Mhhh kwanza kabisa kichwa cha habari yako na swali ulilouliza haliendani kabisaaaaaaa..........
1)Umeshasema kwamba hii messeg inaweza kuwa haina nia mbaya sasa kwa nini kichwa cha habari umekiandika kama amekutendea au kakupigia simu a kukuambia mabaya???Au labda kakutumia messeg ya mapenzi???
2)Umesema kwamba familia zenu zinaheshimiana sasa iweje uwe na shaka la kuwa anakutaka???Sasa hapo nadhani kichwa cha habari na swali lako umeona kwamba haviendani kabisa
Think first before you talk something.........Unajichanganya mwenyewe hapo maana usimuhisi mtu kwa kitu fulani wakati sio.........Mawazo yangu!!
1)Umeshasema kwamba hii messeg inaweza kuwa haina nia mbaya sasa kwa nini kichwa cha habari umekiandika kama amekutendea au kakupigia simu a kukuambia mabaya???Au labda kakutumia messeg ya mapenzi???
2)Umesema kwamba familia zenu zinaheshimiana sasa iweje uwe na shaka la kuwa anakutaka???Sasa hapo nadhani kichwa cha habari na swali lako umeona kwamba haviendani kabisa
Think first before you talk something.........Unajichanganya mwenyewe hapo maana usimuhisi mtu kwa kitu fulani wakati sio.........Mawazo yangu!!