Wabongo wa London kweli mmechoka

Hapana arifu.....kweli viza pale ubalozini nimedunda mara kibao jamaa wananipa mashuti kama ya Hamisi gaga.....lakini mazee mimi najua majuu mnakula happy aisee....full bata bonge la wetha.....mibarafu miksa mabaga na mapizza na soda za kopo za kumwaga....

...
P1060931.JPG


sasa hii picha cheki ukumbi kwanza kama parking ya gari.....ka flati skrini kadoonyo kamoja tu....afu hakuna AC aisee...
AC na winter la miezi hii au unamaana heater!
 
Aisee wabongo Majuu ya London kweli choka mbaya......yaani aisee mmezichanga na kumleta huyu jamaa aje kuwatumbuiza???
Sishangai hata huo ukumbi wenu kama parking ya gari......
P1060927.JPG


Alafu aisee......huwezi kuamini kama hapo ni majuu....wabongo hata majuu hamuivi?? ngozi iko smuthu kama vile mnaishi mburahati bana? wabongo majuu ya US wanang'ara kichizi......
lol.......... tena hii itakuwa aliperfom kwenye bday party 2 teh.
 
kwani LONDON KUNA UKUMBI MMOJA TU MKUU? TEMBEA UONE... MAJUU NI KAMA DAR KWA WALE WAISHIO MIKOANI USIISHI DUNIA YA KUFIKIRIKA..HATA MBINGUNI KUNA SEATING KULINGANA NA HADHI ZA WATU..LONDON NA MAENEO MENGINE YA UK KUNA KUMBI KULINGANA NA HADHI ZA WATU NA KIPATO NDIO KIGEZO KIKUBWA USIDHANI WOTE WALIO ULAYA NA MAREKANI WAPO NJEMA, KUNA WENGINE MAISHA NI LUMBA KULIKO MKAZI WA TANDALE KWA BI PAKA MKUU..HAYO NI MAISHA YA KAWAIDA USITARAJIE MAISHA KATIKA DUNIA NYINGINE YANATOFAUTIANA SANA NA HAPO ULIPO..HASHA...
 
London hakuna wabongo wa hivyo labda uniambie Milton Keynes, tena kule maeneo ya viwandani kwenye nyumba za bei rahisi
 
kwani LONDON KUNA UKUMBI MMOJA TU MKUU? TEMBEA UONE... MAJUU NI KAMA DAR KWA WALE WAISHIO MIKOANI USIISHI DUNIA YA KUFIKIRIKA..HATA MBINGUNI KUNA SEATING KULINGANA NA HADHI ZA WATU..LONDON NA MAENEO MENGINE YA UK KUNA KUMBI KULINGANA NA HADHI ZA WATU NA KIPATO NDIO KIGEZO KIKUBWA USIDHANI WOTE WALIO ULAYA NA MAREKANI WAPO NJEMA, KUNA WENGINE MAISHA NI LUMBA KULIKO MKAZI WA TANDALE KWA BI PAKA MKUU..HAYO NI MAISHA YA KAWAIDA USITARAJIE MAISHA KATIKA DUNIA NYINGINE YANATOFAUTIANA SANA NA HAPO ULIPO..HASHA...

sikujua hadi mbinguni kuna matabaka mkuu
 
London hakuna wabongo wa hivyo labda uniambie Milton Keynes, tena kule maeneo ya viwandani kwenye nyumba za bei rahisi
kwa hiyo mkuu unasema kuwa hiyo picha ni photoshoped?
 
Mnanikata mbavu nyie hahaha, mlitaka akatumbuize kwenye ukumbi wanaofikia wakina beyonce na shakira sio, subutu
 
Wacheni uongo, hivi mnafikiri London ni pa-nchezo? Au mnapasikia tu? Kwanza huyu msanii mwenyewe ameenda kufanya hiyo show kwenye ukumbi ambao ni size yake, mlitaka aende The Royal Albert Hall au Wembley? Then hao watu wakuja kumwona hata 100 hawafiki? Kichekesho kikumbwa, mtapasuka msamba.
 
Back
Top Bottom