KipimaPembe
JF-Expert Member
- Aug 5, 2007
- 1,285
- 696
Kwanza muda wa kuanzisha chama cha siasa na kupata usajili wa kudumu na kisha kushiriki katika uchaguzi utakaofanyika mwaka huu upo? Wanachoweza ni kujiunga na vyama vilivyopo; wachague pa kuweka uzito wao; CUF? Chadema? TLP? NCCR? etc... I bet kama wapo, wataingia NCCR mageuzi, halafu wakishaingia madarakani utagundua ni chama kile kile!!