PM kaanza kusoma karatasi haina maandishi.
mkuu sio kumfuta bali ni kuleta hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu.kama zaidi ya nusu ya wabunge wataridhia hapo ndipo tutazungumzia kumfuta.Signature 70 tu zinahitajika kumfuta Waziri mkuu
PM kaanza kusoma karatasi haina maandishi.
Exactly, wewe ndio umesema wabunge wa CCM waliokuwa wanatoka mapovu unafiki wao utaonekana wazi.Zitto kawatega CCM