Msarendo
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 10,477
- 6,428
afu kibaya zaidi wanamleta huyo jamaa sijui aitwa choklate flava.....
wameshabeba box, hapo wanaachiana harufu za vikwapa tu.
afu kibaya zaidi wanamleta huyo jamaa sijui aitwa choklate flava.....
Bado uko Tampere?
AC na winter la miezi hii au unamaana heater!Hapana arifu.....kweli viza pale ubalozini nimedunda mara kibao jamaa wananipa mashuti kama ya Hamisi gaga.....lakini mazee mimi najua majuu mnakula happy aisee....full bata bonge la wetha.....mibarafu miksa mabaga na mapizza na soda za kopo za kumwaga....
...
sasa hii picha cheki ukumbi kwanza kama parking ya gari.....ka flati skrini kadoonyo kamoja tu....afu hakuna AC aisee...
Kongosho,jf ni zaidi ya tuijuavyo,kesho twenzetu break point tukale brenda fassie na ugali wa muhogo.duh, ukistaajabu ya Musa, utaona ya wahenga.
wameshabeba box, hapo wanaachiana harufu za vikwapa tu.
lol.......... tena hii itakuwa aliperfom kwenye bday party 2 teh.Aisee wabongo Majuu ya London kweli choka mbaya......yaani aisee mmezichanga na kumleta huyu jamaa aje kuwatumbuiza???
Sishangai hata huo ukumbi wenu kama parking ya gari......
Alafu aisee......huwezi kuamini kama hapo ni majuu....wabongo hata majuu hamuivi?? ngozi iko smuthu kama vile mnaishi mburahati bana? wabongo majuu ya US wanang'ara kichizi......
kwani LONDON KUNA UKUMBI MMOJA TU MKUU? TEMBEA UONE... MAJUU NI KAMA DAR KWA WALE WAISHIO MIKOANI USIISHI DUNIA YA KUFIKIRIKA..HATA MBINGUNI KUNA SEATING KULINGANA NA HADHI ZA WATU..LONDON NA MAENEO MENGINE YA UK KUNA KUMBI KULINGANA NA HADHI ZA WATU NA KIPATO NDIO KIGEZO KIKUBWA USIDHANI WOTE WALIO ULAYA NA MAREKANI WAPO NJEMA, KUNA WENGINE MAISHA NI LUMBA KULIKO MKAZI WA TANDALE KWA BI PAKA MKUU..HAYO NI MAISHA YA KAWAIDA USITARAJIE MAISHA KATIKA DUNIA NYINGINE YANATOFAUTIANA SANA NA HAPO ULIPO..HASHA...