Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Zanzibar wanaowawakilishi wao katika baraza la wawakilishi. kazi kubwa ya wawakilishi hao ni kuwatetea katika maswala mazima ya maji safi, umeme, kilimo, afya na mambo mengine ya msingi katika majimbo wanayowakilisha.
na kazi kubwa ya wabunge inalingana kabisa na kazi za wawakilishi sio kuwatumikia watz tu. malengo ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo lao
wabunge kutoka zanzibar siwasikii wakizungumzia maendeleo ya majimbo yao, hawaiombi serekali ya Muungano kuwachimbia visima, kuwapelekea nguzo za umeme. matrekta hata kujengewa shule na zahanati. Haya yote yanafanywa huko Baraza la wawakilishi.
Machcahe huyasikia yanahusu majeshi, polisi na muungano tena huzungumziwa kiujumla.
Fedha za Jimbo sijui kama zinatumika zanzibar. kwani kazi ya maendeleo ya Jimbo hufanywa na mwakilishi anaependekeza kufanyiwa barazani.
Wabunge wa Zanzibar hawazungumziii umeme wa Jimbo, kisima wala mengine
JEE hakuna haja ya Kupunguza lwabunge kutoka zanzibar ili kupunguza gharama? na kuchaguliwa wabunge wataokuja kuwalisha zanzibar na sio majimbo ?
na kazi kubwa ya wabunge inalingana kabisa na kazi za wawakilishi sio kuwatumikia watz tu. malengo ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo lao
wabunge kutoka zanzibar siwasikii wakizungumzia maendeleo ya majimbo yao, hawaiombi serekali ya Muungano kuwachimbia visima, kuwapelekea nguzo za umeme. matrekta hata kujengewa shule na zahanati. Haya yote yanafanywa huko Baraza la wawakilishi.
Machcahe huyasikia yanahusu majeshi, polisi na muungano tena huzungumziwa kiujumla.
Fedha za Jimbo sijui kama zinatumika zanzibar. kwani kazi ya maendeleo ya Jimbo hufanywa na mwakilishi anaependekeza kufanyiwa barazani.
Wabunge wa Zanzibar hawazungumziii umeme wa Jimbo, kisima wala mengine
JEE hakuna haja ya Kupunguza lwabunge kutoka zanzibar ili kupunguza gharama? na kuchaguliwa wabunge wataokuja kuwalisha zanzibar na sio majimbo ?