Mkuu usilete utani,Kilimo kwanza? wakati unaambiwa watu huko Rukwa wanaozewa na nafaka katika maghala yao kisa, hawaruhusiwi kuuza nje na ndani mazao yao hayana mnunuzi. Zile zilikuwa ngonjera tuu na vijana hawawezi kwenda huko. Kwa sera hizi biashara hii na ujambazi na yote yasiyofaa tutegemee kuyasikia sana kadiri siku zinavyokwendaTatizo ni kwamba baadhi ya vijana wa Bongo wanadhani maisha unaweza kuyapatia kwa short cut namna hiyo, Mheshimiwa kashindwa kutengeneza ajira kama alivyoahidi badala yake kaja na kilimo kwanza, sasa vijana kama hawa badala ya kuhangaika na mihadarati si wangebeba jembe wakalime tu kumuunga mkono bwana mkubwa.
Tatizo ni kwamba baadhi ya vijana wa Bongo wanadhani maisha unaweza kuyapatia kwa short cut namna hiyo, Mheshimiwa kashindwa kutengeneza ajira kama alivyoahidi badala yake kaja na kilimo kwanza, sasa vijana kama hawa badala ya kuhangaika na mihadarati si wangebeba jembe wakalime tu kumuunga mkono bwana mkubwa.
Mi nafikiria Askali watakuwa wamefanya jambo jema sana, maana huo unga (Heroin) ungeingia mitaani ungechangia sana kuharibi afya na siha za vijana...!Ajali kazini ila wangefanikiwa kuupitisha huo mzigo!
Mbona jamaa wangetoka kwa short kati ila najiuliza walishindwa 'kuongea' vizuri na hao askari wa kibongo? au walikuwa na mkono wa birika!!
kwani askari wetu ukiwapanga tu aaa! mabo yanakuwa shwari.
Ajali kazini ila wangefanikiwa kuupitisha huo mzigo!
Mbona jamaa wangetoka kwa short kati ila najiuliza walishindwa 'kuongea' vizuri na hao askari wa kibongo? au walikuwa na mkono wa birika!!
kwani askari wetu ukiwapanga tu aaa! mabo yanakuwa shwari.
Mi nafikiria Askali watakuwa wamefanya jambo jema sana, maana huo unga (Heroin) ungeingia mitaani ungechangia sana kuharibi afya na siha za vijana...!
Ongera sana jeshi la polisi.
Kuna Watanzania watano na Muiran mmoja wamekamatwa mkoani Tanga, maeneo ya kabuku na Kilo zisizo pungua tisini na tano (95kg), wenye data zaidi watufahamishe tafadhali.
Huyo Mu-Iran alikuwa anafanya nini pale Kabuku?
Mimi ninacho fahamu, watu wa pale Kabuku, Kwedukwazu, Mzundu ni wachimba madini, sasa Muiran kuingia ndani namna hiyo, kuna la zaidi!
Kumbe Wa-Iran wana bwia!!
95 Kg ni gunia kasoro 5Kg.Una maana 95 gm?
95 Kg ni gunia kasoro 5Kg.Una maana 95 gm?