Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Za10 mwanasayansi kanithibitishia kuwa maji ya bomba yaliyochemshwa ni safi na salama kuliko hayo ya chupa - walifanya utafiti kwenye maabara chuo kinachoheshimika SASA huo 'mnyororo wa thamani' unaouongelea una faida gani au ni geresha ya kutuibia?
PS. Pia maplastiki yana athari kwa afya na mazingira!
PS. Pia maplastiki yana athari kwa afya na mazingira!