KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Tarehe 25/3/2011 Mfnayakazi wa kampuni ya tanzanite one Cpl Raphael Wisso alishambuliwa na majambazi akiwa kazini kwa BOMU la kutupwa na Mkono na kupoteza mkono na macho yake kama anavyo onekana katika picha.
Mtu huyu hawezi kuona tena lakini makaburu wamekaa kimywa wanasema hana haki yoyote ile .
Sambamba na hilo Wapo Watanzania ambao wamekuwa wana wanyanyasa wazawa huku wakiwa upande wa Makaburu.
Hata hivyo Balozi Ammy Mpungwe ambaye ndiye aliye waleta Makaburu hao kutoka South Afrika amekuwa akiwakandamiza Wazawa huku akifanya njama za kukwepa kodi
Balozi Ammy Mpungwe ni mwenyekiti wa Bodi wa Tanzanite one.
Ninawamba wazawa na wapenda haki kufanya jitihada kumusaidia Cpl Raphael popote pale mlipo amekandamizwa na sasa amepata ulemavu wa maisha.
TANZANITE ONE UNYANYASAJI!!!!!!!!!!!!!!
Mnamo tarehe 25 March 2011, Majambazi walivamia Mgodi wa Tanzanite One Wakiwa na Bomu la Mkono na Kumushambulia Mlinzi wa Mgodi huo na kumujeruhi COplo RAHAEL ANDREAS WISSA ambapo alikimbizwa kwenye dispensary ya Kampuni na baadaye kupelekwa hospitali ya KCMC kwa matibabu Zaidi .
Taarifa zinaonyesha kuwa tangia Tarehe 21/06/2011 Bw amekuwa akitibiwa katika hospitali hiyo mpaka tarehe 12/12/2011 ambapo aliruhusiwa kuondoka kwa ajiri ya kuendelea na matibabu nyumbani.
Utawala wa Tanzania One Ulimuahidi kumupeleka mgonjwa nchini Australia kwa ajiri ya uangalizi maalum wa macho lakini ghafla maamuzi hayo yalibadilika na kufanya uchunguzi huo hapa DSM.
Hata hivyo tarehe 22/03/2012 CPL Raphael Andreas Wissa alipewa taarifa rasimi na daktari wa The Aga Khan Hospital ,Dar es Salaam kuwa hata ona tena Maishani.
Cpl Raphael alianza kufuatilia haki zake kutokana na kupoteza Mkono, kuto ona tena na kuvunjika mguu lakini ,Mzee MWANI ( 0754 292999) ambaye ni msemaji wa kampuni hiyo alimwambia atapewa Tshs 2,000,000/- .Hata hivyo kampuni hiyo inaendelea kumulipa mshahara lakini hieleweki hatima ya malipo ya fidia kutokana na kuumia kazini.
Taarifa kutoka ofisi za Malipo zinzonyesha kuwa Cpl Rahael analipwa Tshs 500,000/= lakini pesa halisi inayomfikia kwa mwezi ni Tshs 280,000/=.
Hadi sasa Mgonjwa hawezi kufanya kazi yoyote Maishani na hawezi kuingiza kipato chochote na hivyo kupati kama mlemavu wa maisha. Mpaka naandika waraka huu , Mgonjwa anadaiwa Kodi ya Nyumba, ada za watoto na madeni yanayotokana na majukumu yake kama Mwanaume na baba wa familia.
Sambamba na taarifa hii Wametajwa Wahusika kadhaa ambao wapo upande wa Tanzanite One kama ifuatavyo:
Mining Manager( Mr Damiani) 0767 600903; Mr Dotto ( 0767 600916, 0755 496717); Mzee MWANI ( 0754 292999) Msemaji wa kampuni; Mr WESSEL MARAI (0754 600994) General Manager; Mr Bernad Oliver (0754 600992) Chief Executive Officer; Balozi Ammy Mpungwe ( 0754 222333) Mweyekiti wa Bodi ya wakurungenzi Tanzanite One ambaye alikuwa balozi wa Tanzania South Africa na ndiye aliyewaleta Wawekezaji hawa kuja kupora mali ya umma; Mr Deogratias( 0767 600996) Afisa Usalama wa Mgodi.
Mr Maliki (0754 3163030 dereva anayemwendesha Balozi Ammy Mpungwe
UHUJUMU UCHUMI NA UKWEPAJI KODI.
