Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wabunge wa ccm wamekimbia bungeni jioni hii eti wapo kenye kikao!!!!!!!!!!!!!
Peoples.............................................................................
Tunataka atuambie Deni la nje limeongezeka vipi?
Kisha atueleze
Ubadhirifu kwenye magari ya serikali (ununuzi, repairs, mafuta) unaccounted money ni 5 trillion, atueleze zimekwenda wapi!
Tanesco, 600 Billion,
Maliasili 88 billion
Kiwanja kilichouzwa kwa ujanja wa upotevu wa 1.3 trillion,
Mishahara hewa 1.8 billion
Chief Accounting officer 49 billion,
Atuambie zimekwenda wapi!!
Akishindwa basi kichwa chake ni halali yetu!!
Upuuzi tu nchi hii!! tumechoka kuchekewa chekewa kama tunatoa posa hapa!!!
Jamani..bungeni kunaskitisha. Magamba wamekimbia..eti wanakikao..wangekuwa chadema hawapo ingekuwa ishu..kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Jamani..bungeni kunaskitisha. Magamba wamekimbia..eti wanakikao..wangekuwa chadema hawapo ingekuwa ishu..kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Slaa upo wapi uende ikulu,afande nani,protokali,nani..wee ndesa..mwamunyange tuma helikopta geita ikamchukua Dr Slaa ale kiapo maana wamekimbia bunge na ****** katorokea brasil..
Jamani wabunge wa ccm wamekimbia bungeni jioni hii eti wapo kenye kikao!!!!!!!!!!!!!
Peoples.............................................................................
retreat is one of the strategies to win a war.