Yo Yo, karibu Ulaya!
Hizo nazipenda kweli, ila bei yake mhn!
Bado uko Tampere?
Yes Maserati and murcielago, and gallardo...
Huyo anaeimba nini nani?
Hapana arifu.....kweli viza pale ubalozini nimedunda mara kibao jamaa wananipa mashuti kama ya Hamisi gaga.....lakini mazee mimi najua majuu mnakula happy aisee....full bata bonge la wetha.....mibarafu miksa mabaga na mapizza na soda za kopo za kumwaga....
...
sasa hii picha cheki ukumbi kwanza kama parking ya gari.....ka flati skrini kadoonyo kamoja tu....afu hakuna AC aisee...