hicho.

..tueleze ni jambo gani linaloihusu Tanganyika pekee ambalo Zenj imewahi kusaidia. kama ni vita ukumbuke kwamba ulinzi ni suala la Muungano.

..ninachokataa mimi ni yale madai kwamba upo wakati Tanganyika ilikuwa na hali mbaya sana, na tukakosa msaada kila mahali, Zenj ndiyo ikatuokoa. hilo halijawahi kutokea.

..Tanganyika pia imewahi kusaidia mataifa mbalimbali kama Msumbiji, Angola, Namibia, Zimbabwe etc etc.

..suala la bandari huru na manufaa yake kwa Zenj ni mjadala mwingine kabisaa. lakini ujenzi wa gati bandarini hapo ulihujumiwa kwa uzembe na tamaa ya waZenj wenyewe.

NB:

..halafu naona mmeweka mkazo kwenye bandari huru tu, wakati kuna UTALII ambao unaweza kuwasaidia.

..badala ya kupiga siasa mngejifunza toka kwa Seychelles jinsi walivyoweza kuinuka kutokana na utalii.
 
Junius,

..well, waZenj mnalilia 10% ya mapato ya Muungano wakati mchango wenu na idadi ya watu hailingani na kiwango hicho.

..tueleze ni jambo gani linaloihusu Tanganyika pekee ambalo Zenj imewahi kusaidia. kama ni vita ukumbuke kwamba ulinzi ni suala la Muungano.

..ninachokataa mimi ni yale madai kwamba upo wakati Tanganyika ilikuwa na hali mbaya sana, na tukakosa msaada kila mahali, Zenj ndiyo ikatuokoa. hilo halijawahi kutokea.

..Tanganyika pia imewahi kusaidia mataifa mbalimbali kama Msumbiji, Angola, Namibia, Zimbabwe etc etc.

..suala la bandari huru na manufaa yake kwa Zenj ni mjadala mwingine kabisaa. lakini ujenzi wa gati bandarini hapo ulihujumiwa kwa uzembe na tamaa ya waZenj wenyewe.

NB:

..halafu naona mmeweka mkazo kwenye bandari huru tu, wakati kuna UTALII ambao unaweza kuwasaidia.

..badala ya kupiga siasa mngejifunza toka kwa Seychelles jinsi walivyoweza kuinuka kutokana na utalii.
Zanzibar halili, inadai haki yake na mgawanyo wa haki hautazami udogo au ukubwa wa mwenye haki bali haki yenyewe. Mlipotulazimisha kuungana hamkujuwa kuwa zanzibar ni nchi ndogo na watu wake kidogo?
Ndugu, ulinzi ni suala la Muungano lakini vita vya umavamizi wa nchi za watu kwa maslahi ya watu binafsi si suala la muungano wala halikuwa la Tanganyika. Kumbuka tu mchango wa zanzibar katika vita vile ulitakiwa umalizie baada ya majeshi ya Amin kuondoka kataka ardhi ya Tanganyika na mipaka ya tanganyika kuwa salama. Kilicho fuatia hapo hakikuwa na lazima kwa maslahi ya taifa ya kwenda kuvamia Uganda just Nyerere kuwafurahisha marafiki zake tu.
Mkuu, zanzibar ilianza kufungua milango ya biashara huru mapema miaka ya 1980, wakati huo Tanganyika Nyerere akitafuta maadui na kukandamiza wapinzani wake tu. Hata televisheni ya Black and White hamkuwa nayo wakati huo, hukumbuki siku hizo wafanyabiashara wa wanzazibar walishazowea kutumia dola, na mlipo wakamata nazo uwanja wa ndege Tanganyika mkawashitaki kwa jinai, kwenu ilikuwa kutumia dola wakati huo ni kosa la jinai la uhujumu uchumi, ushasahau?
Ushasahau kuwa ni Mzee Rukhsa alietoka Zanzibar kuja bara kipindi hicho na kuchukua sera za biashara huru alizoanzisha kule zanzibar na kufungua milango yake huko kwenu Tanganyika mpaka mkaona utaamu wanaofaidi wenzenu kule zanzibar, ushasahau ww? Unadhani msaada mdogo huo mtu kukupa nyavu ukavue badala ya samaki?
Hebu nambie kuanzia hapo hamkuanza kuona televisheni? mapaka wataalamu wa televisheni zanzibar ilikupatieni kwa kuanzia, akina Kututwa, Chande Omar,Mitawi n.k mkaanza kujifundisha kuvaa mitumba weeee mpaka wafanyabiashara wa kizanzibar walipokuleteeni vitu kutoka Dubai na Falme za kiarabu, wakakufundisheni mpaka namna ya kuvaa, mkaacha kuvaa raizoni, mkavaa Nike, adiddas, Puma n.k, Hata mikato ya nyele mkabadilisha mkaacha mambo ya Afro mkafundishwa mitindo mipya. Yote hayo Mzee Ruksa(na nyinyi ndo mmpempa jina hilo kwa sababu hizo za kukufundisheni ustaarabu kutoka zanzibar)
Mimi sizungumzii ujenzi wa gati bali shughuli za kibiashara za hapo gatini wenzetu mmezitia mfukoni kututia umasikini bure!!!
 