Wakati Serikali ikikosa pesa za kutosha kukidhi bajeti ya 2012/2013 na kushindwa kuwalipa madaktari mishahara wanayotaka ,Kampuni ya Tanzanite One inafanya jitihada kupbadilisha jina na kuitwa RichLand Resources kwa Malengo ya kukwepa kodi. Pia Uchunguzi umebaini kuwa hujuma hiyo ya kuikosesha mapato serikali inaongozwa na Wazawa akiwemo Balozi Ammy Mpungwe na Mzee MWANI ambao wanatumia Uzoefu wao Kubadilisha kampuni na kupora mali ya umma. Hata hivyo tumeweza kubaini kwamba Kampuni ya Tanzanite One inayo jishughulisha na Shughuli hatalishi za Uchimbaji madini haina Insurance inayolingana na hatari inayo wakumba Wafanyakazi kwa malengo ya kukwepa kulipa fidia huku wakipora nchi.
Kampuni hii imejika zaidi katika Mkoa wa Arusha Mirerani na kwa sasa kutokana na kukwepa kodi inadaiwa na serikali Zaidi ya dola za Marekani Millioni Mbili
(US$2,000,000 ) sawa na Tshs 3,149,480,000/-kutokana na kutolipa kodi mbalimbali kati ya mwaka 2004 hadi 2008. Taarifa zinaonyesha kuwa wapo wafanyakazi wasiowadilifu kutoka TRA ambao wamekuwa wakipewa rushwa na kuelekeza mbinu za kukwepa Kodi hiyo huku wakiwashauli wahusika kubadili jina la kampuni.
Baada ya Mpango huo wa siku nyingi kubainika , serikali imezuia kutolewa kwa lesseni mkwa Kampuni ya Tanzanite One hadi deni hilo litakapo lipwa ikiwa ni pamoja na kutekeleza masharti mapya ya sheria ya madini ya mwaka 2010.
Masharti hayo ni pamoja na kurejesha 50% ya hisa zake serikalini kwa mujibu wa sheria hiyo ili zigawanywe kwa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro na kwa wananchi wazawa.
Hata hivyo Balozi Ammy anatajwa kuandaa mpango ili wazawa watao chukua hisa hizo wawe ni wale walioko kwenye mtandao wake ili mali hizo zirudi kwa wenyewe.
Pia inaonyesha kuwa leseni ya kampuni hiyo imeisha muda wake Juni 30,2012 na kwamba hadi sasa imezuiliwa kupewa nyingine hadi mashart yatakapo tekelezwa.
Sambamba na masharti haya , kampuni hiyo imepewa sharti la uchafuzi wa mazingira ambapo imelazimishwa kuhakikisha uchafu unaotokana na uchimbaji huo hauathiri wananchi wanao zungunguka mgodi huo.
Aidha wametakiwa kuangalia usalama wa wafanyakazi ikiwa ni pamoja na wale wanaoumia kazini.
Mtu huyu hawezi kuona tena lakini makaburu wamekaa kimywa wanasema hana haki yoyote ile .
Sambamba na hilo Wapo Watanzania ambao wamekuwa wana wanyanyasa wazawa huku wakiwa upande wa Makaburu.
Hata hivyo Balozi Ammy Mpungwe ambaye ndiye aliye waleta Makaburu hao kutoka South Afrika amekuwa akiwakandamiza Wazawa huku akifanya njama za kukwepa kodi
Balozi Ammy Mpungwe ni mwenyekiti wa Bodi wa Tanzanite one.
Ninawamba wazawa na wapenda haki kufanya jitihada kumusaidia Cpl Raphael popote pale mlipo amekandamizwa na sasa amepata ulemavu wa maisha.
TANZANITE ONE UNYANYASAJI!!!!!!!!!!!!!!
Mnamo tarehe 25 March 2011, Majambazi walivamia Mgodi wa Tanzanite One Wakiwa na Bomu la Mkono na Kumushambulia Mlinzi wa Mgodi huo na kumujeruhi COplo RAHAEL ANDREAS WISSA ambapo alikimbizwa kwenye dispensary ya Kampuni na baadaye kupelekwa hospitali ya KCMC kwa matibabu Zaidi .
Taarifa zinaonyesha kuwa tangia Tarehe 21/06/2011 Bw amekuwa akitibiwa katika hospitali hiyo mpaka tarehe 12/12/2011 ambapo aliruhusiwa kuondoka kwa ajiri ya kuendelea na matibabu nyumbani.
Utawala wa Tanzania One Ulimuahidi kumupeleka mgonjwa nchini Australia kwa ajiri ya uangalizi maalum wa macho lakini ghafla maamuzi hayo yalibadilika na kufanya uchunguzi huo hapa DSM.
Hata hivyo tarehe 22/03/2012 CPL Raphael Andreas Wissa alipewa taarifa rasimi na daktari wa The Aga Khan Hospital ,Dar es Salaam kuwa hata ona tena Maishani.
