Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Nimeona Kang ameanzisha mada ya kuzungumzia mambo ya programming hapa: https://www.jamiiforums.com/technology-and-science-forum/33905-programming-crew.html .
Halafu Nguli akatuua wabeba maboksi wote na kusifia mtu fulani hapa: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/41593-kevin-twisa.html .
Sasa kwani nini nasi tusijivunie kazi yetu inayopeleka chakula mezani?
Maboksi ndio yenyewe. Hauhitaji usome ma-C++++ kama Kang, ufoji vyeti kama mawaziri na wabunge fulani fulani, uwe mtaalam wa kumnadi Edward kama Rev, uwe unateremka yai kama dvd-ya-kisasa, au uwe mtaalam wa kutengeneza extreme kama Twisa.
Unachohitaji ni sifa nne tu:
Hiyo "validate selection test" wala isiwazingue. hiyo maana yake uweze kubeba lumbesa lisilopungua pound 110 (kilo 50).
Nyie haters wala vumbi, hebu chekini ma-warehouse ya nguvu tunayochakarika nayo. Dude limetulia kuliko hata hako kaji-mlimani city kenu.
Halafu sasa humu ni mambao na maboksi tu kwenda mbele.
Duh lakini si utani, ukiangalia humo huoni hata mwisho. Lakini poa tu mboni maboksi yanachezeka mdundiko ndani ya masaa 2 tu. Hebu ngoja niyafungie ukwaju kwanza (kuvaa jeans ambayo ina kiuno kikubwa zaidi yako, halafu unafungia mkanda tight. Matokeo yake kuna lile nundu linatokea nyuma)
Halafu Nguli akatuua wabeba maboksi wote na kusifia mtu fulani hapa: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/41593-kevin-twisa.html .
Sasa kwani nini nasi tusijivunie kazi yetu inayopeleka chakula mezani?
Maboksi ndio yenyewe. Hauhitaji usome ma-C++++ kama Kang, ufoji vyeti kama mawaziri na wabunge fulani fulani, uwe mtaalam wa kumnadi Edward kama Rev, uwe unateremka yai kama dvd-ya-kisasa, au uwe mtaalam wa kutengeneza extreme kama Twisa.
Unachohitaji ni sifa nne tu:
Hiyo "validate selection test" wala isiwazingue. hiyo maana yake uweze kubeba lumbesa lisilopungua pound 110 (kilo 50).
Nyie haters wala vumbi, hebu chekini ma-warehouse ya nguvu tunayochakarika nayo. Dude limetulia kuliko hata hako kaji-mlimani city kenu.
Halafu sasa humu ni mambao na maboksi tu kwenda mbele.
Duh lakini si utani, ukiangalia humo huoni hata mwisho. Lakini poa tu mboni maboksi yanachezeka mdundiko ndani ya masaa 2 tu. Hebu ngoja niyafungie ukwaju kwanza (kuvaa jeans ambayo ina kiuno kikubwa zaidi yako, halafu unafungia mkanda tight. Matokeo yake kuna lile nundu linatokea nyuma)