Wabongo wanahadhirika SA.

Kuna jamaa tunafanya nao biashara ni wa South Africa wanasema they don't trust Kenyans at all kwahiyo sishangai kusikia kuwa South Africa wakenya wako wachache.
SA njaa tupu wakafanye nini kule?? ninachokuambia nyie watz hamuwezi kuwafikia wakenya kwa kiasi cha fedha na uwekezaji walichofanya au wanachofanya wakenya..never....
suala la kuwa trusted sio wakenya pekee hata wavatican nao hawaaminiki...

Police say they have cracked a burglary gang that stole almost dhs10 million from 30 houses in one month.
The head of the Criminal Investigation Department, Brigadier Khaleel Al-Mansouri, said burglaries occurred at villas in the Mirdif, Jumeirah and Rashidiya areas while the owners were away in May.
“Our investigation led us to two suspects from Tanzania who were knocking on the doors to check if anyone was home,” he said.
If someone was home, they claimed to be beggars looking for money, Al-Mansouri added.
If the house was empty, they would break in and steal belongings.
They stole gold, money and other valuables from the houses worth dhs10million.
Al-Mansouri said: “The suspects even used teargas on dogs at two villas before committing their crime.”
Two men have been arrested, one was caught by a police patrol and the other was arrested at a hotel in the Naif area.
Colonel Ali Bin Ganem, from Dubai Police, urged residents to notify the police if they were going on holiday this summer. Officers would then make daily checks on their property.
He said: “It’s a useful programme as the participant just puts details on our web site and then go away and our patrols will look after the house.”
He added: “We want a summer without burglaries.”

Burglary ring cracked - National News
 
Mawazo ya kujitapa je, twaelimisha naona jamani watu sasa ni kejeli tu... am done.
If you talk shit to me what do you expect me to do sit down and starting smiling no way no one should think is better than the other kama, the mother of all evil is speculation sasa kama mtu ukianza kuni-speculate nakupa ukweli sitojali how you will feel about it and thats what i did.

Societa Jesuit it was not my intention but i had to do it take it easy
 
Unaishi pango gani?
Mbona kuna nchi kibao tu kila malaya anarekodiwa na kulipishwa kodi? kumbe naongea na jitu zumbukuku kabisa hapa..sasa kama huko kwenu Kibera hakuna takwimu za malaya, unapata wapi audacity ya kusema malaya wengi huko Kenya ni watz na waganda?..i have been repeating the same argument over and iover lakini una kichwa kigumu kama jiwe, sasa i understand why.

tusiende mbali toa nchi moja afrika.umalaya uko kila mahali.

haswa wewe sijui ndo umetoka pango gani.actually nilikuwa namjibu yule **** aliyesema malaya wengi Johannesburg ni wakenya.mbona hukumuuliza aleta stat.

ukweli ni mambo mengine ni stereotype basi.lakini wewe ni mjinga wa wajinga.kuelewa kwako ni ngumu ajab.that why i asked,did prostitition issue touched one of your sensitive nerves
 
Ina maana uliona hao mabaharia tu, hukuona wabongo wenye mafanikio huko? Botswana, Namibia na Swaziland niliwakuta wabongo wenye maisha safi wanamiliki hata hospitali. Mwaka 2007 nilikuta miongoni mwa madaktari wa King Mswati alikuwa Mbongo. Sasa wewe umekuta kundi la vibaka na wavuta unga ambao hata kule Ferrry, Dar unawakuta kwa wingi, ndio unasema wabongo. Shame on you!!! Kwanza hapa SA wabongo hawako kwenye black list.
 
tusiende mbali toa nchi moja afrika.umalaya uko kila mahali.

haswa wewe sijui ndo umetoka pango gani.actually nilikuwa namjibu yule **** aliyesema malaya wengi Johannesburg ni wakenya.mbona hukumuuliza aleta stat.

ukweli ni mambo mengine ni stereotype basi.lakini wewe ni mjinga wa wajinga.kuelewa kwako ni ngumu ajab.that why i asked,did prostitition issue touched one of your sensitive nerves

Kwanini nitoe mfano wa nchi ya Afrika? hivi una akili timamu kweli wewe? wewe umedismiss kwamba hakuna nchi ambako kuna takwimu za malaya..sasa nchi zinapatikana Afrika peke yake? hivi una akili au unatunza kinyesi huko kichwani kwako?

Weka direct quote hapa inayosema malaya wengi wa Joe bag ni wakenya, and i will show u a liar.

Fool
 
kazi kwelikweli,unapoona wenzio wana shida kumbe yako huioni
kila jamii na mtu binafsi ana shida/matakwa yake na jinsi ya kutoka kimaisha
wazamiaji kila nchi wapo tena kwa uwingi tu wa kutosha

ivi kila serikali ya dunia ya tatu imeweza/au itaweza kuwatoa wanaichi wake ktk umaskini?
hii ni ajabu
acheni maisha ya watu
 
naona mnaelekea kusikotakiwa.

nyny magreat thinkers, vuteni subira kidogo, fikirieni mnachojadili, kisha rejeeni kwenye mstari

kenya , uganda au Tanzania sote ni waafrika mashariki, na kila moja kati ya nchi hizi kuna matatizo yao na kuna mazuri yao ya kujivunia na kujifaharisha.

sasa hakuna sababu ya kuvuana nguo watu wazima hapa
 
Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.

Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.

vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.

We unatafutwa na Ocampo..bdo haujakwenda? Wenzako wametangulia tayari,crap!
 
Kwanini nitoe mfano wa nchi ya Afrika? hivi una akili timamu kweli wewe? wewe umedismiss kwamba hakuna nchi ambako kuna takwimu za malaya..sasa nchi zinapatikana Afrika peke yake? hivi una akili au unatunza kinyesi huko kichwani kwako?

Weka direct quote hapa inayosema malaya wengi wa Joe bag ni wakenya, and i will show u a liar.

Basi tupe data ya malaya wa Tanzania.kweli you are stupid more that i think you were.This is an issue concerning Africa or specifically east africa,you want to give me data of how many prostitute are in taiwan,makosa yako unafikri kama mbwa mwitu anazururazuruza hajui akwendako na ulimi nje na mate inamtoka mdomoni.issue ni hapa kwetu.critical thinking,ama hukufunzwa hiyo.we ni balaa au mtu.emu nenda ukazunguliwe becouse it seems you have an unknown problem
 
Basi tupe data ya malaya wa Tanzania.kweli you are stupid more that i think you were.This is an issue concerning Africa or specifically east africa,you want to give me data of how many prostitute are in taiwan,makosa yako unafikri kama mbwa mwitu anazururazuruza hajui akwendako na ulimi nje na mate inamtoka mdomoni.issue ni hapa kwetu.critical thinking,ama hukufunzwa hiyo.we ni balaa au mtu.emu nenda ukazunguliwe becouse it seems you have an unknown problem

Wewe kweli ni ch.okomaji wa Kisauni unatafuta mabwana humu..sasa nikupe data za malaya wa Tz za nini na nizitoe wapi? nimekuuliza data za malaya walioko Kenya baada ya wewe pimbi kutoa hoja zako za kimbea ulizoshindwa kuzitetea kwa data, sasa mimi nikupe data ili ku-prove nini? kwamba wewe ni mpumbavu? i've already proved that! guess i have better things to do rather than conversing with an empty can id.iot, you.
 
Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.

Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.

vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.

Dear Smatta,

Usifikiri watanzania ni wajinga na wapumbavu kama unavyofikiria kwenye akili yako. Mleta hoja ameshindwa kujenga hoja ya msingi matokeo yake amekuwa akizungumzia zaidi kinadharia kuliko kimantiki. Watanzania wa sasa mkaambiane huko sio kama watanzania wa zamani hudanganyi mtu na smear campaign kama hizo. Tumemuuliza (Askari Kanzu na Abdulhalim ) kuwa ana statistics zozote kuprove hilo angelileta huoni kama ingelikuwa changamoto kwetu kujua tatizo tulilonalo watanzania. Pili usifikiri watanzania hawakai nje ya nchi au hawajatembea nje ya nchi ni ngumu sana mtu ukakutana nae hamufahamiani ukaanza kumueleza unasurvive vp katika nchi ya watu (unless huyo atakuwa jitu pumbavu) hivyo basi atuambie aliwaambia nini kwanza mpaka jamaa wakamtrust kumueleza shida zao. Tatu anadai watanzania wako wengi je amefanya comparison na wakenya waliooza pale South Africa, Waganda , wamozambique etc.

Endeleeni na ujinga wenu ndio maana nakuambie tatizo la wakenya ni arrogance na stupidity inayowasumbua na eleweni watanzania ni wasomi hamtudanganyi na hoja zenu za kipuuzi .
 
Ndugu yangu finest, hakuna mtu anatrust waKenya, hata ukienda States leo, uulize kwenye African communities watu gani hawaaminiwi, ni waKenya na wa Nigeria, hata hapa nyumbani sisi wenyewe hatuaminiani.. cha kushangaza ni kuwa bishara zetu zimenawiri sana huko ambako hatuaminiwi, nadhani nyie mnafocus sana na side shows hadi mnapoteza ramani ya target yenyu. Mwanabiashara mkenya ni tofauti sana na mfanyibiashara wa Kibongo, jiulize kwa nini? leo tukianzisha biashara mimi na wewe chances ziko high biashara yangu itanawiri kuliko yako, unless utumie chumaulete.

Inawezekana kukuwa kwako kwa biashara kumechangiwa na utapeli unaofanya huko nchi za magharibi na kuiba katika mabenki maana ndio huko mnachati kubwa ya watu wanaoiba nyie kenya na wanigeria mnashikilia namba za juu kwa wizi huo. Umejualiza pengine hilo nalo limechangia kukua kwa biashara zenu???
 
