"Wabongo Wengi Huvutiwa Na Makalio Na Matiti Makubwa..."

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
"WABONGO WENGI HUVUTIWA NA MAKALIO NA MATITI MAKUBWA, HIVYO NAAMINI NITAWANASA WENGI"......BABY MADAHA
3.jpg

KATIKA kusaka mvuto wa kimahaba, msanii wa filamu na muziki, Baby Madaha ameamua kuongeza ukubwa wa matiti yake.

Akipekuliwa na mpekuzi wetu jijini Dar es Salaam, Baby alisema amefikia uamuzi huo kwa sababu wanaume huvutiwa zaidi na matiti na makalio makubwa.

"Najua Wabongo wanaweza kushangazwa na uamuzi wangu, lakini ni mambo ya kawaida kabisa kutafuta mvuto wa mahaba kwa wanaume wanaopenda matiti na makalio makubwa. Nimeanza na matiti, baadaye nitakwenda a makalio," alisema.

Alipotakiwa kutaja hospitali aliyofanya upasuaji huo alijibu kwa kifipi: "Ni siri, siwezi kuitaja ila iko Nairobi (Kenya)."



 
Bahati mbaya sana utakapoyahitaji yale madogo huwa haiwezekani tena. Kwa kuwa mchezo huu wa kupandikizwa homoni huwa hauna uwiano kamili na mzunguko wa mwili, urembo huu huwa ni wa muda sana. kama kweli umeyafanya haya mwanasengerema japo sioni tofauti katika picha hizo, hutaamini hizo Compact Disc utakazoning'iniza kifuani baada ya 5 years.

Pole na hongera zako

ADIOS
 
Bahati mbaya sana utakapoyahitaji yale madogo huwa haiwezekani tena. Kwa kuwa mchezo huu wa kupandikizwa homoni huwa hauna uwiano kamili na mzunguko wa mwili, urembo huu huwa ni wa muda sana. kama kweli umeyafanya haya mwanasengerema japo sioni tofauti katika picha hizo, hutaamini hizo Compact Disc utakazoning'iniza kifuani baada ya 5 years.

Pole na hongera zako

ADIOS

Ha ha ha GHOST RYDER dada'ako amekukera bila shaka. Siunajua mambo ya kuiga umarekani, asichojua ni kitu kimoja kwamba wamarekani wana mkwanja wa kuwatosha kuhimili vishindo, sasa kwa hapa nyumbani hela yenyewe ya kuungaunga atayaweza?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha GHOST RYDER dada'ako amekukera bila shaka. Siunajua mambo ya kuiga umarekani, asichojua ni kitu kimoja kwamba wamarekani wana mkwanja wa kuwatosha kuhimili vishindo, sasa kwa hapa nyumbani hela yenyewe ya kuungaunga atayaweza?

Mwita Maranya hawa dada zetu bhaaaana ukwasi kidogo unawapa taharuki kubwa la fikra. Huyu atajuta kama kweli kafanya mchezo huu.
 
kwa tunaomfahamu huyu JOHAN MADAHA mtoto wa marehem Dr. Madaha wa kule Mission Sengerema hatusemi maana amekuwa zaidi ya kituko ni mchina kila mahali
 
yote tunayopanda tutegemee kuvuna - NAYE PIA ATAVUNA..........laiti mahela hayo angesaidia maskini - wangemshukuru na kumwombea dua pia.
 
Back
Top Bottom