Zanzibar halili, inadai haki yake na mgawanyo wa haki hautazami udogo au ukubwa wa mwenye haki bali haki yenyewe. Mlipotulazimisha kuungana hamkujuwa kuwa zanzibar ni nchi ndogo na watu wake kidogo?
Ndugu, ulinzi ni suala la Muungano lakini vita vya umavamizi wa nchi za watu kwa maslahi ya watu binafsi si suala la muungano wala halikuwa la Tanganyika. Kumbuka tu mchango wa zanzibar katika vita vile ulitakiwa umalizie baada ya majeshi ya Amin kuondoka kataka ardhi ya Tanganyika na mipaka ya tanganyika kuwa salama. Kilicho fuatia hapo hakikuwa na lazima kwa maslahi ya taifa ya kwenda kuvamia Uganda just Nyerere kuwafurahisha marafiki zake tu.
Mkuu, zanzibar ilianza kufungua milango ya biashara huru mapema miaka ya 1980, wakati huo Tanganyika Nyerere akitafuta maadui na kukandamiza wapinzani wake tu. Hata televisheni ya Black and White hamkuwa nayo wakati huo, hukumbuki siku hizo wafanyabiashara wa wanzazibar walishazowea kutumia dola, na mlipo wakamata nazo uwanja wa ndege Tanganyika mkawashitaki kwa jinai, kwenu ilikuwa kutumia dola wakati huo ni kosa la jinai la uhujumu uchumi, ushasahau?
Ushasahau kuwa ni Mzee Rukhsa alietoka Zanzibar kuja bara kipindi hicho na kuchukua sera za biashara huru alizoanzisha kule zanzibar na kufungua milango yake huko kwenu Tanganyika mpaka mkaona utaamu wanaofaidi wenzenu kule zanzibar, ushasahau ww? Unadhani msaada mdogo huo mtu kukupa nyavu ukavue badala ya samaki?
Hebu nambie kuanzia hapo hamkuanza kuona televisheni? mapaka wataalamu wa televisheni zanzibar ilikupatieni kwa kuanzia, akina Kututwa, Chande Omar,Mitawi n.k mkaanza kujifundisha kuvaa mitumba weeee mpaka wafanyabiashara wa kizanzibar walipokuleteeni vitu kutoka Dubai na Falme za kiarabu, wakakufundisheni mpaka namna ya kuvaa, mkaacha kuvaa raizoni, mkavaa Nike, adiddas, Puma n.k, Hata mikato ya nyele mkabadilisha mkaacha mambo ya Afro mkafundishwa mitindo mipya. Yote hayo Mzee Ruksa(na nyinyi ndo mmpempa jina hilo kwa sababu hizo za kukufundisheni ustaarabu kutoka zanzibar)
Mimi sizungumzii ujenzi wa gati bali shughuli za kibiashara za hapo gatini wenzetu mmezitia mfukoni kututia umasikini bure!!!

Yakhe una matusi wewe!
 
