Mkuu,
hapo pekundu (namba 20) utakuwa umekosea kuandika. Kwa kumbukumbu zilizo sahihi kabisa toka Jikoni Rorya, Mbunge wao hajawahi kuongea wala kuchangia isipokuwa mara 1 alimwomba mbunge wa Tarime amuulizie swali kwa niaba yake.
Mleta mada hongera sana umefanya utafiti wa maana sana,ila hapa sijamwona mbunge wa ukonga ambapo barabara ni kama mahandaki na raia wake bado wanaipenda ccm.pia wanaofikiri ccm iendelee kuongoza waone hiyo list.
Getrude Lwakatare amewahi kuchangia kitu chochote?
Getrude Lwakatare amewahi kuchangia kitu chochote?
Wana JF heshima,
Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.
Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.
Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?
Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa 1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5 2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8 3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0 4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4 5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7 6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3 7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8 8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1 9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0 10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0 11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1 12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1 13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8 14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5 15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4 16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4 17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4 18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0 19
20
SEIF IDDI ALI
LAMECK AYIRO
CCM
CCM
0
1
0
0
0
2
Asanteni wakuu
Wana JF heshima,
Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.
Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.
Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?
Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa 1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5 2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8 3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0 4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4 5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7 6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3 7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8 8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1 9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0 10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0 11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1 12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1 13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8 14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5 15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4 16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4 17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4 18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0 19
20
SEIF IDDI ALI
LAMECK AYIRO
CCM
CCM
0
1
0
0
0
2
Asanteni wakuu
Hivi mkuu Narubongo yule mbunge wa Rorya Mh. Ayiro amewahi kunena ama kuandika chochote akiwa ndani ya Bunge lao Tukufu?
Nmeipenda sana hii bro ila umemsahau huyu wa karatu kwani yeye tokea achaguliwe cjawahi mwona akichangia,
big up sana
Kuna mbunge wangu anaitwa Jerome Bwanahausi sijawahi kusikia ata akikohoa
Hao wa CHADEMA naomba kamanda Mbowe kama kiongozi wao wakiwa bungeni awasaidie watoke kwenye hili kundi.
Getrude Lwakatare amewahi kuchangia kitu chochote?
mbunge wa arumeru magharibi data zake zikoje?
Mi mbunge wangu ni huyo NO.20,Hapa kazi ipo!