William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Swala la wizi wa fedha. Kama ni kuchonga wabunge mnachonga kweli. Kama ni bongo muvi mnaweza mkawa zaidi ya JB jinsi mnavyoact ukali na sauti za masitikiko.
Hakuna lolote mnalofanya mnachonga tu hakuna hatua. Mnachonga da hili ni bunge la wapigakelele. Hakuna vitendo na mawaziri walishazoea. Si wa CCM tu ata Wapinzani mnachonga tu. Mnapiga kelele tena kelele za chura.
Mnawafukuza ndege shambani kwa miluzi na bado wanaendelea kula. Vip manati si mnazo mko siliasi kweli. Ni sawa na Police kupiga kelele mwiiizii! Na kashika bunduki na mwizi anaendelea kuiba Sa wananchi wafanyaje?
Nilisikitishwa sana na MBOWE alipozima hoja ya NGELEJA kujiuzuru kwenye inshu ya Jairo.
Mpaka leo Inaniuma hasa nikiangalia muvi ya cdm mwanza ambapo mbowe alikuwa akishinikiza ngeleja kujiuzuru.
WABUNGE NATAKA MTUAMBIE MNAFANYA NINI NA SI MNAONGEA NINI?
Hakuna lolote mnalofanya mnachonga tu hakuna hatua. Mnachonga da hili ni bunge la wapigakelele. Hakuna vitendo na mawaziri walishazoea. Si wa CCM tu ata Wapinzani mnachonga tu. Mnapiga kelele tena kelele za chura.
Mnawafukuza ndege shambani kwa miluzi na bado wanaendelea kula. Vip manati si mnazo mko siliasi kweli. Ni sawa na Police kupiga kelele mwiiizii! Na kashika bunduki na mwizi anaendelea kuiba Sa wananchi wafanyaje?
Nilisikitishwa sana na MBOWE alipozima hoja ya NGELEJA kujiuzuru kwenye inshu ya Jairo.
Mpaka leo Inaniuma hasa nikiangalia muvi ya cdm mwanza ambapo mbowe alikuwa akishinikiza ngeleja kujiuzuru.
WABUNGE NATAKA MTUAMBIE MNAFANYA NINI NA SI MNAONGEA NINI?