Wabongo na Halloween

samahani ndugu, nilikuwa sijui, kumbe wewe ni atheist, kama sivyo basi uelewa wako utakuwa ni mdogo sana, kwa hiyo tatizo lako ww liko hapo, kumbe unapost hapa vitu usivyo na uelewa navyo. Siku zote jitahidi kupost tu yale unayoyajua na kuyaamini, leo nishie hapo hapo

mzee chrismas na pasaka havina tofauti na halloween ! ni uongo mtupu ! mbona kwenye Biblia imeandikwa Yesu alisheherekea iku ya kutia mikate chachu (pasaka) wakati hajasulubiwa ?! Mti wa chrismas una uhusiano gani na kuzaliwa Yesu ?
 
Halloween ni sikukuu ya wamarekani tena basi watoto huvaa mavazi ya kitamaduni na kufanya maonyesho mashuleni, tena basi hufanywa na watoto kuanzia Nursery mpaka Grade 4 tu, hiyo huwa asb na pia usiku hupita wanagonga milango majumbani kwa watu na wanapewa candle, hivyo ni kuabudu mizimu ya kimarekani, kwani hutengeneza masanam ya aina mbali mbali na kupamba nje ya nyumba zao

...........ukafiri hajifichi !
 
Halloween ni sikukuu ya wamarekani tena basi watoto huvaa mavazi ya kitamaduni na kufanya maonyesho mashuleni, tena basi hufanywa na watoto kuanzia Nursery mpaka Grade 4 tu, hiyo huwa asb na pia usiku hupita wanagonga milango majumbani kwa watu na wanapewa candle, hivyo ni kuabudu mizimu ya kimarekani, kwani hutengeneza masanam ya aina mbali mbali na kupamba nje ya nyumba zao
Haloween imekuwepo kabla hata Amerigo Vespucci hajavumbua america
 
Changamkieni biashara hapo......duka la costumes na masks linahusika!
 
. Umesoma wapi ?na unakaa wapi ?1979 forodhani nursery school tulikuwa tuna celebrate Halloween .
Kumbe Natalia ni schoolmate wangu? Mbona sikumbuki kucelebrate Halloween au maybe kumbukumbu zangu sio nzuri? Ulisoma kwenye kimviringo pale kati or kule juu kwa masista? Pia kumbuka Forodhani nursery iliendeshwa na wasista wa kizungu labda ndo sababu wenzetu mliweza kuijua Haloween mapema
 
Kumbe Natalia ni schoolmate wangu? Mbona sikumbuki kucelebrate Halloween au maybe kumbukumbu zangu sio nzuri? Ulisoma kwenye kimviringo pale kati or kule juu kwa masista? Pia kumbuka Forodhani nursery iliendeshwa na wasista wa kizungu labda ndo sababu wenzetu mliweza kuijua Haloween mapema
Hee mviringo na kigauni cha blue.
 
Halloween na Krismasi havichekani.

Ukishambulia Halloween nategemea ushambulie na Krismasi pia, kwani vyote tumeiga

La kama huwezi kushambulia Krismasi, halloween ni sikukuu nyingine tu kama Krismasi.

Tena ina afadhali maana haijidai kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu. Ingawa zote ni ubahau tu.


Kweli we ni Kiranga cha kujitakia.
 
Mie sina undugu na burlesk



Inaonekana kuna mengi zaidi ya hili usoyajua, kama unaweza kuunganisha in a "non sequitur manner uongo wa Krismasi kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu (uongo ambao waumini wengi wa dini ya kikristo ambao si atheists wanaujua na kuusema kwamba ni uongo) na atheism.



Shauo zote kumbe hata hujui unachoandika, sivyo.



Wako wa kuunganisha vitu kwa non sequitur ndo mkubwa hewalla.



Freakin one dimensional miniature burlesk brewing billowing calcified cacophonies of common calumnies.

Samahani,hapo juu hiyo para ya mwisho ni kiinglishi kweli?Kama ndiyo,Mungu akubariki kwa kukusudia kuitesa akili yangu kuifanya isome mineno migumu na kulazimisha kuielewa bila mafanikio. Ahsante
 
Hahahhaa........unamfahamu mkuu wangu mmoja anaitwa Mihayo?
I will PM you......damn...!!!
Halloween na Krismasi havichekani.

Ukishambulia Halloween nategemea ushambulie na Krismasi pia, kwani vyote tumeiga

La kama huwezi kushambulia Krismasi, halloween ni sikukuu nyingine tu kama Krismasi.

Tena ina afadhali maana haijidai kuwa ni siku ya kuzaliwa mwana wa mungu. Ingawa zote ni ubahau tu.
 
Nchi tajiri wanaweza hata kusema wanachochea chumi zao, watu wanunue madubwana hela iongezeke kwenye mzunguko.

Nchi masikini mna import mpaka maputo na pipi, mtateteaje "extravagance" hii kama anavyoiita Janjaweed?

Bongo maisha yenyewe halloween tosha, halafu mnatafuta halloween bado?


Baeleze bwana na maisha yao ya kuigiza, bongo is very funny
 
Back
Top Bottom