Katika mabadiliko anayokusudia Tendwa kuyafanya kwa kushirikiana na serikali itapelekea biashara ya kuuza na kununua Wabunge na kama biashara hii ikiaanza basi CCM ndio wataonufaika kwa kiwango kikubwa.
Kwa sheria wanayoandaa sasa na kutaka kuipeleka bungeni Kama CCM wakitaka Kumnunua Mbunge mfano Mnyika wao watampelekea watu wa kumshawishi kwa fedha nae atataja kiasi anachotaka kwa kunuliwa au kusajiliwa na CCM na wakikubaliana inakuwa tayari zoezi limekamilika kwani baada ya malipo kufanyika yeye atatupa kadi ya Chadema na kuchukua kadi ya CCM na hapo CCM watakuwa wameongeza(wamasajili ) mbunge na Chadema watakuwa wamepoteza mbunge.
Kwa mazingira kama haya biashara ya Wabunge kunuliwa na kuuzwa itakuwa na madhara makubwa siku za mbeleni katika kukuza demokrasia
Kwa sheria wanayoandaa sasa na kutaka kuipeleka bungeni Kama CCM wakitaka Kumnunua Mbunge mfano Mnyika wao watampelekea watu wa kumshawishi kwa fedha nae atataja kiasi anachotaka kwa kunuliwa au kusajiliwa na CCM na wakikubaliana inakuwa tayari zoezi limekamilika kwani baada ya malipo kufanyika yeye atatupa kadi ya Chadema na kuchukua kadi ya CCM na hapo CCM watakuwa wameongeza(wamasajili ) mbunge na Chadema watakuwa wamepoteza mbunge.
Kwa mazingira kama haya biashara ya Wabunge kunuliwa na kuuzwa itakuwa na madhara makubwa siku za mbeleni katika kukuza demokrasia