Wabunge CCM waagizwa kuitetea bajeti kufa na kupona

Serikali inatakiwa ijikite katika kuhakikisha vipa umbele vinavyotakiwa vinaweza kuwekezwa na wananchi na wenye mitaji, mfano: Kilimo kwanza, serikali inahakikisha inasimamimia vipi pembejeo zipatikane, ipi ni bora, wapi inapatikana na at the same time inatafuta na kuhamasisha wawekezaji katika hizo pembejeo. Tunaona kwa sasa waTanzania wanavyofaidika na kiwanda cha mbolea cha minjingu, lakini wakati kilipokuwa cha umma? Utajaza mwenyewe.

This dude is real myopic! Hakuna nchi yeyote in this planet (earth) iliyoendelea kwa kuwekeza kwenye KILIMO tu bila kuwekeza pia kwenye PROCESSING INDUSTRIES. Haipo nchi kama hiyo (show me at most one) unless labda nchi hiyo iko Mars! Agriculture and processing industries vinakwenda hand to hand (they support each other).

KILIMO KWANZA bila mikakati ya kujenga processing industries is another failured policy. Kilimo hakitafika popote! huhitaji kuwa a neuron surgeon to figure out.
 
Poleni na maandishi bila utekelezaji; magamba siwawezi labda tuwafanye kama mubarak tu
 
Unapolipa kodi, inatakiwa kodi iende panapostahiki, lakini isiende kujenga kiwanda cha Umma ambacho kinajulikana wazi kuwa kitakufa, kwani vilikuwepo na vimekufa.

Serikali inatakiwa ijikite katika kuhakikisha vipa umbele vinavyotakiwa vinaweza kuwekezwa na wananchi na wenye mitaji, mfano: Kilimo kwanza, serikali inahakikisha inasimamimia vipi pembejeo zipatikane, ipi ni bora, wapi inapatikana na at the same time inatafuta na kuhamasisha wawekezaji katika hizo pembejeo. Tunaona kwa sasa waTanzania wanavyofaidika na kiwanda cha mbolea cha minjingu, lakini wakati kilipokuwa cha umma? Utajaza mwenyewe.

Wewe inaelekea akili zako haziko kichwani zipo sehemu nyengine. Mimi nalipa kodi serikali kwa mkataba ulioandikwa kwenye katiba serikali inifanyie mambo yafuatayo:-
a. Inilinde dhidi ya maadui walio nje ya mipaka ya nchi yetu (au kwa jina jengine ni National security).
b. Inisafishie mitaa na kuhakikisha mazingira ya kuishi yako katika kiwango cha afya ya mwanadamu (Kila mwaka tunalipa halmashauri ya jiji kodi ya jiji sijawahi kuona hata siku moja gari la takataka kuja kubeba uchafu wakati ndio makubaliano yetu).
c. Nalipa kodi ili niwe na barabara nzuri kwa usalama wa wapita njia na wengineo.
d. Nalipa kodi ili nipate huduma muhimu za kibinaadamu kama maji, nishati na afya (hapa Dawasa ndio imefail kabisa, Tanesco wanasua sua, Muhimbili hata vitanda hakuna).
e. Nalipa Kodi Serikali isimamie usalama wa fedha zangu.

Kilimo si katika mahitaji yangu ya kodi kwani nchini kuna wakulima, wafugaji, wahunzi, wafanyabiashara, watumishi na wote wanachangia kwenye pato la nchi. Unapodai ati serikali iwekeze kwenye kilimo kwanza wakulima wenye Tanzania wako wapi??? Petty farmers unawapa mkopo huwafundishi mkopo wanautimaje, huwapatii utaalamu wa kusimamia mikopo, matokeo watu wanakopa kulipa hawalipi (mifano hai ni mabilioni ya kikwete kwa wakulima 2005 wangapi wameyalipa???).

Faida gani Tanzania inaipata kutoka katika kiwanda cha minjingu hebu tupe mfano miwili au mitatu acha kutuzushia unafikiri Watanzania wajinga kama unavyofikiri wewe nikuulize GDP wa nchi sasa inachangiwa kiasi gani Agriculture? Nani wanaoisukuma GDP ya nchi kukua zaidi ya makampuni ya simu, benki na huduma zenginezo Kilimo kila siku kinaenda kikishuka unatuambia hilo ni mafanikio . Crap!!!!
 
Kweli nashindwa kabisa kutambua na kuelewa kama hawa wabunge wa ccm wapo bungeni kwa ajili ya wananchi au kutunisha vitumbo vyao,hivi kwanini wasitetee maslahi ya wananchi,kwanini hawapendi kuainua watu wa chini?maana imeshakuwa desturi yao kuzomea na kupiga meza kwa kila jambo hata ambayo haina masilahi kwa wananchi.Ee Mungu tusaidie katika hili walau hata uzuzu wa wakilishi wetu upungue.Imekuwa desturi wao kushabikia kila kitu hata isicho kuwa na manufaa kwa umma.Hakika tumepeleka mazuzu na wezi bungeni,na walaaniwe wenye kupotosha na kuubatilisha ukweli kwa manufaa yao.
 
