Wabunge kutoka Zanzibar kwa nini wasipungue ili wawakilishe Zanzibar

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Zanzibar wanaowawakilishi wao katika baraza la wawakilishi. kazi kubwa ya wawakilishi hao ni kuwatetea katika maswala mazima ya maji safi, umeme, kilimo, afya na mambo mengine ya msingi katika majimbo wanayowakilisha.
na kazi kubwa ya wabunge inalingana kabisa na kazi za wawakilishi sio kuwatumikia watz tu. malengo ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo lao
wabunge kutoka zanzibar siwasikii wakizungumzia maendeleo ya majimbo yao, hawaiombi serekali ya Muungano kuwachimbia visima, kuwapelekea nguzo za umeme. matrekta hata kujengewa shule na zahanati. Haya yote yanafanywa huko Baraza la wawakilishi.
Machcahe huyasikia yanahusu majeshi, polisi na muungano tena huzungumziwa kiujumla.
Fedha za Jimbo sijui kama zinatumika zanzibar. kwani kazi ya maendeleo ya Jimbo hufanywa na mwakilishi anaependekeza kufanyiwa barazani.
Wabunge wa Zanzibar hawazungumziii umeme wa Jimbo, kisima wala mengine
JEE hakuna haja ya Kupunguza lwabunge kutoka zanzibar ili kupunguza gharama? na kuchaguliwa wabunge wataokuja kuwalisha zanzibar na sio majimbo ?
 
Sali hivi kunapokuwa kunajadiliwa bajeti za wizara ambazo si za muungano, je hawa waheshimiwa wanaingia majengoni? na kama wanaingia kufanya nini kulala? na wanalipwa vipi wakati kisheria hawatakiwi kuchangia maana hizo wizara haziwahusu. Sasa kama wanalipwa hawaoni kuwa ni wizi wa pesa za walala hoi wa Tanzania bara bila hata aibu?
 
Zanzibar wanaowawakilishi wao katika baraza la wawakilishi. kazi kubwa ya wawakilishi hao ni kuwatetea katika maswala mazima ya maji safi, umeme, kilimo, afya na mambo mengine ya msingi katika majimbo wanayowakilisha.
na kazi kubwa ya wabunge inalingana kabisa na kazi za wawakilishi sio kuwatumikia watz tu. malengo ni kuwatumikia wananchi wa Jimbo lao
wabunge kutoka zanzibar siwasikii wakizungumzia maendeleo ya majimbo yao, hawaiombi serekali ya Muungano kuwachimbia visima, kuwapelekea nguzo za umeme. matrekta hata kujengewa shule na zahanati. Haya yote yanafanywa huko Baraza la wawakilishi.
Machcahe huyasikia yanahusu majeshi, polisi na muungano tena huzungumziwa kiujumla.
Fedha za Jimbo sijui kama zinatumika zanzibar. kwani kazi ya maendeleo ya Jimbo hufanywa na mwakilishi anaependekeza kufanyiwa barazani.
Wabunge wa Zanzibar hawazungumziii umeme wa Jimbo, kisima wala mengine
JEE hakuna haja ya Kupunguza lwabunge kutoka zanzibar ili kupunguza gharama? na kuchaguliwa wabunge wataokuja kuwalisha zanzibar na sio majimbo ?


Kwani kila siku tukiwambia kua huu "muungano" ni feki, mnadhani tunatania?

Huo ndio "muungano" ambao mnaulinda kwa nguvu za kijeshi ya uvamizi Zanzibar.

Haja si kupunguza idadi ya Wabunge, haja ni kuachana nao kabisa.
 
Sali hivi kunapokuwa kunajadiliwa bajeti za wizara ambazo si za muungano, je hawa waheshimiwa wanaingia majengoni? na kama wanaingia kufanya nini kulala? na wanalipwa vipi wakati kisheria hawatakiwi kuchangia maana hizo wizara haziwahusu. Sasa kama wanalipwa hawaoni kuwa ni wizi wa pesa za walala hoi wa Tanzania bara bila hata aibu?
kweli hapo kwenye red umesema jambo la maana-kama kuna vikao vya wizara amabvyo wizara si za muungano wabubge wa zanzibar wanatakiwa wasiwepo kabisa-maana kuwepo kwao bungeni kunawafanya wazidi kula hela za tanganyika-vikao hivyo vitumike kudiscuss matatizo ya watanganyika tu-si kutuletea habari zao zisizotuhusu-
KITU KINGINE KINACHO NISHANGAZA NI HOJA ZA HAWA WABUNGE WA ZANZIBAR KUDAI USAWA WA KILA KITU,YAN PASU KWA PASU NA TANGANYIKA-HIVI KWELI WATU WASIOZIDI MILION MOJA,WANAWEZA KUPEWA VITU PASU KWA PASU NA WATU TAKRIBANI MILION 38?KAMA SI KUTAKA KUTONYONYA SISI WATANGANYIKA-
 
Nafikiri huo ni moja kati ya utata wa Muungano. Kila jimbo zanzibar linaleta mbunge na kisha Ndani ya baraza la wawakilishi wanachaguliwa wawakilishi watano kuliwakilisha baraza katika Bunge.

Sasa ni wakti wenu muafaka kama kweli mna nia thabiti ya kuipenda nchi yenu mukiondoa kifungu hicho ili wapungue na wala sio kuleta kelele chooni.
 
Watz wengi ni kichwa cha wenda wazimu sisi si wachambuzi ndio maana utakuta mtu anashabia sisiem bila kufahamu makosa makubwa na matatizo yaliyosababishwa na sisiem kama hili la mdau!
 
Kama hao CCM bado wanang'ang'ania muungano wa serikali mbili, napendekeza uwe hivi, zile wizara zisizokuwa za muungano zikutane mapema na kupitisha bajeti zao sambamba na baraza la wawakilishi huko Zanzibar, baada ya hapo baraza la wawakilishi la zanzibar na wabunge wa wabara wakutane kama bunge la muungano, walofuata utaratibu huu wataondoa mkanganyiko wa mambo mawili, la kwanza ni hili la jimbo moja kuwa na wawakilishi wawili, la pili ni kuwa watu wenye mtazamo mmoja watajadili mambo kwa pamoja, tofauti na sasa hivi wabunge wa zanzibar wanaridhia jambo katika bunge wakienda kwao wawakilishi wanakuwa na mtazamo tofauti.
 
Kama hao CCM bado wanang'ang'ania muungano wa serikali mbili, napendekeza uwe hivi, zile wizara zisizokuwa za muungano zikutane mapema na kupitisha bajeti zao sambamba na baraza la wawakilishi huko Zanzibar, baada ya hapo baraza la wawakilishi la zanzibar na wabunge wa wabara wakutane kama bunge la muungano, walofuata utaratibu huu wataondoa mkanganyiko wa mambo mawili, la kwanza ni hili la jimbo moja kuwa na wawakilishi wawili, la pili ni kuwa watu wenye mtazamo mmoja watajadili mambo kwa pamoja, tofauti na sasa hivi wabunge wa zanzibar wanaridhia jambo katika bunge wakienda kwao wawakilishi wanakuwa na mtazamo tofauti.
pia ina maana wabunge wa zanzibar wanapokea fedha mara mbili mbili-kwenye vikao vya bunge huku tanganyika-na kwenye vikao vya baraza la wawakililshi-
 
Back
Top Bottom