Zanzibar halili, inadai haki yake na mgawanyo wa haki hautazami udogo au ukubwa wa mwenye haki bali haki yenyewe. Mlipotulazimisha kuungana hamkujuwa kuwa zanzibar ni nchi ndogo na watu wake kidogo?
Ndugu, ulinzi ni suala la Muungano lakini vita vya umavamizi wa nchi za watu kwa maslahi ya watu binafsi si suala la muungano wala halikuwa la Tanganyika. Kumbuka tu mchango wa zanzibar katika vita vile ulitakiwa umalizie baada ya majeshi ya Amin kuondoka kataka ardhi ya Tanganyika na mipaka ya tanganyika kuwa salama. Kilicho fuatia hapo hakikuwa na lazima kwa maslahi ya taifa ya kwenda kuvamia Uganda just Nyerere kuwafurahisha marafiki zake tu.
Mkuu, zanzibar ilianza kufungua milango ya biashara huru mapema miaka ya 1980, wakati huo Tanganyika Nyerere akitafuta maadui na kukandamiza wapinzani wake tu. Hata televisheni ya Black and White hamkuwa nayo wakati huo, hukumbuki siku hizo wafanyabiashara wa wanzazibar walishazowea kutumia dola, na mlipo wakamata nazo uwanja wa ndege Tanganyika mkawashitaki kwa jinai, kwenu ilikuwa kutumia dola wakati huo ni kosa la jinai la uhujumu uchumi, ushasahau?
Ushasahau kuwa ni Mzee Rukhsa alietoka Zanzibar kuja bara kipindi hicho na kuchukua sera za biashara huru alizoanzisha kule zanzibar na kufungua milango yake huko kwenu Tanganyika mpaka mkaona utaamu wanaofaidi wenzenu kule zanzibar, ushasahau ww? Unadhani msaada mdogo huo mtu kukupa nyavu ukavue badala ya samaki?
Hebu nambie kuanzia hapo hamkuanza kuona televisheni? mapaka wataalamu wa televisheni zanzibar ilikupatieni kwa kuanzia, akina Kututwa, Chande Omar,Mitawi n.k mkaanza kujifundisha kuvaa mitumba weeee mpaka wafanyabiashara wa kizanzibar walipokuleteeni vitu kutoka Dubai na Falme za kiarabu, wakakufundisheni mpaka namna ya kuvaa, mkaacha kuvaa raizoni, mkavaa Nike, adiddas, Puma n.k, Hata mikato ya nyele mkabadilisha mkaacha mambo ya Afro mkafundishwa mitindo mipya. Yote hayo Mzee Ruksa(na nyinyi ndo mmpempa jina hilo kwa sababu hizo za kukufundisheni ustaarabu kutoka zanzibar)
Mimi sizungumzii ujenzi wa gati bali shughuli za kibiashara za hapo gatini wenzetu mmezitia mfukoni kututia umasikini bure!!!



Hekima yangu inaniambia kuwa unakoelekea ni kuipotezea nguvu post yako ya kwanza. Naamini ilikuwa hoja nzuri sana kujadiliwa na wana jamii ili kila upande upate kujua ni nani anafaidika zaidi kutokana na mwenzake. Sasa matusi kwa watanzania wote ni vita itakayogeuza kabisa hoja ya msingi.

Ushauri: Tuombe msamaha ili tuendelee kujadiliana kwa hekima, kama utabisha nawashauri wanajamii wengine watumie hekima yao kukusamehee na tuendelee na hoja nzuri ambazo hazina matusi.

Msimamo wangu.

Miaka Arobaini ya muungano, mtu mwenye hekima badala ya kusema hili lisiwe la muungano ningetegemea mambo ya muungano yaongezeke.

Inasikitisha kwamba siku zote watu wanaongelea kuyapunguza ili muungano usiwepo. Huu ni ubinafsi usiopimika kwa urahisi.

Pemba na unguja si wamoja na wala hawana muungano wowote. ni rahisi zaidi kwao kujitoa kwenye serikali ya zanzibar kuliko zanzibar kujitoa kwenye seriksali ya muungano.

Nashauri tutumie nafasi hii kuwaelewesha hawa wanasiasa wanomwaga sumu kali ya chuki kwa watanzania ili tugawanyike, tusiwaunge mkono kamwe. Weenzetu duniani wanaungana vipi sisi tunahubiri utengano?.
 
Zanzibar pia ni rahisi kujitoa kwenye Muungano ,tatizo serikali zote mbili wanafadhiliana kukaa kwenye madaraka ,Mgombea kiti cha uraisi .CCM Tanganyika wanategemea Zanzibar na Mgombea Zanzibar anategemea CCM wa Tanganyika.
Ila siku upinzani ukishika madaraka na kuwatolea uvivu mafisadi ni lazima ikubalike kuwa kunahitajika ukarabati wa haraka wa Muungano au mkataba mpya la sivyo patagawanywa mbao.
 
Mimi kinachonifikirisha si kauli za hawa wanasiasa wa Zanzibar. Tunajua hizi ni Tambo za kuelekea uchaguzi mkuu. Kinachonifikirisha ni hii trend ya watu kudharau katiba. Mambo ya muungano ni mambo ya Kikatiba, yaani katiba ya JMT. Na hawa viongozi wa SMZ wanajua hilo. Hata utaratibu wa kubadili katiba wanaujua. Kwa nini wanakuja na kauli zinazoonesha kutojari na kuidharau katiba? Hii ni trend ndani ya chama tawala. Na ninashangaa kuwa ni spika tu ndo ameshatoa kauli.