Tunajua hilo mkuu,maana lilikuwemo kwenye vile vikao/semina kadhaa zilizopita pia.Sawa tu.
 
CCM wafanye siasa ndani ya bunge
CDM watafanya ndani na nje ya bunge mwishowe tutaona nani itakula kwao
 
Huyu Mizengo Pinda mbona anawatukana wabunge wa CCM? Wabunge CCM kweli waitetee budget ya serikali kwa hoja? Kwahili I bet my neck, hakuna mwenye hoja CCM labda bora hoja.

The Best PM angewsahauri wabunge wa CCM ni KUNGONGA MEZA KWA NGUVU, kusema naunga mkono budget kwa 100% na mwsisho kushukuru wapiga kura kwa kukirudisha CCM madarakani, zaidi ya hizo ngojera hakuna mbunge wa CCM mwenye uwezo wa kuichambua budget na kuitetea, usitudanagye Pinda maana naona inakuwa jadi yako sasa kusema UONGO.
 
Kuna magari ya zamani ambayo ni expensive kuliko ya sasa hivi....kwa mfano 1967 chevy impala ni more expensive than 2011 ford focus.
Hata hivyo,kodi nyingine huwa hazimake sense,ni utemi tu wa kuchukua hela kutoka kwa wananchi,mfano nchi kama marekani wana inheritance tax ambayo unalipa like 50% ukirithi mali.
Sioni sense yoyote,ila taxes don't make sense sometimes.
Na hapo kwenye nyekundu,most accidents are not reported,mileage can be easily altered......ukifanya hivyo kwa bongo utakuwa una facilitate corruption.
Samahani,sio kama mimi ni usalama ila hayo ni mawazo yangu tu.



Mimi siongelei Tax as to do with everything about taxing. Naongelea tax in the context of development kama kuna magari ya thamani au ni antique kwa wengine then it becomes a luxury to those who can afford them. And when the tax man comes he doesn't look at the make but rather the cost of it.

On the other hand if you're a poor nation and come up with over ambitious taxing system when the masses are poor you're going to end up getting mikweche's for import. Its not like the car markers are concerned in tapping our local market, its only individuals efforts that supply for most part in the market.

And when you start inventing unreasonable amounts of taxes to cover your national income just because we have a bozzo as a head of our finances you know we are going to be in trouble. The idea behind tax is this, yes tax is good and its the source of gov income. But then while taxing those involved in the process have to be sure their taxes don't make life so difficult for a majority or make products too expensive in the society.

As a result of luck of understanding on taxing in tz, our roads are full of mikweches and accident prone vehicles. Not that because people can not afford to send decent second hand cars but the taxes are what put people off. Mtu anafikiria akileta gari la maana akisha lipa ushenzi wa hawa jamaa how many people would be able to afford the street value. Anaona bora alete mkweche kwa bei ya tanzania wafanyakazi kadhaa wanaweza afford haraka haraka ageuze zake. Wakati hiyo hela anayopata hapo akirudi uzunguni ana pata decent car ya kuendesha yeye mwenyewe. Ina maana the car market in Tanzania is more expensive than the west na sisi ndio maskini.

Now tell me you still believe this guy Mkullo is not useless.

With regards to inheritance taxes or other weird taxes, those ones are viewed as extra incomes. But these people (westerners) do to take great care when taxing to insure those working have it easier as they can possibly can. Sio sisi kukurupuka tu I can go on and on to justify why Mkullo is no good.

Halafu hapo kwenye red mbona unajishuku mkuu, najua CCM imeishiwa uongozi, sera, na mengineo mengi. Lakini kwani imeishiwa na maadui pia maana wakianza kuangaika na watu uchwara kama kina juma contena ndio itakuwa sasa serikali nzima imechanganyikiwa.

 
Nakumbuka toka wakati Mkapa hadi JK anaingia madarakani kulikuwa na mikakati ya kupunguza umaskini nchini kiasi kwamba tuliambiwa kwa hesabu zao na hiyo IMF kwamba umaskini nchini ni asilimia 37 na upo vijijini.. Leo bado naziona hesabu hizo hizo za asilimia 37 ya umaskini tena vijijini. je, hiyo mikakati ya Mkukuta sijui nini, zimeweza fanikiwa kwa kiasi gani maanake hiyo asilimia haishuki na bado tunapigwa na mipango ya maendeleo kila awamu..
 
Back
Top Bottom