Kuanzia kesho, Zito kasema wanakusanya sahihi 70 tu ili wawasilishe bungeni hija ya kutokuwa na imani na waziri mkuu.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Kura 48 tayari zipo, tatizo ni hizo kura 22 sasa! Sasa ndio umuhimu wa kuwa na umoja kwenye kambi ya upinzani kwan ukichukua idadi ya wabunge wa CUF, NCCR, TLP na UDP hili suala lingekuwa rahisi sana.
Mimi natoa wito kwa wabunge wote wanaosimamia maslahi ya UMMA waunge mkono HOJA
Nail 'em Up
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.