Monstgala
JF-Expert Member
- Aug 25, 2009
- 1,079
- 1,034
As far as wamekaa bungeni toka uchaguzi uishe mpaka leo ni mambo gani yamefanya na wabunge hawa kwa majimbo yao na TAIFA kwa ujumla?.
zitto
Mbowe
Regia
Lema
Msigwa,peter
kwa leo tuanze na hawa objectively.
hii inatoa changamoto na feed back toka kwa wananchi,kwa kiasi gani wa bunge hawa wametimiza wajibu wao wa ki bunge.
Utumwa wa akili ni mbaya zaidi ya magonjwa yote ya binadamu.