Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,731
- 749
hujamuweka Kafulila Kwenye bora
hujamtendea haki Ester Bulaya kund A hukumuweka
Uchambuzi huu umefanywa na tuliokuwa tunasikiliza bunge tangu kuanza kusoma kwa bajeti, waweza kuongeza majina katika kundi lolote ili waheshimiwa hawa wajirekebishe au waendelee kutoa michango bora.
A: Waliotoa michango bora kwa serikali
1. Mh Beatrice Shelukindo - CCM Kilindi
2. Mh. Mbowe - CHADEMA Hai
3. Mh Deo Filikujombe - CCM Ludewa
4. Mh Prof Peter Msola - CCM Kilolo
5. Mh Akonay -CHADEMA - Mbulu
6. Mh Mpina CCM
7. Mh Prof Kahigi -CHADEMA - Bukombe
8. Mh Eng. Makani - CCM Tunduru
9. Mh James Mbatia - NCCR (Kuteuliwa)
10. Mh Nomrod Mkono -CCM (Musoma)
B: Waliotoa michango dhaifu na ovyo
1. Mwigulu Nchemba - CCM
2. Lusende - CCM
3. Tundu Lissu - CHADEMA
4. John John Mnyika - CHADEMA
5. William Ngereja - CCM
6. Felix Mkosamali - NCCR
7. Capt John Komba - CCM
8. Ole Sendeka - CCM
Inasikitisha sana kuona Mnyika kaanza tabia inayomuingiza kwenye kundi B!
TAARIFA:
Leo nimeisikia sauti ya mohamed dewji alipotakiwa kupiga kura na kujibu "ndiiio" kisha akawa bize kumsaka yule aliyekuwa wa fedha, jina nimemsahau.
Uzuri na ubaya wa mtu inategemea mtazamo wa mtu anayejaji.