Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Kama itakuwa kweli watakuwa awatutendei haki jamani
kuna mtu yuko karibu na mh mmoja anasema jamaa wamelambishwa toka jana kadhaa
kwa wanaokaa mpaka kesho na kiasi kadhaa kwa walioenda leo na kurudi jamani kama ni kweli
loh mama spika embu liangalie vizuri usije wakati wa safari yako ya mwisho watu wakakuwekea
na tarumbeta kwenye box utahisi wanakupenda kumbe wanafurahia kwa kuondoka duniani
kutokana na uchafu ulioukubali
mungu ibariki tanzania wape moyo wa uvumilivu familia ya marehemu
kuna mtu yuko karibu na mh mmoja anasema jamaa wamelambishwa toka jana kadhaa
kwa wanaokaa mpaka kesho na kiasi kadhaa kwa walioenda leo na kurudi jamani kama ni kweli
loh mama spika embu liangalie vizuri usije wakati wa safari yako ya mwisho watu wakakuwekea
na tarumbeta kwenye box utahisi wanakupenda kumbe wanafurahia kwa kuondoka duniani
kutokana na uchafu ulioukubali
mungu ibariki tanzania wape moyo wa uvumilivu familia ya marehemu