Hivi huyu mkuu wa nchi ameshaamua kuwa nchi hii haiongozwi kwa mujibu wa katiba? Au hakubaliani na katiba iliyopo kwa hiyo amewaachia tu watu wa chama chake wafanye mambo yao wanayofikiri ni bora? Kwa nini haijatoka kauli ya mtetezi mkuu wa katiba aliyeapa kuilinda? Kwa nini asiwaambie viongozi wa chama chake walio chini yake kuwa wanao utaratibu wa kufanya mambo? Labda haoni madhara ya kauli kama hizi za kuikana katiba waziwazi au hajali!!
 
Yakhe una matusi wewe!
No, si matusi Mkuu, Joka Kuu alinitaka niseme kitu gani zanzibar inajidai imewasaidia Tanganyika? najuwa hayo yoote anayafahamu, lakini alitaka nimkumbushe nami nimemkumbusha tu, au kuna uwongo hapo Mkuu???

Ushauri: Tuombe msamaha ili tuendelee kujadiliana kwa hekima, kama utabisha nawashauri wanajamii wengine watumie hekima yao kukusamehee na tuendelee na hoja nzuri ambazo hazina matusi.

Msimamo wangu.

Miaka Arobaini ya muungano, mtu mwenye hekima badala ya kusema hili lisiwe la muungano ningetegemea mambo ya muungano yaongezeke.

Inasikitisha kwamba siku zote watu wanaongelea kuyapunguza ili muungano usiwepo. Huu ni ubinafsi usiopimika kwa urahisi.

Pemba na unguja si wamoja na wala hawana muungano wowote. ni rahisi zaidi kwao kujitoa kwenye serikali ya zanzibar kuliko zanzibar kujitoa kwenye seriksali ya muungano.

Nashauri tutumie nafasi hii kuwaelewesha hawa wanasiasa wanomwaga sumu kali ya chuki kwa watanzania ili tugawanyike, tusiwaunge mkono kamwe. Weenzetu duniani wanaungana vipi sisi tunahubiri utengano?.
Kwanza niseme tu naheshimu msimamo wako Mkuu.
Ila sioni haja ya kuomba radhi kwa kuwa najuwa hapana kosa kujadili kitu cha kweli kabisa. Kama matusi hapa jukwaani Wazanzibar weshavumilia kejeli, dharau,kudogoweshwa n.k lakini kwa kuwa kila mtu anahaki ya kutoa maoni na yupo huru kufanya hivyo, tunaendelea tu kuheshimu na ndo maaana nikatangulia kusema hapo juu kuwa naheshimu mawazo yako,japo baadhi sikubaliani nayo.
Kuhusu umoja wa Unguja na Pemba, huwezi kuwa na hoja ya maana ukisema hakuna kitu hicho,hutaweza popote kuipatia mashiko wala mifano hoja hiyo ikafahamika popote. Mtoto mdooogo kule visiwani akikusikia tu unasema hivyo atakachokifanya ni kuita gari la wagojwa wakili wakuwahishe kidongo chekundu(hospitali ya matatizo ya afya ya akili).
Mkuu, kuhusu muungano labda nikukumbushe maneno ya Nyerere kua "...panapokosekana haki basi hapatakuwa na amani..." na muundo wa muungano maumbile yake si ya haki mkuu. Ndo maana tokea uasisiwe umekuwa unalindwa na jeshi na si wananchi ambao hawana haja nao.

Mambo ya muungano ni mambo ya Kikatiba, yaani katiba ya JMT. Na hawa viongozi wa SMZ wanajua hilo.
Mkuu, mambo ya Muungano ni ya kimkataba. Na ndo maana kupuuzwa kwake huo mkataba kwa maslahi ya wavimba matumbo kumekuwa matatizo hayeshi kila siku. kama ingekuwa ni katiba kulikuwa kuna haja gani kuwepo kamati za PM na CM kujadili kero za Muungano wakati kila kitu kipo kwenye katiba, katiba si sheria mama ya nchi why then, tuwasumbue Pinda na Shamsi? crazy ehh!!!
Tatizo wanalijuwa kuwa mkataba wa muungano umedharauliwa na watu wanafata matashi yao tu, ndo maana wanaleta kiini macho cha kutatua kero za muungano kwa kuwatumia premiers,huu upuuuzi tu.Lets go back to the contracts na pande zote husika zikae amicably watazame palipo kosewa. Hili suala la wanasheria wa serikali na wadau wengine wa kada hizo, si akina Pinda na Shamsi.
 
Au tutengane kuwe na nchi mbili jirani tu, Tanganyika na Zanzibar?

Wadanganyika watabaki wanasikia kwa mbali mgogoro kati ya Unguja na Pemba (ndani ya nchi ya Zanzibar)...
 
Back
Top Bottom