Dear Smatta,

Usifikiri watanzania ni wajinga na wapumbavu kama unavyofikiria kwenye akili yako. Mleta hoja ameshindwa kujenga hoja ya msingi matokeo yake amekuwa akizungumzia zaidi kinadharia kuliko kimantiki. Watanzania wa sasa mkaambiane huko sio kama watanzania wa zamani hudanganyi mtu na smear campaign kama hizo. Tumemuuliza (Askari Kanzu na Abdulhalim ) kuwa ana statistics zozote kuprove hilo angelileta huoni kama ingelikuwa changamoto kwetu kujua tatizo tulilonalo watanzania. Pili usifikiri watanzania hawakai nje ya nchi au hawajatembea nje ya nchi ni ngumu sana mtu ukakutana nae hamufahamiani ukaanza kumueleza unasurvive vp katika nchi ya watu (unless huyo atakuwa jitu pumbavu) hivyo basi atuambie aliwaambia nini kwanza mpaka jamaa wakamtrust kumueleza shida zao. Tatu anadai watanzania wako wengi je amefanya comparison na wakenya waliooza pale South Africa, Waganda , wamozambique etc.

Endeleeni na ujinga wenu ndio maana nakuambie tatizo la wakenya ni arrogance na stupidity inayowasumbua na eleweni watanzania ni wasomi hamtudanganyi na hoja zenu za kipuuzi .

Nani mjinga????
carelessness.jpg


mitanzaniaa bana ona na hili lingine...
ndo%2Bmana%2Bajali%2Baziishi.jpg

....
.....
 
"Hii inaitwa bisha mpaka ufe.......safari bado ni ndefu"

Mimi sikuona kosa alilotenda mtoa mada; yeye ameeleza jambo aliloliona kwa wakati huo. Sifikiri kama itakuwa ni busara kulazimisha kwamba alete taarifa ambazo hajafanikiwa kuziona. Inawezekana ni mara yake ya kwanza kuona wa-TZ walioko nje wanavyopata shida katika kujitafutia maisha, na huenda angewaona wa-Kenya wenzake akiweza kuripoti vile vile au mataifa mengineyo.

Jambo la msingi kwetu ilikuwa ni jinsi gani tunaweza kuwasaidia wa-TZ wenzetu waliopo nje na hawana matarajio ya kufanikiwa tena katika ndoto zao kuweza kurudi nchini na kuangalia fursa zinazoweza kupatikana hapa.

Sipendi inferiority ya kuwaona Wa-Kenya ni bora kuliko sisi na hili ndilo lililokuwa linajitokeza kutoka kwa wachangiaji wengine.

Kama na sisi Wa-TZ tukiwaona wa-Kenya wanafanya jambo la tofauti na linahitaji kujadiliwa tunaweza kuweka hapa jamvini, lakini siyo busara kuelezwa matatizo yako halafu unaanza kumwelekezea mashambulizi huyo mhusika. Tujifunze kukubali ukweli, hata kama unauma.
 
...Kuna wale very open minded ,but few like that snitch Askari Kanzu and abdullahim...
Dogo (mkenya mwongo), nilishakuambia awali kuwa najua ni wapi nimekugusa na ndio maana unapapatika na kutoa lugha chafu. Anyway, I do not really have time to argue with fools of your calibre. As such, this is my last post to you!
 
Wabongo wengi tu South Africa wanatafuta maisha, wengine vibaka wanavizia Laptop, simu, za wizi, wengine wanapiga kazi fresh, wengine wanauza unga (cocaine) wengine ndio hawo wanasuburi kudandia meli, kiukweli bongo pagumu kazi amna waacheni wapambane kutafuta maisha :poa
 
Tatizo kubwa la ndugu zetu wakenya wengi ni arrogance behavior waliyonayo iliyochanganyika na stupidity. Huwezi kukuta watu wamekaa sehemu huwajui hawakujui ukawauliza nyie watanzania wakakujibu watakuaminije wewe sio shushushu au spy? Pili takwimu za wingi zimetoka wapi una statistics zozote kuprove hilo? Mwisho kabisa hata kama wako pale watanzania what is a big deal hapo kwani si wanatafuta maisha mbona husemi machangudoa wakikenya waliojazana SA au huwajui? Nenda Joburg utawakuta na Durban siku nyengine usije na taarifa za kidaku kama hizi
Usiende mbali machangudoa wa Kikenya wamejaa hapa Dar nemda guest za sinza wamejaa kibao na mambo wanayoyafanya ni ya aibu aheri hata mbwa ana aibu kuliko hao dada wa kikenya
 
Jamani si kusema kwa ubaya.nisharudi zangu kenya.

kitu chengine umalaya upo kila mahali,hata hapa kenya malaya wengi ni wabongo na waganda. lakini issue hapa ni hao mabaharia kama vile mwingine amesema.hili ni soma tosha tusije takakimbila ugenini kumbe maisha huko ni mabovu.

Aaaaaah Mkenya na wewe utasema kuhusu umalaya? Mbona dada zenu tunawajua na jinsi wanavyotupapatikia wewe!!! Ingawa most of them are Ugly u can't imagine!!
 
Back
Top Bottom