Wabunge mjiulize MNAFANYA NINI KUOKOA TAIFA NA SIO MNAONGEA NINI?

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Mar 27, 2012
1,657
2,252
Swala la wizi wa fedha. Kama ni kuchonga wabunge mnachonga kweli. Kama ni bongo muvi mnaweza mkawa zaidi ya JB jinsi mnavyoact ukali na sauti za masitikiko.

Hakuna lolote mnalofanya mnachonga tu hakuna hatua. Mnachonga da hili ni bunge la wapigakelele. Hakuna vitendo na mawaziri walishazoea. Si wa CCM tu ata Wapinzani mnachonga tu. Mnapiga kelele tena kelele za chura.
Mnawafukuza ndege shambani kwa miluzi na bado wanaendelea kula. Vip manati si mnazo mko siliasi kweli. Ni sawa na Police kupiga kelele mwiiizii! Na kashika bunduki na mwizi anaendelea kuiba Sa wananchi wafanyaje?


Nilisikitishwa sana na MBOWE alipozima hoja ya NGELEJA kujiuzuru kwenye inshu ya Jairo.
Mpaka leo Inaniuma hasa nikiangalia muvi ya cdm mwanza ambapo mbowe alikuwa akishinikiza ngeleja kujiuzuru.

WABUNGE NATAKA MTUAMBIE MNAFANYA NINI NA SI MNAONGEA NINI?
 
kaka umetumwa sio bure mbowe ana uwezo wa kumlazimisha ngeleja ajiuzuru kama kura zinapigwa kwa kusema ndioo ata
 
WABUNGE NATAKA MTUAMBIE MNAFANYA NINI NA SI MNAONGEA NINI?
Hiki ndicho kitu kinachomiss. Tundu Lissu leo amewaambia kuwa Katiba inawapa mamlaka kuiwajibisha serikali isipofanya vizuri. Amewaambia kwa kuwa CCM wako wengi Bungeni, ndio wanapaswa kuongoza hilo... tusubiri hao CCM wakitoka kwenye kikao chao tuone watafnya nini leo jioni
 
Swala la wizi wa fedha. Kama ni kuchonga wabunge mnachonga kweli. Kama ni bongo muvi mnaweza mkawa zaidi ya JB jinsi mnavyoact ukali na sauti za masitikiko.

Hakuna lolote mnalofanya mnachonga tu hakuna hatua. Mnachonga da hili ni bunge la wapigakelele. Hakuna vitendo na mawaziri walishazoea. Si wa CCM tu ata Wapinzani mnachonga tu. Mnapiga kelele tena kelele za chura.
Mnawafukuza ndege shambani kwa miluzi na bado wanaendelea kula. Vip manati si mnazo mko siliasi kweli. Ni sawa na Police kupiga kelele mwiiizii! Na kashika bunduki na mwizi anaendelea kuiba Sa wananchi wafanyaje?


Nilisikitishwa sana na MBOWE alipozima hoja ya NGELEJA kujiuzuru kwenye inshu ya Jairo.
Mpaka leo Inaniuma hasa nikiangalia muvi ya cdm mwanza ambapo mbowe alikuwa akishinikiza ngeleja kujiuzuru.

WABUNGE NATAKA MTUAMBIE MNAFANYA NINI NA SI MNAONGEA NINI?

Mkuu thread yako ni ndefu lakini imejaa mifano tu mara bongo movie,mara kelele za chura,mara ndege shambani n.k,me nafikiri mfano mmoja ungejitosheleza,ila kwa sakata la Jairo sina kumbukumbu kama Mbowe ndie aliyezima hoja ya Ngereja kujiuzuru!hata hivyo,kwa mtazamo mfupi tu wewe unaona Mbowe angeweza kumuwajibisha Ngereja wakati wabunge walio wengi wa c.c.m akiwemo spika walikua wameshapata ujumbe toka juu kua wafunge midomo kuhusu ilo?think twice mkuu
 
Hiki ndicho kitu kinachomiss. Tundu Lissu leo amewaambia kuwa Katiba inawapa mamlaka kuiwajibisha serikali isipofanya vizuri. Amewaambia kwa kuwa CCM wako wengi Bungeni, ndio wanapaswa kuongoza hilo... tusubiri hao CCM wakitoka kwenye kikao chao tuone watafnya nini leo jioni

Wametoka kupigwa mkwara,utaona wakirudi kama wataongea tena against serikali,dawa ni kupambana nao tu kwenye maboksi ya kura 2015
 
huna hoja ya msingi ya watu kujadili, naona unapiga porojo tu, anyway tumwachie rejao, ritz na mama porojo wajadili
 
Back
Top Bottom