Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
mpira magoli chenga mbwembwe!!!!arifu sina hizo mie.....ila nawaambieni hamtafika popote kama hawatadfanya mazoezi kwa bidiii na kuzingatia chakula bora....
hivi hao simba ni mpira gani waliocheza jana??? narudia mie sio shabiki wa vilabu vya bongo kamweee.....sishabikii upuuzi wa kariakoo mie