IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,314
hili ni game tusubiri tuone. huenda yakawa ya kweli maana hata kauli za samwel sitta itv zilikuwa na utata kwani aliweka wazi kabisa kuwa anne makinda kawekwa uspika na mafisadi
CCM is a walking coffin!
natamani kuwajua hao wabunge wanaotaka eti kujiondoa sisiem na kujivua ubunge, daaaah!