ropam
Senior Member
- Aug 11, 2010
- 173
- 35
Salaam JF,
Ni hili swala la wabunge wa Jamhuri kuwa na elimu ya at least shahada ya kwanza (undergraduate degree)...juzi MH. John Mnyika alipokuwa anahutubia bunge kwenya mjadala wa bajeti kuu ya serikali alisema "tumefika hapa tulipo(kwenye umaskini wa kutupwa na hali ngumu ya maisha ambayo haijawai kutokea) kwasababu ya udhaifu wa raisi kikwete, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm"...kwenye hili swala la uzembe wa wabunge, naona kuna hoja mbadala zaidi ya uzembe, kuna wabunge wengi tu bungeni wanafanya/support maamuzi bila kujua athari zake kesho na kesho kutwa kwao( watakapotoka hapo mjengoni) na kwa jamii nzima kutokana na ukosefu wa elimu (ukomavu wa fikra), Majirani zetu hapo kenya wameshapitisha hili...kuanzia mwaka kesho hakuna mbunge ataruhusiwa kugombea bila kuwa na at least shahada ya kwanza, tusijipe moyo kwamba...mbona TZ wasomi ndio wanongoza kwa uwizi, ni wanaiba kwasababu wanajua bunge limejaa watu ambao hawajakomaa kiakili, ambao watapitisha hoja yeyote bila kujali uhalisia wake! Elimu kwa watu wanaotuongoza ni muhimu sana....."The function of education is to teach one to think intensively and to think critically. Intelligence plus character - that is the goal of true education." -Martin Luther kng Jr, Naamini hata sisi hatutakuwa tumewahi sana tukilijumuisha hili katika marekebisho ya katiba yanayoendelea.
Nawaisilisha.
Ni hili swala la wabunge wa Jamhuri kuwa na elimu ya at least shahada ya kwanza (undergraduate degree)...juzi MH. John Mnyika alipokuwa anahutubia bunge kwenya mjadala wa bajeti kuu ya serikali alisema "tumefika hapa tulipo(kwenye umaskini wa kutupwa na hali ngumu ya maisha ambayo haijawai kutokea) kwasababu ya udhaifu wa raisi kikwete, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm"...kwenye hili swala la uzembe wa wabunge, naona kuna hoja mbadala zaidi ya uzembe, kuna wabunge wengi tu bungeni wanafanya/support maamuzi bila kujua athari zake kesho na kesho kutwa kwao( watakapotoka hapo mjengoni) na kwa jamii nzima kutokana na ukosefu wa elimu (ukomavu wa fikra), Majirani zetu hapo kenya wameshapitisha hili...kuanzia mwaka kesho hakuna mbunge ataruhusiwa kugombea bila kuwa na at least shahada ya kwanza, tusijipe moyo kwamba...mbona TZ wasomi ndio wanongoza kwa uwizi, ni wanaiba kwasababu wanajua bunge limejaa watu ambao hawajakomaa kiakili, ambao watapitisha hoja yeyote bila kujali uhalisia wake! Elimu kwa watu wanaotuongoza ni muhimu sana....."The function of education is to teach one to think intensively and to think critically. Intelligence plus character - that is the goal of true education." -Martin Luther kng Jr, Naamini hata sisi hatutakuwa tumewahi sana tukilijumuisha hili katika marekebisho ya katiba yanayoendelea.
Nawaisilisha.