Smatta
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 2,350
- 730
Mkenya Mkweli, mie ni Mkenya mwenzako.. hapa hawa ndugu zangu wanakuponda kwa kuleta hii mada si kwa kuwa topic yako ni mbaya, sababu inayofanya wakupeleke mbio ni kwa kuwa wewe ni Mkenya na umewakosoa jambo ambalo wanajua ni kweli.
Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.
vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.
Shida kubwa ya waTanzania hawajazoea kuambiwa ukweli, kwenye hii forum washa ni ban mara nyingi kwa kusema ukweli ambao wengi wao hawataki kuskia. Ukisoma magazeti yao na kuskiza news zao kwenye TV na Radio, kuna ushabiki mwingi na media hizi ni za kusifia serikali na rais, hamna wakukosoa jamii. Ndio maana ni ngumu kupata habari negative kuhusu Tanzania isipokuwa ile imeandikwa na foreigners ama kwenye blog sites kama hizi.
vumilia tu na u ignore ma trolls kama Abdulhalim na wacha1... hao ni clowns humu wako kwa sababu ya comic releif.