Wabunge CHADEMA wamedanganyika?

@Joka

Mtizamo wangu kuhusu hotuba ya kambi ya upinzani ni kuwa Tundu lissu alikuwa na "Hoja Nzuri sana" hasa kuhusu muungano na nafasi ya rais katika mchakato bravo..

Lakini kosa alilofanya (tena kwa makusudi au kwa kuhongwa (tetesi za ndani) na waccm) ni kukataa kusimamia hiyo hoja na kujipanga kupambana na wabunge wa ccm kwenye session hatimaye kupata fursa ya kufanyika amendments..etc

Yeye ametumbukia pale ambapo ccm wanapapenda (jazba) sasa wanapitisha na mtu kama mimi na wengine tungependa kujua mtizamo mbadala katika mjadala maana mjadala unafanya clarification nyingi kuliko hotuba iliyoandikwa...

Ukweli wa mambo ni kwamba we have missed the opportunity to argue rather tumepata jazba, hulka ya uongozi mbovu..katika kambi ya upinzani...huo ndio mtazamo wangu..
 
Topical,

..sasa kama alikuwa na hoja nzuri mbona CCM walipinga kila kitu?

..kama alikuwa amezungumza masuala mazuri kuhusu muungano mbona hata wabunge wa Znz hakuna hata mmoja aliyemuunga mkono?

..hivi wewe umefurahishwa na matusi na mipasho iliyoendelea ndani ya bunge? mbona hilo ni la kusikitisha kuliko hawa CDM waliojiamulia kuondoka ukumbini?
 
Topical,

..sasa kama alikuwa na hoja nzuri mbona CCM walipinga kila kitu?

..kama alikuwa amezungumza masuala mazuri kuhusu muungano mbona hata wabunge wa Znz hakuna hata mmoja aliyemuunga mkono?

..hivi wewe umefurahishwa na matusi na mipasho iliyoendelea ndani ya bunge? mbona hilo ni la kusikitisha kuliko hawa CDM waliojiamulia kuondoka ukumbini?

Nilifikiri uliomba mtizamo wangu kumbe wa wabunge CUF mimi sijui kwanini? huo ni msimamo wangu..

Alizungumza vizuri kuhusu muungano kwa mtizamo wangu mimi sijui wa wabunge zanzibar..

Hiyo mipasho ndio pre planned na zimekuja kwasababu ya behaviour ya uongozi mbovu wa kambi ya upinzani

Nikupe mfano, kina tundu wakingekuwa sober cool wakajadili leo tungewaumbua wanasiasa hasa kwenye hili la katiba

Sasa chadema wameingia kwenye siasa ambazo ccm wanazipenda porojo..personality attacks siku zimeiisha badala ya hoja kujadiliwa tunajadili watu..

ndio maana nawalaumu chadema (mbadala) wangelata hoja mbadala kabla ya kutoka, kwasababu kama waziri kivuli alikuwa akijua hayo yote prior to kikao cha bunge upo???
 
Godfrey Dilunga-Raia Mwema

Kwa hiyo, Watanzania kupitia Bunge, wameshindwa
kujua maoni ya wananchi wa majimbo ya wabunge wa CHADEMA, ambayo kwa mujibu wa malalamiko yao, Bunge limeshindwa kuwapa fursa ya kusema. Hili ni kosa la kiufundi, linalohitaji mkakati mkubwa wa kisiasa kulifunika.

Binafsi ni mpiga kura wa Jimbo la Ubungo, Dar es Salaam. Nimuulize Mnyika; je, kitendo chake cha kukwepa kutumia kanuni za Bunge kupigania maoni yetu ambayo yeye na wenzake CHADEMA wanasema hatukusilizwa,
kinatulinda kwa namna gani katika taswira hii ya ‘uovu’ wa Serikali?

Wamechukua lini hayo maoni? Popompo wanacho pigania wabunge na wananchi sio maoni kwa Wabunge tu bali kwa KAMATI pia hawajaiona huku kwetu DONGOBESHI, MANYARA. Au unajua wanmakuja lini? maana tuliwasikia dodoma, dar na znz, au sisi sio watanzania?


We jamaa kweli MASABURI, watayajua vipi wakati hayaja kusanywa?
na wata kusanya vipi wakati mswaada wameukutia bungeni? na hapo hapo wana ambiwa wajadili?
 
Dilunga, umejitahidi sana kuandika makala ndefu. Naamini unataka kufikisha mawazo namtazamo wako kwa wasomaji. Nimefurahishwa na uwezo wako wa kuchambua mambo kwa mtazamo wa MWENDAWAZIMU. Nataka ufahamu kwamba mswaada unaohusu maandalizi ya katiba ni mzito na mkubwa ndiyo maana ulipopelekwa bungeni kwa mara ya kwamza kwa hati ya dharura ulikataliwa na bunge.Mswaada huu hautakiwi kulinganishwa na miswaada mingine.
 
Topical,

..I hear u.

