Ngalikivembu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,959
- 872
- Thread starter
- #21
By mtotowamjini
kuna wengine hawachangii bungeni lakini wanafanya kazi kwenye majimbo yao mfano lowasa..huyu yeye hapigi porojo bungeni kwa sababu ana ajenda zake zingine lakini ni mchapa kazi kwenye jimbo lake. Hamna haja ya kua unauliza maswali kila kukicha lakini hakuna maendeleo kwenye jimbo lako
By Ibra Mo
Inaonekana hujui kazi ya Mbunge ni nini na ndomana Mnahongwa tisheti na chumvi...Wananchi wa Monduli ni masikini wakutupwa huku wakikabiliwa na tatizo kubwa la maji afu hatumsikii mbunge wao akiwasemea matatizo yao Bungeni we unatuambia anafanya kazi jimboni,Wananchi wanalipa kodi serikalini ili hiyo kodi iwahudumie na sio kusubiri fadhila ya ela chafu za mbunge.
Tumkumbushe ya Rostam Aziz.Hakuwa anauliza swali na pia alikuwa anatamba jimboni kwake hakuna shida ni paradise ndogo.Ukweli ulijidhihirisha alipoachia usukani.Yote yakawa hadharani
By Ibra Mo
Inaonekana hujui kazi ya Mbunge ni nini na ndomana Mnahongwa tisheti na chumvi...Wananchi wa Monduli ni masikini wakutupwa huku wakikabiliwa na tatizo kubwa la maji afu hatumsikii mbunge wao akiwasemea matatizo yao Bungeni we unatuambia anafanya kazi jimboni,Wananchi wanalipa kodi serikalini ili hiyo kodi iwahudumie na sio kusubiri fadhila ya ela chafu za mbunge.
Tumkumbushe ya Rostam Aziz.Hakuwa anauliza swali na pia alikuwa anatamba jimboni kwake hakuna shida ni paradise ndogo.Ukweli ulijidhihirisha alipoachia usukani.Yote yakawa hadharani