Cpl Raphael alianza kufuatilia haki zake kutokana na kupoteza Mkono, kuto ona tena na kuvunjika mguu lakini ,Mzee MWANI ( 0754 292999) ambaye ni msemaji wa kampuni hiyo alimwambia atapewa Tshs 2,000,000/- .Hata hivyo kampuni hiyo inaendelea kumulipa mshahara lakini hieleweki hatima ya malipo ya fidia kutokana na kuumia kazini.
Taarifa kutoka ofisi za Malipo zinzonyesha kuwa Cpl Rahael analipwa Tshs 500,000/= lakini pesa halisi inayomfikia kwa mwezi ni Tshs 280,000/=.
Hadi sasa Mgonjwa hawezi kufanya kazi yoyote Maishani na hawezi kuingiza kipato chochote na hivyo kupati kama mlemavu wa maisha. Mpaka naandika waraka huu , Mgonjwa anadaiwa Kodi ya Nyumba, ada za watoto na madeni yanayotokana na majukumu yake kama Mwanaume na baba wa familia.
Sambamba na taarifa hii Wametajwa Wahusika kadhaa ambao wapo upande wa Tanzanite One kama ifuatavyo:
Mining Manager( Mr Damiani) 0767 600903; Mr Dotto ( 0767 600916, 0755 496717); Mzee MWANI ( 0754 292999) Msemaji wa kampuni; Mr WESSEL MARAI (0754 600994) General Manager; Mr Bernad Oliver (0754 600992) Chief Executive Officer; Balozi Ammy Mpungwe ( 0754 222333) Mweyekiti wa Bodi ya wakurungenzi Tanzanite One ambaye alikuwa balozi wa Tanzania South Africa na ndiye aliyewaleta Wawekezaji hawa kuja kupora mali ya umma; Mr Deogratias( 0767 600996) Afisa Usalama wa Mgodi.
Mr Maliki (0754 3163030 dereva anayemwendesha Balozi Ammy Mpungwe
UHUJUMU UCHUMI NA UKWEPAJI KODI.
Wakati Serikali ikikosa pesa za kutosha kukidhi bajeti ya 2012/2013 na kushindwa kuwalipa madaktari mishahara wanayotaka ,Kampuni ya Tanzanite One inafanya jitihada kupbadilisha jina na kuitwa RichLand Resources kwa Malengo ya kukwepa kodi. Pia Uchunguzi umebaini kuwa hujuma hiyo ya kuikosesha mapato serikali inaongozwa na Wazawa akiwemo Balozi Ammy Mpungwe na Mzee MWANI ambao wanatumia Uzoefu wao Kubadilisha kampuni na kupora mali ya umma. Hata hivyo tumeweza kubaini kwamba Kampuni ya Tanzanite One inayo jishughulisha na Shughuli hatalishi za Uchimbaji madini haina Insurance inayolingana na hatari inayo wakumba Wafanyakazi kwa malengo ya kukwepa kulipa fidia huku wakipora nchi.
Kampuni hii imejika zaidi katika Mkoa wa Arusha Mirerani na kwa sasa kutokana na kukwepa kodi inadaiwa na serikali Zaidi ya dola za Marekani Millioni Mbili
(US$2,000,000 ) sawa na Tshs 3,149,480,000/-kutokana na kutolipa kodi mbalimbali kati ya mwaka 2004 hadi 2008. Taarifa zinaonyesha kuwa wapo wafanyakazi wasiowadilifu kutoka TRA ambao wamekuwa wakipewa rushwa na kuelekeza mbinu za kukwepa Kodi hiyo huku wakiwashauli wahusika kubadili jina la kampuni.
Baada ya Mpango huo wa siku nyingi kubainika , serikali imezuia kutolewa kwa lesseni mkwa Kampuni ya Tanzanite One hadi deni hilo litakapo lipwa ikiwa ni pamoja na kutekeleza masharti mapya ya sheria ya madini ya mwaka 2010.
Masharti hayo ni pamoja na kurejesha 50% ya hisa zake serikalini kwa mujibu wa sheria hiyo ili zigawanywe kwa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro na kwa wananchi wazawa.
Hata hivyo Balozi Ammy anatajwa kuandaa mpango ili wazawa watao chukua hisa hizo wawe ni wale walioko kwenye mtandao wake ili mali hizo zirudi kwa wenyewe.
Pia inaonyesha kuwa leseni ya kampuni hiyo imeisha muda wake Juni 30,2012 na kwamba hadi sasa imezuiliwa kupewa nyingine hadi mashart yatakapo tekelezwa.
Sambamba na masharti haya , kampuni hiyo imepewa sharti la uchafuzi wa mazingira ambapo imelazimishwa kuhakikisha uchafu unaotokana na uchimbaji huo hauathiri wananchi wanao zungunguka mgodi huo.
Aidha wametakiwa kuangalia usalama wa wafanyakazi ikiwa ni pamoja na wale wanaoumia kazini.