..it is an interesting thought on what would have happened kama wapinzani wangebaki bungeni.

..mimi wazo langu ni what would have happened kama hoja ya upinzani ingewasilishwa na mbunge mwingine zaidi ya Tundu Lissu.

..kama hoja ile ingesomwa mbunge wa viti maalum wa cdm, je wale kina mama wa CCM wangeiunga mkono? je, wangetoa mipasha kama walivyomtolea Tundu Lissu?

..nahisi kama vile Tundu Lissu is a "marked person" kwa hawa wabunge wa CCM. hata Spika yuko makini kuhakikisha anamdhibiti.

NB:

..i am 100% with u kuhusu hoja ya Tundu Lissu kuhusu suala la muungano.

..serikali imefanya makosa. Zanzibar ni mbia wa Tanganyika ktk muungano.

..Zanzibar si mbia wa Tanzania ktk suala la muungano na katiba ya muungano.

..CCM wanaweza kutumia ubabe kupitisha katiba wanayoitaka kwa wakati huu, lakini watakuwa wameahirisha tu tatizo la katiba.
 
Nilifikiri uliomba mtizamo wangu kumbe wa wabunge CUF mimi sijui kwanini? huo ni msimamo wangu..

Alizungumza vizuri kuhusu muungano kwa mtizamo wangu mimi sijui wa wabunge zanzibar..

Hiyo mipasho ndio pre planned na zimekuja kwasababu ya behaviour ya uongozi mbovu wa kambi ya upinzani

Nikupe mfano, kina tundu wakingekuwa sober cool wakajadili leo tungewaumbua wanasiasa hasa kwenye hili la katiba

Sasa chadema wameingia kwenye siasa ambazo ccm wanazipenda porojo..personality attacks siku zimeiisha badala ya hoja kujadiliwa tunajadili watu..

ndio maana nawalaumu chadema (mbadala) wangelata hoja mbadala kabla ya kutoka, kwasababu kama waziri kivuli alikuwa akijua hayo yote prior to kikao cha bunge upo???



Mkuu,
Wabunge wa cdm wanalifahamu bunge vizuri hasa lilivyo kwa sasa. Wabunge wa ccm wanatumia idadi yao kupitisha miswada mingi tu licha ya kupingwa tena kwa hoja na wabunge wa upinzani na hata wenzao. Ndio maana waliamua kuondoka maana ingekuwa ni kupoteza muda tu! Wamechagua kwenda kuongea na wapiga kura kuwaeleza ubovu wa mswada badala ya kumweleza spika ambaye hana anachoweza kufanya. Wameona ni bora kutokutoa maoni kuliko kuyatoa yakapuuzwa! Na kwa maoni yangu, wamechagua jambo zuri kwao na wameonesha hisia zetu. Hata mimi ningetoka maana hakuna sababu ya kuongea na mtu asiyesikiliza unachamwambia!
 
@Joka

Nafikiri Tundu lissu ni waziri kivuli wa sheria kwa hiyo alikuwa ndio mtu sahihi kupeleka hoja..

Sidhani kama mawazo ya wana ccm yangekuwa tofauti kama hoja ingepelekwa na yeyote kutoka upinzani..

Hoja ya msingi ni kwamba "chadema walikuwa na nafasi ya kubadili mtazamo wa wananchi" kwao ukizingatia walitoka kwenye militancy politcs karibuni huko Arusha..

Halafu wanaenda bungeni kwenye mambo nyeti kama katiba wanaanza kutoka nje wanamuachia nguruwe..nimesikitika
 
Mkuu,
Wabunge wa cdm wanalifahamu bunge vizuri hasa lilivyo kwa sasa. Wabunge wa ccm wanatumia idadi yao kupitisha miswada mingi tu licha ya kupingwa tena kwa hoja na wabunge wa upinzani na hata wenzao. Ndio maana waliamua kuondoka maana ingekuwa ni kupoteza muda tu! Wamechagua kwenda kuongea na wapiga kura kuwaeleza ubovu wa mswada badala ya kumweleza spika ambaye hana anachoweza kufanya. Wameona ni bora kutokutoa maoni kuliko kuyatoa yakapuuzwa! Na kwa maoni yangu, wamechagua jambo zuri kwao na wameonesha hisia zetu. Hata mimi ningetoka maana hakuna sababu ya kuongea na mtu asiyesikiliza unachamwambia!

Kuna matatizo mawili kwenye hii argument yao (wabunge cdm)

1. Timing..walitakiwa iwe baada ya kukataliwa mawazo wakati wa bunge session ndio raise hiyo concern kwamba sasa tunaenda kuwaambia wananchi mapungufu ambayo bunge limekataa kuridhia..

2. Huwezi kusema hawatasikiliza kabla hujashiriki katika mjadala mkuu..fuatilia habari ya dilunga

Jazba itawaponza chadema
 
Ni mambo ya wakati tu, ukifika wengi hawataamini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom